Msishangae Makonda akiteuliwa na kurudishwa serikalini au kwenye chama

Msishangae Makonda akiteuliwa na kurudishwa serikalini au kwenye chama

Tanzania ni nchi ya Ajabu sana ! yaani hadi Makonda anaweza kuwa na Chawa !
Makonda ni jasiri sana. Ndio maana aliwapoteza CHADEMA mtandao wa mawasiliano kichwani mwenu. Ngoja aje awanyooshe uone kama hujaenda kujificha Desderia Hotel 😄😄😄😄
 
Chama kimefika tamati yani wako hoi kuliko wauzaji wa kimboka...chama chakavu dhooful hali hata mumlete odinga bado hakuna jipya.
Yani mpka jumuiya ya wasimbe sugu nao wamechajua single maza kweli 2025 mtatema ulimi na koromeo
 
Kwa jinsi mambo yanavyoenda huko serikalini na chamani unaweza ukashangaa muda wowote kuanzia sasa Paul Makonda akateuliwa aidha serikalini au chamani.

Kwahyo hata ikitokea msishtuke na kushangaa na mambo ya kawaida katika siasa.
Binafsi siwezi Kushangaa kwa kuwa makonda ni mtu aliyekomaa kisiasa na mwenye uthubutu. Makonda lazima ujue anawaza nini siyo wengine wengi ambao hatujui vichwani mwao kuna picha gani ya vitu watakavyofanya wakipewa nafasi.

Uteuzi wowote wa Makonda unafaa. Hata alipopigwa chini kwa kutaka kufuatilia ndoto zake, amekaa kimya. Hii ni busara sana.

Ushauri wangu kwake ni awe na heshima na kuongea kwa mipaka basi.
 
Makonda ni jasiri sana. Ndio maana aliwapoteza CHADEMA mtandao wa mawasiliano kichwani mwenu. Ngoja aje awanyooshe uone kama hujaenda kujificha Desderia Hotel 😄😄😄😄

Makonda yupi?. Bashite?. Huyu aliyepigwa Chini kwenye ubunge CCM nchi nzima ikafurahi?. Makonda alitumia madaraka yake dhidi ya CHADEMA ila mwisho wa siku akarudi uraiani na CHADEMA inaendelea.
 
Makonda yupi?. Bashite?. Huyu aliyepigwa Chini kwenye ubunge CCM nchi nzima ikafurahi?. Makonda alitumia madaraka yake dhidi ya CHADEMA ila mwisho wa siku akarudi uraiani na CHADEMA inaendelea.
Chadema inaendelea kufanya nini?
 
Kwa jinsi mambo yanavyoenda huko serikalini na chamani unaweza ukashangaa muda wowote kuanzia sasa Paul Makonda akateuliwa aidha serikalini au chamani.

Kwahyo hata ikitokea msishtuke na kushangaa na mambo ya kawaida katika siasa.
🤣🤣
 
Kwa jinsi mambo yanavyoenda huko serikalini na chamani unaweza ukashangaa muda wowote kuanzia sasa Paul Makonda akateuliwa aidha serikalini au chamani.

Kwahyo hata ikitokea msishtuke na kushangaa na mambo ya kawaida katika siasa.
"Kamati kuu ya CCM iliyoketi kwa dharula Kisiwa Ndui kwa pamoja iliazikia kwa kauli moja" imesema sehemu ya taarifa hiyo
 
Kwa jinsi mambo yanavyoenda huko serikalini na chamani unaweza ukashangaa muda wowote kuanzia sasa Paul Makonda akateuliwa aidha serikalini au chamani.

Kwahyo hata ikitokea msishtuke na kushangaa na mambo ya kawaida katika siasa.
Kwani ni lini Makonda alitolewa serikalini au kwenye chama cha CCM?
 
Kwa hali inavyoendelea Kwa Sasa ni vyema CCM tukajitafakari. Ukweli ni kwamba hatuna watu wenye 'energy' ya kutosha, hatuna mtu ambae anaushawishi Kwa wananchi si tu Kwa muonekano ata Kwa kuongea. Nimetafakari upande wa Serikali mawaziri wetu wamekosa nguvu na ushawishi Kwa wananchi.

Kuirudisha CCM kwenye mstari, nashauri Dr Nchimbi tumpe kijiti Cha Katibu Mkuu CCM, Paul Makonda apewe Uenezi wa chama.

Kwenye Serikali, tunafahamu Doto Biteko kateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kama mkakati wa kuvuna kura za Kanda ya ziwa 2024 na 2025. Hili wazo kama ni la kweli basi halitafanikiwa sababu Biteko Hana ushawishi wowote katika Mikoa ya Kanda ya ziwa.

Ili kuleta mvuto mpya CCM Kanda ya Ziwa ni Bora Mzee Kalemani angeteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kuliko huyo Biteko ambae hadi Sasa kishapoteana.

Kazi iendeleee!!
Duuuuh watu walikua na maono balaa
 
Makonda alitakiwa awe mahakamani au jela na sio kwingine popote. Kwa kweli adui UJINGA bado yupo sana Tanzania. Yaani mtu aliyetajwa hadi na mabeberu kuwa anahusika kuua watu lakini bado anajitokeza mtu mjinga na kutaka eti awe kiongozi mkubwa wa chama tawala. Mwenyekiti wa CCM sio wa CHADEMA kwamba amteue mtu aliyewahi kuchafuka kiasi kile. CHADEMA peke yao ndo wanaweza kumwita mtu fisadi kwa miaka 10 halafu wakamteua kuwa mgombea wao wa urais.
Akiba ya maneno...
 
Back
Top Bottom