Msinielewe Vibaya: Nimeamua kujiunga na team "Kataa Ndoa"

Msinielewe Vibaya: Nimeamua kujiunga na team "Kataa Ndoa"

Alichokiongea mtoa mada ni kweli kabisa, sijui kwasababu wewe sio mwanaume, ndo maana huelewi, kwa mwanaume, asilimia 90% ya wanawake atakaokutana nao kila siku ni wadangaji wanaompendea hela, asilimia 10 ni wanawake wema na sahihi, kwenye hio asilimia 10 hujatoa wanawake ambao hawakutaki, na wanawake ambao huwataki, unabaki na percent ndogo sana ambayo probability ya kukutana na hao wadada sahihi inazidi kuwa ndogo

Kwa dunia ya sasa nafikiri mwanaume ukitaka kuoa usichunguze sana, Wala kutumia akili, la sivyo hutaoa Lihove2
Usipotumia akili kutafuta mke itakugharimu.Kutumia akili ni lazima.Tumia muda wa kutosha kutafuta mke.Pia na wewe moaji uonekane uko tayari kuoa yaani mume uwe ni mume material.Na wenyewe wana vigezo vyao vya mtu wa kumkubali.hawamkubali tu kila mwanamume.wanzingatia vigezo vyao.So ukikataliwa unaendelea mbele.si ni sawa na kazi unaomba kazi unaitwa interview unaangukia pua.ila huachi kutafuta kazi.
 
Mwaka 2018 nilimchumbia Mischana mmoja na nikafanikiwa kulipa mahari lakini baada ya muda nikasikia kuwa Kuna MWALIMU ameshatoa mahari na tarehe ya harusi imeshapangwa.

Nikafuatilia ili kujua kulikoni, mama mkwe akaniambia live kuwa yeye ndiye amemtafutia mwanaye mume mwenye kazi ya kueleweka(mimi wakati huo nilikuwa team leader wa Halotel pale bagamoyo). Ki ukweli niliathirika kisaikolijia kwa muda fulani.

Nilifanikiwa kupata kazi nzuri kwenye asasi moja ya kiraia inayolipa vizuri na baada ya miezi 6 nilirudi likizo nyumbani, aliyekuwa mama mkwe mtarajiwa habari ikamfikia kuwa nimepata kazi ya kueleweka, akaanza kunishobokea mara "ooh Njoo nikupe mdogo wake recho amamemaliza shule" nikamjibu "nilimpenda recho na siyo mdogo wake, ukamuozesha kwa mwenye kazi nzuri", aliendelea kumshawishi mama yangu ili mama yangu aje kunishawishi lakini nilikataa kabisa.

Huku kazini(mkoa mwingine) kiukweli Kuna muda natamani kumpata mwenza, hata Kuna nyuzi zaidi yaa mmoja nilipandisha humu kutafuta mwenzi lakini nimekuwa nakutana na materialistic girls, single moms na waovu wengine. Mtaani ninejaribu ila bila bila.

Sasa nimekaa nikawaza kwa kina nikajiuliza:
1. Kwani huwa napungukiwa na nini nikiishi bila mwanamke? Jibu ni HAKUNA

2. Mwanamke ana mchango wowote chanya kwenye maisha? Jibu ni HAKUNA

3. Nisipooa nitakuwa tasa au nitashindwa kuzalisha? Jibu ni HAPANA

4. Hawa viumbe wanaong'ang'ania usawa huku wanataka wanunuliwe kama bidhaa sokoni(kupitia kulipiwa mahari), je Kuna ulazima wa kuishi maisha stressful ya aina hii? Zamani mahari yalikuwa na mantiki wa sababu mabinti walikupa wamejitunza, je sasaiv mahari tunayodaiwa tunalipia Suez canal?

Kwa ufupi Jibu ni kwamba NDOA ILIKUWA NI ZAMANI, SIKUHIZI NDOA NI UBABAISHAJI. Jambo la muhimu ni kufanya kazi, kulipa bima ya afya, kuweka akiba na kufurahia maisha.

Leo rasmi nimekuwa Mwana_chama mpya wa team KATAA NDOA baada ya muda mrefu wa kujitafakari.
team leader ukashindwa na mwalimu. basi sawa
ungemla mdogo wake recho umzalishe kisha mpige chini
 
Sawa,ila pia anza kutathmini mikakati unayotumia kumpata mke.Haiwezekani Tanzania ina wanawake wengi tuu wazuri wanaofaa halafu wewe unawapata wasiofaa.Labda unataka easy go,yaana mwanamke a express inrerest,yaani ajigonge gonge kwako ndiyo ? wa hivyo wengi hawafai,mwanamke anatafutwa.Anayejielewa huwezi mpata kisimple simple hivyo. Usikubali kukata tamaa ya mapema hivyo.Kuoa ni kitu mhimu.na kuoa mke sahihi ni mhimu zaidi.Ila tambua pia kumpata mke sahihi si kitu cha kufumba na kufumbua inahitaji muda wa kutosha. "kataa ndoa" ni maneno ya walio feli.
Sawa,ila pia anza kutathmini mikakati unayotumia kumpata mke.Haiwezekani Tanzania ina wanawake wengi tuu wazuri wanaofaa halafu wewe unawapata wasiofaa.Labda unataka easy go,yaana mwanamke a express inrerest,yaani ajigonge gonge kwako ndiyo ? wa hivyo wengi hawafai,mwanamke anatafutwa.Anayejielewa huwezi mpata kisimple simple hivyo. Usikubali kukata tamaa ya mapema hivyo.Kuoa ni kitu mhimu.na kuoa mke sahihi ni mhimu zaidi.Ila tambua pia kumpata mke sahihi si kitu cha kufumba na kufumbua inahitaji muda wa kutosha. "kataa ndoa" ni maneno ya walio feli.
Tuliza kichwa mzee, hadi umeanza kupuyanga hovyo hovyo. Soma vizuri unacho reply na u reply kitu husika. Kuna mahala nimeandiaka mambo ya kuoana mimi, au nimeandika mambo ya kukataa ndoa mkuu? Kunywa maji kichwa ipoe, hii ligi haitaki hasira
 
Swala la ndoa litabaki kuwa ni jambo muhimu kwa mwanaume
Kama samaki wote wameoza tafuta mwenye ufadhari dunia hii sio ya kulipa ubaya eti sababu umefanyiwa ubaya
Ni muhimu kwa wanaume sio, wanawake je kwao sio muhimu? Wakuu naomba mnijibu, je kuna wanawake wanaunga mkono kataa ndoa? Kama sio basi wao wanafaida nayo kuliko wanaume
 
Mwaka 2018 nilimchumbia Mischana mmoja na nikafanikiwa kulipa mahari lakini baada ya muda nikasikia kuwa Kuna MWALIMU ameshatoa mahari na tarehe ya harusi imeshapangwa.

Nikafuatilia ili kujua kulikoni, mama mkwe akaniambia live kuwa yeye ndiye amemtafutia mwanaye mume mwenye kazi ya kueleweka(mimi wakati huo nilikuwa team leader wa Halotel pale bagamoyo). Ki ukweli niliathirika kisaikolijia kwa muda fulani.

Nilifanikiwa kupata kazi nzuri kwenye asasi moja ya kiraia inayolipa vizuri na baada ya miezi 6 nilirudi likizo nyumbani, aliyekuwa mama mkwe mtarajiwa habari ikamfikia kuwa nimepata kazi ya kueleweka, akaanza kunishobokea mara "ooh Njoo nikupe mdogo wake recho amamemaliza shule" nikamjibu "nilimpenda recho na siyo mdogo wake, ukamuozesha kwa mwenye kazi nzuri", aliendelea kumshawishi mama yangu ili mama yangu aje kunishawishi lakini nilikataa kabisa.

Huku kazini(mkoa mwingine) kiukweli Kuna muda natamani kumpata mwenza, hata Kuna nyuzi zaidi yaa mmoja nilipandisha humu kutafuta mwenzi lakini nimekuwa nakutana na materialistic girls, single moms na waovu wengine. Mtaani ninejaribu ila bila bila.

Sasa nimekaa nikawaza kwa kina nikajiuliza:
1. Kwani huwa napungukiwa na nini nikiishi bila mwanamke? Jibu ni HAKUNA

2. Mwanamke ana mchango wowote chanya kwenye maisha? Jibu ni HAKUNA

3. Nisipooa nitakuwa tasa au nitashindwa kuzalisha? Jibu ni HAPANA

4. Hawa viumbe wanaong'ang'ania usawa huku wanataka wanunuliwe kama bidhaa sokoni(kupitia kulipiwa mahari), je Kuna ulazima wa kuishi maisha stressful ya aina hii? Zamani mahari yalikuwa na mantiki wa sababu mabinti walikupa wamejitunza, je sasaiv mahari tunayodaiwa tunalipia Suez canal?

Kwa ufupi Jibu ni kwamba NDOA ILIKUWA NI ZAMANI, SIKUHIZI NDOA NI UBABAISHAJI. Jambo la muhimu ni kufanya kazi, kulipa bima ya afya, kuweka akiba na kufurahia maisha.

Leo rasmi nimekuwa Mwana_chama mpya wa team KATAA NDOA baada ya muda mrefu wa kujitafakari.
Dogo, kataa ndoa ila tafuta mke oa. Usipo oa utaolewa.
 
Ila huyo mama yake aliekwambia yupo mdogo wake recho kisa kaona umepata kazi ya kueleweka huyo mama ni mpuuzi, ilitakiwa umwambie simtaki tena recho wala mdogo wake ila unamtaka yeye alivyo hana akili angekupa mzigo.

Binafsi siwezi kujiunga kataa ndoa bado natafuta mke.
Uyo mama asiokuwa mrangi sijui
 
Ukifika uzeeni utaona uamuzi wako sio sahihi.
Ndoa Haina shida tatizo ni kukosa elimu kuhusu ndoa tafuta wataalamu WA mambo ya ndoa upate wako wa milele wa kufurahi nae.
Shida ni kukurupuka.
Kwann zamani watu wazima waliwatafutia watoto wao wenza sahihi jibu ni kwa sababu waliwafahamiana vizuri asili.
Jiulize kwann dini na jadi zinakataa no sex before marriage.
Ushauri wako unafanya kazi Africa tu na kwenye wale wataamua kuishi kimaskini .
 
Kuna siku utajutia maamuzi yako kijana. Huyo mama mkwe ndo akufanye ufikie maamuzi yasiyo na busara, kweli?!

Mda ni rafiki mzuri sana.
Ajutie nini mkuu ? Hakuna atakachojuta , ila walio oa ndio wanajuta mpka sasa.
 
Mimi kuoa mpaka nikaliwe vikao vya ukoo wakanitambikie kwa mababu nikiona nakarbia kuchiz basi sitokua na jinsi kishingo upande sana ndipo nitaish na mwanamke geto bila ndoa. Vinginevyo mimi nyumba yangu ni changing room ya watoto tu.
 
Zaidi ya k mwanamke hana kingine cha Ku offer kwenye mahusiano.

Wewe tafuta hela kula mbususu enjoy maisha. Ndoa ni mfumo wa maisha uliofeli zama hizi
Sasa watoto utawapata kwa wanume wenzako hakn kitu nachukizwa Kama Hawa kataa ndoaaa watu mijitu sna nyinyi
 
Back
Top Bottom