Msimvimbisheni kichwa Mwingira, hana uwezo wa kupambana na Serikali

Msimvimbisheni kichwa Mwingira, hana uwezo wa kupambana na Serikali

Yule ni mhuni na tapeli.

Serikali ilifunga benki yake kwa sababu pesa nyingi za hovyo zilikuwa zinapitia kwake akafura!

Serikali imemnyang'anya mashamba aliyowadhulumu wananchi akafura!

Kuna tetesi Serikali inaendelea kumhoji ni wapi zaidi ya pesa bilioni 3 zilizopitia kwenye ac yake zilitokea na imezuia yeye kuzichukua benki amefura!

Mwingira hana usafi huo wa kufikia kuinyooshea kidole mamlaka eti kwa nyendo zake yule ni mzee wa fursa.
Kwa kuwa ni muhuni atakiwi kusema yaliyo msibu au kutendewa?kwa kuwa ni muhuni ndio achomewe mali zake?au kwakuwa anataperi waumini wake ndio apangiwe njama za kumuuwa?au kuna halali ya kuuuwa aliyempa siri za yeye kuuwawa?
Kumbuka ujinga inaoutetea leo kesho zamu yako,
Angalia Nape kipindi cha miaka hiyo na sasa mwangalie Polepole anavyolalamika
Hii ni nchi yetu sote,palekebishwe panaposta hili
Tusitetee maovu
 
Huwezi kushindana na dola yeyote Duniani na ukabaki salama.

Mwingira kwa mfano naona watu wameanza kumjaza kichwa eti aendelee kuinanga mamlaka kupitia jukwaa lake la dini jambo ambalo hana uwezo kwalo.

Watu kama kina Mwingira huishia kuropoka na mara waonapo mambo yanakuwa magumu kwao huamua kukimbia Nchi.Na ndicho kinaenda kutokea kwa huyo nabii wa kujiita.
Kadhalika hakuna dola iliyoweza kupambana na kanisa na kuahinda
 
Huu uzwazwa wako ndo tunataka tuonfikane nao. Eti rais anaweza kufanya chichote na kwa wakati wowote! Kwani rais yuko juu ya Sheria au ni nyie mnaomkuza tu na kwa sababu ya elimu duni. Nenda marekani au Kenya uone rais anavyojambishwa mpaka anaombaga msamaha kwa wananchi.

Urais ni public service Kama wewe na Mimi na ndo Mana alitupigia magoti ili tumpe hiyo service aweze kula au apate kazi vinginevyo angekuwa jobles hivyo lazima awe na customer care kubwa tusimnyanganye kazi hiyo tukampa mwingine. Wewe ukitukanwa na boss wako kazini huwa unafanyaje? Ukimind acha kazi tutafute mwingine.
Kwahiyo na wewe unatak tumjambishe raisiraisi wetu. Akili ya panzi
 
Huwezi kushindana na dola yeyote Duniani na ukabaki salama.

Mwingira kwa mfano naona watu wameanza kumjaza kichwa eti aendelee kuinanga mamlaka kupitia jukwaa lake la dini jambo ambalo hana uwezo kwalo.

Watu kama kina Mwingira huishia kuropoka na mara waonapo mambo yanakuwa magumu kwao huamua kukimbia Nchi.Na ndicho kinaenda kutokea kwa huyo nabii wa kujiita.

Tulimvimbisha kichwa kichwa kabla au baada y kusema hayo; Kama Ni baada then ushujaa wake kapata Kwa mkewe haituhusu! Uthubutu wa hizo tuhuma Ni mzuri sana
 
Yule ni mhuni na tapeli.

Serikali ilifunga benki yake kwa sababu pesa nyingi za hovyo zilikuwa zinapitia kwake akafura!

Serikali imemnyang'anya mashamba aliyowadhulumu wananchi akafura!

Kuna tetesi Serikali inaendelea kumhoji ni wapi zaidi ya pesa bilioni 3 zilizopitia kwenye ac yake zilitokea na imezuia yeye kuzichukua benki amefura!

Mwingira hana usafi huo wa kufikia kuinyooshea kidole mamlaka eti kwa nyendo zake yule ni mzee wa fursa.
Umeandika Mambo ya uhalisia,ila usimwite tapeli ni Mtumishi wa Mungu.
 
pesa na umaarufu huwafanya watu wawe vipofu wa akili,na kupungua kwa uwezo wa ku judge Mambo! nabii fungua macho uone,hizo pesa zisikufanye uww kipofu,na kuota kiburi!! Serikali/dola ni taasisi kubwa Sana, ndani yake Kuna vitengo vingi Sana!! fikili Mara 2 kabla hujainua kinywa!!! gwajima pamoja na uongeaji wake ,na mzee wa battle lakn hajawahi kujisahau -kuhusu kupima uwezo wa dola!! think twice!!
 
pesa na umaarufu huwafanya watu wawe vipofu wa akili,na kupungua kwa uwezo wa ku judge Mambo! nabii fungua macho uone,hizo pesa zisikufanye uww kipofu,na kuota kiburi!! Serikali/dola ni taasisi kubwa Sana, ndani yake Kuna vitengo vingi Sana!! fikili Mara 2 kabla hujainua kinywa!!! gwajima pamoja na uongeaji wake ,na mzee wa battle lakn hajawahi kujisahau -kuhusu kupima uwezo wa dola!! think twice!!
mbona umepanic hivi??

Mwingira amesema serikali yenu ya CCM ilitaka kumuua, sasa hapo kiburi chake ni kipi????
 
Kulikuwa na watu makatili kuliko JIwe Lakini Leo wako wapi?Mungu anaweza kuiondoa Serikali yeyote kwenye Dunia hii madarakani.Acheni kiburi!
 
Acha nikuheshimu tu kwa sababu tayari umeshasema askofu na si Askofu.

Naheshimu sana utofauti baina ya askofu na Askofu!
Zote sawa tu tofauti ni herufi tu. Acha uzwazwa. Wewe ndiye unayeamini kuandika mungu ni makosa? Jinga kabisa.

Mstari gani kwenye biblia umeandika kuanza na herufi ndogo ni ubatili? Jinga kabisa!!
 
Yuko wapi Azory Gwanda, Kanguye na Ben Saanane
Una maana gani? Unashangilia Serikali kuua raia? Unaona ni Sawa? Unashauri raia waendelee kukaa kimya hata wasipotendewa haki? Wanapouawa?
 
Huwezi kushindana na dola yeyote Duniani na ukabaki salama.

Mwingira kwa mfano naona watu wameanza kumjaza kichwa eti aendelee kuinanga mamlaka kupitia jukwaa lake la dini jambo ambalo hana uwezo kwalo.

Watu kama kina Mwingira huishia kuropoka na mara waonapo mambo yanakuwa magumu kwao huamua kukimbia Nchi.Na ndicho kinaenda kutokea kwa huyo nabii wa kujiita.
alichokifanya amekosea wapi?
 
Zote sawa tu tofauti ni herufi tu. Acha uzwazwa. Wewe ndiye unayeamini kuandika mungu ni makosa? Jinga kabisa.

Mstari gani kwenye biblia umeandika kuanza na herufi ndogo ni ubatili? Jinga kabisa!!
askofu Mwingira akiwa na Askofu Niwemugizi
 
BOT inaruhusu Vipi Transactions ambazo hazieleweki zipite?

Kikubwa Asionewe tuuu…
 
Back
Top Bottom