Msishangae Makonda akiteuliwa na kurudishwa serikalini au kwenye chama

Msishangae Makonda akiteuliwa na kurudishwa serikalini au kwenye chama

Kwa hali inavyoendelea Kwa Sasa ni vyema CCM tukajitafakari. Ukweli ni kwamba hatuna watu wenye 'energy' ya kutosha, hatuna mtu ambae anaushawishi Kwa wananchi si tu Kwa muonekano ata Kwa kuongea. Nimetafakari upande wa Serikali mawaziri wetu wamekosa nguvu na ushawishi Kwa wananchi.

Kuirudisha CCM kwenye mstari, nashauri Dr Nchimbi tumpe kijiti Cha Katibu Mkuu CCM, Paul Makonda apewe Uenezi wa chama.

Kwenye Serikali, tunafahamu Doto Biteko kateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kama mkakati wa kuvuna kura za Kanda ya ziwa 2024 na 2025. Hili wazo kama ni la kweli basi halitafanikiwa sababu Biteko Hana ushawishi wowote katika Mikoa ya Kanda ya ziwa.

Ili kuleta mvuto mpya CCM Kanda ya Ziwa ni Bora Mzee Kalemani angeteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kuliko huyo Biteko ambae hadi Sasa kishapoteana.

Kazi iendeleee!!
Tanzania ni nchi ya Kifalme,akitakacho Mfalme ndicho huwa!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
CCM wanahitaji ffu, washawasha, vitoa machoz, rpc na mkurugenzi, nec kupata ushindi
Alafu kitu watu hawajui ni kuwa Tanzania siyo nchi ya Kidemokrasia, Tanzania ni nchi ya Kifalme.Ata kura tunazopiga ni hewa tu.
Ni kama ilivyokuwa Kenya kabla ya kuiondoa KANU madarakani na baadaye kuandika katiba mpya na kuachana na Utawala wa Kifalme kwa mujibu wa katiba ya Kikoloni.
Huku Kusini mwa Jangwa la Sahara nchi za Kifalme ni Uganda,Tanzania,Rwanda,Zimbabwe na Mozambique nk.
Hivyo vyama vingi ni geresha tu,Wanyeviti wao wanajua wanafanya nini kulinda ufalme!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hali inavyoendelea Kwa Sasa ni vyema CCM tukajitafakari. Ukweli ni kwamba hatuna watu wenye 'energy' ya kutosha, hatuna mtu ambae anaushawishi Kwa wananchi si tu Kwa muonekano ata Kwa kuongea. Nimetafakari upande wa Serikali mawaziri wetu wamekosa nguvu na ushawishi Kwa wananchi.

Kuirudisha CCM kwenye mstari, nashauri Dr Nchimbi tumpe kijiti Cha Katibu Mkuu CCM, Paul Makonda apewe Uenezi wa chama.

Kwenye Serikali, tunafahamu Doto Biteko kateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kama mkakati wa kuvuna kura za Kanda ya ziwa 2024 na 2025. Hili wazo kama ni la kweli basi halitafanikiwa sababu Biteko Hana ushawishi wowote katika Mikoa ya Kanda ya ziwa.

Ili kuleta mvuto mpya CCM Kanda ya Ziwa ni Bora Mzee Kalemani angeteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kuliko huyo Biteko ambae hadi Sasa kishapoteana.

Kazi iendeleee!!
Sasa nchi hii Kuna vyama vya upinzani mpaka ccm ihangaike na hivyo vyeo? Hata visipokuwepo Bado ccm inashinda nchi nzima. Nyie vyadema ndo mhangaike na hivyo vyeo ili angalau muambulie kitu kimoja
 
Kwa hali inavyoendelea Kwa Sasa ni vyema CCM tukajitafakari. Ukweli ni kwamba hatuna watu wenye 'energy' ya kutosha, hatuna mtu ambae anaushawishi Kwa wananchi si tu Kwa muonekano ata Kwa kuongea. Nimetafakari upande wa Serikali mawaziri wetu wamekosa nguvu na ushawishi Kwa wananchi.

Kuirudisha CCM kwenye mstari, nashauri Dr Nchimbi tumpe kijiti Cha Katibu Mkuu CCM, Paul Makonda apewe Uenezi wa chama.

Kwenye Serikali, tunafahamu Doto Biteko kateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kama mkakati wa kuvuna kura za Kanda ya ziwa 2024 na 2025. Hili wazo kama ni la kweli basi halitafanikiwa sababu Biteko Hana ushawishi wowote katika Mikoa ya Kanda ya ziwa.

Ili kuleta mvuto mpya CCM Kanda ya Ziwa ni Bora Mzee Kalemani angeteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kuliko huyo Biteko ambae hadi Sasa kishapoteana.

Kazi iendeleee!!
Mbona unatafuta kutukanwa tu ndugu? Yaani bado unamuwazia huyo Nyamitako Makonda kwenye utawala wa Tanzania?
 
Alafu kitu watu hawajui ni kuwa Tanzania siyo nchi ya Kidemokrasia, Tanzania ni nchi ya Kifalme.Ata kura tunazopiga ni hewa tu.
Ni kama ilivyokuwa Kenya kabla ya kuiondoa KANU madarakani na baadaye kuandika katiba mpya na kuachana na Utawala wa Kifalme kwa mujibu wa katiba ya Kikoloni.
Huku Kusini mwa Jangwa la Sahara nchi za Kifalme ni Uganda,Tanzania,Rwanda,Zimbabwe na Mozambique nk.
Hivyo vyama vingi ni geresha tu,Wanyeviti wao wanajua wanafanya nini kulinda ufalme!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app

Nakubaliana na mtazamo wako kwa bongo na baadhi ya hizo nchi ulizotaja.

Tofauti ni kwamba tunaenda na chama tawala zaidi badala ya ukoo wa damu ya kifalme( royal and noble families).


Kwa ufupi tu ni kuwa vyama tawala vyenye mirengo ya kushoto dunia yote vinaendeleza tu ubwanyenye ambao Marx na wafuasi wake wa kiitikadi walidhania ushapita.

Hilo halina ubishi.

Vyama tawala vyenye asili ya ujamaa au kupigania uhuru toka ukoloni vimejigeuza kuwa noble families za kibwanyenye.

Sema tu viongozi wao wengi ni walafi kama Jeta, mfalme wa Majuju hivyo hawataweza kujiimarisha kwa muda mrefu.

Alafu ukabaila dunia ya leo ni ujima tu hivyo watasumbua kwa muda mfupi tu kabla ya kugeuzwa kuwa mavumbi ya historia.
 
Kwa hali inavyoendelea Kwa Sasa ni vyema CCM tukajitafakari. Ukweli ni kwamba hatuna watu wenye 'energy' ya kutosha, hatuna mtu ambae anaushawishi Kwa wananchi si tu Kwa muonekano ata Kwa kuongea. Nimetafakari upande wa Serikali mawaziri wetu wamekosa nguvu na ushawishi Kwa wananchi.

Kuirudisha CCM kwenye mstari, nashauri Dr Nchimbi tumpe kijiti Cha Katibu Mkuu CCM, Paul Makonda apewe Uenezi wa chama.

Kwenye Serikali, tunafahamu Doto Biteko kateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kama mkakati wa kuvuna kura za Kanda ya ziwa 2024 na 2025. Hili wazo kama ni la kweli basi halitafanikiwa sababu Biteko Hana ushawishi wowote katika Mikoa ya Kanda ya ziwa.

Ili kuleta mvuto mpya CCM Kanda ya Ziwa ni Bora Mzee Kalemani angeteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kuliko huyo Biteko ambae hadi Sasa kishapoteana.

Kazi iendeleee!!
Kalemani anafaa kuwa PM ni mfuatiliaji mzuri sn pamoja na mapungufu ya kibinadamu lakini jamaa anakubalika sn
 
Makonda alitakiwa awe mahakamani au jela na sio kwingine popote. Kwa kweli adui UJINGA bado yupo sana Tanzania. Yaani mtu aliyetajwa hadi na mabeberu kuwa anahusika kuua watu lakini bado anajitokeza mtu mjinga na kutaka eti awe kiongozi mkubwa wa chama tawala. Mwenyekiti wa CCM sio wa CHADEMA kwamba amteue mtu aliyewahi kuchafuka kiasi kile. CHADEMA peke yao ndo wanaweza kumwita mtu fisadi kwa miaka 10 halafu wakamteua kuwa mgombea wao wa urais.
 
Kwa hali inavyoendelea Kwa Sasa ni vyema CCM tukajitafakari. Ukweli ni kwamba hatuna watu wenye 'energy' ya kutosha, hatuna mtu ambae anaushawishi Kwa wananchi si tu Kwa muonekano ata Kwa kuongea. Nimetafakari upande wa Serikali mawaziri wetu wamekosa nguvu na ushawishi Kwa wananchi.

Kuirudisha CCM kwenye mstari, nashauri Dr Nchimbi tumpe kijiti Cha Katibu Mkuu CCM, Paul Makonda apewe Uenezi wa chama.

Kwenye Serikali, tunafahamu Doto Biteko kateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kama mkakati wa kuvuna kura za Kanda ya ziwa 2024 na 2025. Hili wazo kama ni la kweli basi halitafanikiwa sababu Biteko Hana ushawishi wowote katika Mikoa ya Kanda ya ziwa.

Ili kuleta mvuto mpya CCM Kanda ya Ziwa ni Bora Mzee Kalemani angeteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kuliko huyo Biteko ambae hadi Sasa kishapoteana.

Kazi iendeleee!!
Baada ya Mkama Katibu Mkuu CCM anayefuata Kwa ubovu ni Chongolo.
 
Kwa hali inavyoendelea Kwa Sasa ni vyema CCM tukajitafakari. Ukweli ni kwamba hatuna watu wenye 'energy' ya kutosha, hatuna mtu ambae anaushawishi Kwa wananchi si tu Kwa muonekano ata Kwa kuongea. Nimetafakari upande wa Serikali mawaziri wetu wamekosa nguvu na ushawishi Kwa wananchi.

Kuirudisha CCM kwenye mstari, nashauri Dr Nchimbi tumpe kijiti Cha Katibu Mkuu CCM, Paul Makonda apewe Uenezi wa chama.

Kwenye Serikali, tunafahamu Doto Biteko kateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kama mkakati wa kuvuna kura za Kanda ya ziwa 2024 na 2025. Hili wazo kama ni la kweli basi halitafanikiwa sababu Biteko Hana ushawishi wowote katika Mikoa ya Kanda ya ziwa.

Ili kuleta mvuto mpya CCM Kanda ya Ziwa ni Bora Mzee Kalemani angeteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kuliko huyo Biteko ambae hadi Sasa kishapoteana.

Kazi iendeleee!!
Huyuhuyu alikatazaga watu kwenda Dasalamu?
 
Makonda alitakiwa awe mahakamani au jela na sio kwingine popote. Kwa kweli adui UJINGA bado yupo sana Tanzania. Yaani mtu aliyetajwa hadi na mabeberu kuwa anahusika kuua watu lakini bado anajitokeza mtu mjinga na kutaka eti awe kiongozi mkubwa wa chama tawala. Mwenyekiti wa CCM sio wa CHADEMA kwamba amteue mtu aliyewahi kuchafuka kiasi kile. CHADEMA peke yao ndo wanaweza kumwita mtu fisadi kwa miaka 10 halafu wakamteua kuwa mgombea wao wa urais.
Umenena Mkuu, mahali anapostahili kuwapo Makonda ni jela tu. Kitakachomuokoa Makonda kutokwenda jela ni kifo tu. Jinai alizofanya hazizeeki wala haziozi, ni suala la muda tu
 
Kwa hali inavyoendelea Kwa Sasa ni vyema CCM tukajitafakari. Ukweli ni kwamba hatuna watu wenye 'energy' ya kutosha, hatuna mtu ambae anaushawishi Kwa wananchi si tu Kwa muonekano ata Kwa kuongea. Nimetafakari upande wa Serikali mawaziri wetu wamekosa nguvu na ushawishi Kwa wananchi.

Kuirudisha CCM kwenye mstari, nashauri Dr Nchimbi tumpe kijiti Cha Katibu Mkuu CCM, Paul Makonda apewe Uenezi wa chama.

Kwenye Serikali, tunafahamu Doto Biteko kateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kama mkakati wa kuvuna kura za Kanda ya ziwa 2024 na 2025. Hili wazo kama ni la kweli basi halitafanikiwa sababu Biteko Hana ushawishi wowote katika Mikoa ya Kanda ya ziwa.

Ili kuleta mvuto mpya CCM Kanda ya Ziwa ni Bora Mzee Kalemani angeteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kuliko huyo Biteko ambae hadi Sasa kishapoteana.

Kazi iendeleee!!
kachukue posho yako toka kwa mishuzi
 
Kwa hali inavyoendelea Kwa Sasa ni vyema CCM tukajitafakari. Ukweli ni kwamba hatuna watu wenye 'energy' ya kutosha, hatuna mtu ambae anaushawishi Kwa wananchi si tu Kwa muonekano ata Kwa kuongea. Nimetafakari upande wa Serikali mawaziri wetu wamekosa nguvu na ushawishi Kwa wananchi.

Kuirudisha CCM kwenye mstari, nashauri Dr Nchimbi tumpe kijiti Cha Katibu Mkuu CCM, Paul Makonda apewe Uenezi wa chama.

Kwenye Serikali, tunafahamu Doto Biteko kateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kama mkakati wa kuvuna kura za Kanda ya ziwa 2024 na 2025. Hili wazo kama ni la kweli basi halitafanikiwa sababu Biteko Hana ushawishi wowote katika Mikoa ya Kanda ya ziwa.

Ili kuleta mvuto mpya CCM Kanda ya Ziwa ni Bora Mzee Kalemani angeteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kuliko huyo Biteko ambae hadi Sasa kishapoteana.

Kazi iendeleee!!
Makonda ni takataka chafu
 
Kwa hali inavyoendelea Kwa Sasa ni vyema CCM tukajitafakari. Ukweli ni kwamba hatuna watu wenye 'energy' ya kutosha, hatuna mtu ambae anaushawishi Kwa wananchi si tu Kwa muonekano ata Kwa kuongea. Nimetafakari upande wa Serikali mawaziri wetu wamekosa nguvu na ushawishi Kwa wananchi.

Kuirudisha CCM kwenye mstari, nashauri Dr Nchimbi tumpe kijiti Cha Katibu Mkuu CCM, Paul Makonda apewe Uenezi wa chama.

Kwenye Serikali, tunafahamu Doto Biteko kateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kama mkakati wa kuvuna kura za Kanda ya ziwa 2024 na 2025. Hili wazo kama ni la kweli basi halitafanikiwa sababu Biteko Hana ushawishi wowote katika Mikoa ya Kanda ya ziwa.

Ili kuleta mvuto mpya CCM Kanda ya Ziwa ni Bora Mzee Kalemani angeteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kuliko huyo Biteko ambae hadi Sasa kishapoteana.

Kazi iendeleee!!

Kwa Sasa hata Kinaan mwenyewe Hana mvuto sembuse Makonda na Nchimbi. Tena bora Makonda kidogo, huyo Nchimbi ndio hamna kabisa.
 
Alafu kitu watu hawajui ni kuwa Tanzania siyo nchi ya Kidemokrasia, Tanzania ni nchi ya Kifalme.Ata kura tunazopiga ni hewa tu.
Ni kama ilivyokuwa Kenya kabla ya kuiondoa KANU madarakani na baadaye kuandika katiba mpya na kuachana na Utawala wa Kifalme kwa mujibu wa katiba ya Kikoloni.
Huku Kusini mwa Jangwa la Sahara nchi za Kifalme ni Uganda,Tanzania,Rwanda,Zimbabwe na Mozambique nk.
Hivyo vyama vingi ni geresha tu,Wanyeviti wao wanajua wanafanya nini kulinda ufalme!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app

Wewe ongelea CCM mambo ya vyama vya upinzani achana navyo hasa CHADEMA.
 
Sasa nchi hii Kuna vyama vya upinzani mpaka ccm ihangaike na hivyo vyeo? Hata visipokuwepo Bado ccm inashinda nchi nzima. Nyie vyadema ndo mhangaike na hivyo vyeo ili angalau muambulie kitu kimoja

Punguza unafiki na uoga. Mtu anaongelea CCM Kama chama ila kwa unafiki wako unaitaja CHADEMA.
 
Kama wamelenga kura za washamba wasukuma kwa kumteua Dotto Biteko wamechemka.Dotto hana ushawishi wowote na isitoshe wanasena ni mtutsi yule CCM wajipange
 
Back
Top Bottom