Msishangae Diamond siku baba yake akifa akaandaa mazishi ya kifahari

Msishangae Diamond siku baba yake akifa akaandaa mazishi ya kifahari

Kwangu siwez mlaumu kwa lolote sasa hivi maana huwez jua huyo mzee alivowaumiza alipokuwa na nguvu.
Kuna wazaz wengine wakiwa katika position nzur hujisahau sana. Kuna mzaz unaweza ombea mpaka afe. Somo tu kwa kina baba tusijisahau kwa michepuko pia mtoto kufundishwa sio lazima uogopeke nyumban, ukiogopeka hapo ndo wake zetu huchukua nafasi za kutengeneza na watoto.
Mtu unakuwa na mtoto wa kiume lakin hata stori mbili hakuna. Mtoto wa miaka mitatu akisikia baba karudi anajifungia kabatini.
Raha ya mtoto ni pale unaporudi maanza mishemishe za kucheza, kama ni mkubwa unamfanya rafiki kiasi kwamba hata mambo yake ya ndan anakusimulia.
Kuna jamaa yangu mmoja ni dume anawatoto watatu. Anavoishi nao mpka raha. Mama inafikia hatua anasena watoto mimi nimeshusha ila hawana habar na mie yaan hata nikisafiri hawaniulizii ila baba sasa hayapiti masaaa. Ukweli ni kuwa wadogo anatawaza, anatoka nao out mara kwa mara. Ukimkuta nyumban anakimbizana nao kama nae ni mtoto. Anawaogesha. Akienda kunywa bia lazina arudi na nyama ya watoto na hazidishi saa tatu. Na sio kuwa ni maskinj la hasha mke mwalimu baba ana vibiashara vyake vya milion
Hiyo familia ni mfano mzuri wa kuigwa
 
Kwangu siwez mlaumu kwa lolote sasa hivi maana huwez jua huyo mzee alivowaumiza alipokuwa na nguvu.
Kuna wazaz wengine wakiwa katika position nzur hujisahau sana. Kuna mzaz unaweza ombea mpaka afe. Somo tu kwa kina baba tusijisahau kwa michepuko pia mtoto kufundishwa sio lazima uogopeke nyumban, ukiogopeka hapo ndo wake zetu huchukua nafasi za kutengeneza na watoto.
Mtu unakuwa na mtoto wa kiume lakin hata stori mbili hakuna. Mtoto wa miaka mitatu akisikia baba karudi anajifungia kabatini.
Raha ya mtoto ni pale unaporudi maanza mishemishe za kucheza, kama ni mkubwa unamfanya rafiki kiasi kwamba hata mambo yake ya ndan anakusimulia.
Kuna jamaa yangu mmoja ni dume anawatoto watatu. Anavoishi nao mpka raha. Mama inafikia hatua anasena watoto mimi nimeshusha ila hawana habar na mie yaan hata nikisafiri hawaniulizii ila baba sasa hayapiti masaaa. Ukweli ni kuwa wadogo anatawaza, anatoka nao out mara kwa mara. Ukimkuta nyumban anakimbizana nao kama nae ni mtoto. Anawaogesha. Akienda kunywa bia lazina arudi na nyama ya watoto na hazidishi saa tatu. Na sio kuwa ni maskinj la hasha mke mwalimu baba ana vibiashara vyake vya milion
Pamoja na yote ila uwezi kuweka bifu na mzazi hata kama kafanya nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo mama ake anachangia kias kikubwa mwanae asiwe na maelewano mazuri na baba yakr, hata kama wamtengwa kiasi gani hajaondoa uhalisia kua yule ni baba yake wa damu kabisa bado ana nafas ya kumsamehe wakaanza upya, ikiwa tumeamriwa kusamehe waliotukosea na Mungu mwenyewe tunamkosea mangapi na bado unaomba toba unasamehewa ije kiumbe mwenzangu??
Hapo chanzo ni mama diamond na hivi anakibenten hawez ruhusu diamond asamehe nadhani yuko radhi amwage radhi maana mapato yakula na kibenten itabid yagawiwe na mzee
 
Mkuu uneona eh, halaf shida inaanzia hapa, wajua kama mama uliemweka mwanao tumboni miezi tisa, hutapebda kuja ona mwanao anatumbukia kwenye makundi ya hovyo, angalia diamond anavyobadili wanawake kama nguo na mama yake yuko okay kabisa kalipokea bila tatizo unadhani atakua anamshauri vitu gani ukute pia pengine anatamani msaidia babaye lakini mama mtu hataki kusikia hizo ishu
Ndio kuna nafasi ya kusamehe inatakiwa asamehe. Kwa diamond itakuwa ngumu maana kuna mamake ambae kiukweli hawez ruhusu hilo analokosea diamond ni kusimama na manake tu, unaweza kuta mpaka baba diamond anaondoka labda bibie alikutwa na kidume ndani. Sasa ishu iliyopo inasemekana wakat domo yuko seco alikuwa akimfuata mzee anamjibu mbovu hapo ndo maumivu yanazidi. Kiujumla mama anachangia diamond ashindwe samehe. Kuna interview moja nilisikia kipind domo yuko na wema. Wema alikuwa na tabia ya kwenda kwa mzee kusalimu. Nadhan kwa upande mwingine nahisi wema alicheza pati yake kumuunganisha nababae na lait wangeendelea nahisi angesamehe.
 
Kuna mambo ni ya aibu kufanywa na mzazi tena haswa mama, kuolewa ni vizuri lakini aelewe ukishaolewa unakwenda kwa mumeo hung'ang'anii kwa mtoto as if hujaolewa alipaswa aondoke ampe mtoto nafas na yeye kutengeneza future na maisha yake hiyo ya kumbana matumizi anaingilia mambo yasiomhusu
Hapo chanzo ni mama diamond na hivi anakibenten hawez ruhusu diamond asamehe nadhani yuko radhi amwage radhi maana mapato yakula na kibenten itabid yagawiwe na mzee
 
Baba ni baba haijalishi ubaya wowote alokufanyia,mzazi atabaki kua mzazi wako tu pengine kama si baba ake kukytana na mama ake diamond unadhani angekua nani au wapi??
ni kweli baba ni baba,lkn kumbuka kuitwa baba haina maana ule uwezo tu wakumpa mwanamke mimba,la hasha.
ubaba unaanzia pale kiumbe kinapotungwa,mahusiano mazuri ya baba na mtt ni tangu mtt akiwa tumboni,baada ya hapo pia ujue mtt anakula nn anavaa nn na mahitaji mengine muhimu kwa makuzi yake!
kama ishu ni kumpa tu mama mimba mbona hata mnyama anauwezo huo...what matters ni Kutimiza majukumu kama baba
 
Mi nikifa watu wasilie hela za mchango wanunue bia watu walewe wakatike kiduku mpaka asubuhi.
 
Okay fine baba yake alimtelekeza akiwa bado hajaweza kujisumamia mwenyewe na mama ake akasimama kikike akakua akawa star akawa hivi, ni kweli pengine bila mama ake asingefija alipo leo hii!! Angalia anayoyafanya mama yake sasa hivi? Wajuaje kipindi hio alisababisha huu mpasuko? Ye diamond amsaidie tu atende tu wema bas nafsi itamsuta huyo baba kwa aliyoyafanya lakini mama mtu kasimama kidete hatak
ni kweli baba ni baba,lkn kumbuka kuitwa baba haina maana ule uwezo tu wakumpa mwanamke mimba,la hasha.
ubaba unaanzia pale kiumbe kinapotungwa,mahusiano mazuri ya baba na mtt ni tangu mtt akiwa tumboni,baada ya hapo pia ujue mtt anakula nn anavaa nn na mahitaji mengine muhimu kwa makuzi yake!
kama ishu ni kumpa tu mama mimba mbona hata mnyama anauwezo huo...what matters ni Kutimiza majukumu kama baba
 
Okay fine baba yake alimtelekeza akiwa bado hajaweza kujisumamia mwenyewe na mama ake akasimama kikike akakua akawa star akawa hivi, ni kweli pengine bila mama ake asingefija alipo leo hii!! Angalia anayoyafanya mama yake sasa hivi? Wajuaje kipindi hio alisababisha huu mpasuko? Ye diamond amsaidie tu atende tu wema bas nafsi itamsuta huyo baba kwa aliyoyafanya lakini mama mtu kasimama kidete hatak
Ni kweli inabidi ifike point wamuangalie yule baba kwa jicho la 3,alikosea na nina amini amejutia,palipobakia ni kumkumbuka hata kwa kidogo nadhani nafsi yake itamsuta na atapata fundisho pia,anatia huruma yule baba
 
Kuna mambo ni ya aibu kufanywa na mzazi tena haswa mama, kuolewa ni vizuri lakini aelewe ukishaolewa unakwenda kwa mumeo hung'ang'anii kwa mtoto as if hujaolewa alipaswa aondoke ampe mtoto nafas na yeye kutengeneza future na maisha yake hiyo ya kumbana matumizi anaingilia mambo yasiomhusu
Kwangu mimi na kwamtazamo tu yule baba ni mstaarabu na laiti diamond angefunguka angemtafuta na wakayamaliza hata kama ni kumsaidia amsaidie ishu niliyoina sana kwa baba ni fursa ya kutowaona hata wajukuu. Mjukuu ni zaid ya mtoto.mzaz anatokeaga kumpenda mjukuu kuliko hta mtoto mwenyewe. Mama diamond sio mstaraabu na ukweli uliopo anguko la d litatokana na mama. Mimi nilitarajia mama angekuwa kemeo kwa mwanae kuhusu kesi za wanawake lkn sitashangaa mama ndo akawa chanzo cha mahusiano ya d kuvunjika.
 
Ni kweli inabidi ifike point wamuangalie yule baba kwa jicho la 3,alikosea na nina amini amejutia,palipobakia ni kumkumbuka hata kwa kidogo nadhani nafsi yake itamsuta na atapata fundisho pia,anatia huruma yule baba
Kwa mtizamo na kwa ninavyowajua wabawake wa kiha na yule mama nasikia anatokea eneo na zito kuna koo flani ya kiha inaitwa bhachabha ambapo mwanamke siku zote huwa anataka kumcontrol mwanauwme. Mama diamond atakuwa chanzo cha mengi. Ila baba avumilie tu d atakuja tambua tu ampe muda
 
Kuna jamaa yangu kaamua kuachana na mwanamke wake, kaamua kuachana na mtoto, hatoi huduma wala chochote kaamua kuanza maisha mapya kaoa mke mwingine na ana mimba

Hayo yote ni baada ya kuchoshwa na mbilinge, fedheha, dharau na mambo kedekede ya mke wake ambayo tumeyasuhudia

Na si kwamba hampendi mtoto lakini amepima kati ya kuendelea kuwa karibu na familia yake akaja kuishia pabaya ama kujitenga kipi afadhali

Kesho na keshokutwa mtoto bila kujua sababu ni nini na baada ya kulishwa sumu na mama yake atakuja kumchukia baba yake

Mimi binafsi sijawahi kuhukumu kwa haraka mababa wenye kadhia kama ya baba yake na diamond ni mpaka ujue sababu
Hakuna kichaa atatelekeza tu watoto bila sababu ya msingi labda awe karogwa

Kwa akili ya mama diamond huwa nafikiri huenda yeye ndio alikuwa sababu

Kuna wengi hasa vijana ambao bado ndoa kwao ni msamiati hawaelewi haya mambo

Mheshimiwa Makonda alizua sekeseke la kusaka baba waliotelekeza watoto wao, nafikiri kwa asilimia kubwa tulijionea aina ya wanawake waliojitokeza

Mwanamke anaongea mpaka mic inalowa mate
 
Kwa maana mzee akidedi asishoboke kwenye mazishi yake.

,,kama ambavyo amshobokei akiwa hai,,.
Ushauri wangu..
Chibu amsamehe mzee..
Hata yy anakosea..
Hata mungu tunamkosea lkn tukimuomba anatusamehe...
Mondi msamehe mzee ameshatubu,,mungu atahukumu kwa haki,,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtizamo na kwa ninavyowajua wabawake wa kiha na yule mama nasikia anatokea eneo na zito kuna koo flani ya kiha inaitwa bhachabha ambapo mwanamke siku zote huwa anataka kumcontrol mwanauwme. Mama diamond atakuwa chanzo cha mengi. Ila baba avumilie tu d atakuja tambua tu ampe muda
familia zetu za kitz zina siri nyingi sana kwa kweli
 
Sijawahi kusikia "mazishi ya kifahari" kwa Waislam.

Halafu nakushauri kuwa wachana na mambo ya kufatilia ya watu, huyajuwi. Wewe fata yako na familia yako. Ya Diamond na familia yake yatakusaidia nini?

Unajuwaje nani atatangulia?
Wachana = acha
Kufatilia = kufuatilia
Huyajuwi = huyajui
Unajuwaje = unajuaje

"Huko shule ulienda kusomea ujinga?"
 
Kuna jamaa yangu kaamua kuachana na mwanamke wake, kaamua kuachana na mtoto, hatoi huduma wala chochote kaamua kuanza maisha mapya kaoa mke mwingine na ana mimba

Hayo yote ni baada ya kuchoshwa na mbilinge, fedheha, dharau na mambo kedekede ya mke wake ambayo tumeyasuhudia

Na si kwamba hampendi mtoto lakini amepima kati ya kuendelea kuwa karibu na familia yake akaja kuishia pabaya ama kujitenga kipi afadhali

Kesho na keshokutwa mtoto bila kujua sababu ni nini na baada ya kulishwa sumu na mama yake atakuja kumchukia baba yake

Mimi binafsi sijawahi kuhukumu kwa haraka mababa wenye kadhia kama ya baba yake na diamond ni mpaka ujue sababu
Hakuna kichaa atatelekeza tu watoto bila sababu ya msingi labda awe karogwa

Kwa akili ya mama diamond huwa nafikiri huenda yeye ndio alikuwa sababu

Kuna wengi hasa vijana ambao bado ndoa kwao ni msamiati hawaelewi haya mambo

Mheshimiwa Makonda alizua sekeseke la kusaka baba waliotelekeza watoto wao, nafikiri kwa asilimia kubwa tulijionea aina ya wanawake waliojitokeza

Mwanamke anaongea mpaka mic inalowa mate
huyo jamaa anakosea kumtelekeza mtoto. Shahawa si zake yaan lait ningekuwa mimi afe paka afe nyanj mtoto nabeba.eti niachane na mwanamke kwa ukorofi wake niache mtoto haha shahawa zangu hazilali nje ya nyumba hata kama inakunguni zitalala tu na hapa ndo tunapokesaea wanaume tulio wengi sisi tunaona solution ni kumtelekeza na mtoto. Kama umeshindwana na mama unategemea huyo mtoto atakuwaje si ndo mwanzo wa kuwa kina anti john na mama akashangilia tu ilimradi kinaingia mdomoni tuu
 
unachosema ni kweli lakin mama hatakiwj kukufanya uwasahau watoto. Mtoto ukimpa mapenz ya kweli hata upokosekana hakai kwa aman. Sasa mfano wewe ni baba yangu mzazi umegombana na mama. Nakufuata baba naomba unisaidie hela ya ada unanichunia unategemea nitakupenda. Au nyumban tunashinda njaa ila kila siku tunasikia uko bar unagawa offer unategemea tutakupenda? Ukweli uliopo ni wanawake wachache ambao watamfundishwa mwanao ampende babake ila walio wengi watataka watoto wote wawe upande wao iwe kwa jema ama kwa ovu. Kwa hivyo ni jukum let kina baba na sie tujue ni kwanamna gani tutawalazimisha watoti wawe na mapenz nasi hata pale inapotokea tumeachana basi penzi la mtoto liendelee kuwepo
Mkuu, mimi nilizaa na mwanamke nje ya ndoa ( kabla ya ndoa) na nikawa namuhudumia sasa kuna kipindi niliyumba kiuchumi akawa ananikasirikia ikafikia kipindi anatafuta sababu ya kugombana na mimi ili nimwambie tuachane, na nikimwambia hivyo tu atasema na nikae nikijua kwao sina mtoto

Nikamuuliza mtoto akikua akikuuliza Baba yake alipo utamjibu nini, akajibu nitamwambia "Kafa"

Na sasa hivi nimeoa ndo najua kwa nini baadhi ya wazazi wanaamua kukimbia nyumbani

Huyu ninaishi nae hapa nikimwambia ntakutimua urudi kwenu ananijibu "humu utaondoka wewe utaniachia nyumba mimi na mwanangu"

Wakati mwingine wake zetu ndo vichomi na tutakapoamua kuachana nao wanawapa sumu watoto ili sisi Kinababa tuonekane hatufai
 
Umeona eh, hapo ilika amsaidie tu sis wenyewe tuna mabaya tukianza kuhukumiana kwa hivi dunia haitakua sehem salama ya kuishi
Ni kweli inabidi ifike point wamuangalie yule baba kwa jicho la 3,alikosea na nina amini amejutia,palipobakia ni kumkumbuka hata kwa kidogo nadhani nafsi yake itamsuta na atapata fundisho pia,anatia huruma yule baba
 
Back
Top Bottom