econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Makonda alitakiwa awe mahakamani au jela na sio kwingine popote. Kwa kweli adui UJINGA bado yupo sana Tanzania. Yaani mtu aliyetajwa hadi na mabeberu kuwa anahusika kuua watu lakini bado anajitokeza mtu mjinga na kutaka eti awe kiongozi mkubwa wa chama tawala. Mwenyekiti wa CCM sio wa CHADEMA kwamba amteue mtu aliyewahi kuchafuka kiasi kile. CHADEMA peke yao ndo wanaweza kumwita mtu fisadi kwa miaka 10 halafu wakamteua kuwa mgombea wao wa urais.
Punguza unafiki , CHADEMA inaingiaje hapo?