Msishangae Makonda akiteuliwa na kurudishwa serikalini au kwenye chama


Punguza unafiki , CHADEMA inaingiaje hapo?
 
Kama wamelenga kura za washamba wasukuma kwa kumteua Dotto Biteko wamechemka.Dotto hana ushawishi wowote na isitoshe wanasena ni mtutsi yule CCM wajipange

Mimi nashangaa wanaosema dotto ataleta kura za Kanda ya Ziwa. Nashangaa Sana. Kanda ya Ziwa sio malofa wa kubebwa Kama magunia. Nadhani ataleta kura za Geita pekee yake.
 
The Genge ….huyo Dotto hawatoshi? kiongozi wenu ni KALEMANI
 
Kanda ziwa, bila Luhaga Mpina wala wasijihangaishe.
Kwanini hakuongea chochote kwenye sakata la bandari? Yeyote yule tunayemfaham mwenye mawazo chanya kwenye nchi yetu lkn hakuongea chochote au hakupaza sauti na huku tulimwihutaji afanye hivyo lazima tuwe na wasiwasi na yeye.
 
Kwanini hakuongea chochote kwenye sakata la bandari? Yeyote yule tunayemfaham mwenye mawazo chanya kwenye nchi yetu lkn hakuongea chochote au hakupaza sauti na huku tulimwihutaji afanye hivyo lazima tuwe na wasiwasi na yeye.
Alishazungumza mbona kitambo sana kwenye space za maria sarungi....anyway Biteko yeye kasemaje kuhusu bandari?
 
Toka majuzi kumekuwa na milio kutoka pande mbalimbali kuwa Mh.Makonda anatakiwa kurudishwa kwenye system kwasababu kuna mambo mengi yanamhitaji yeye.

Wengine hili tuliliona toka mwaka 2022 kuwa kuna gap anahitajika Mh.Makonda ili turudi kwenye siasa tulizozizoea na ambazo zilikuwa zinakipa chama uhai miaka yote.

Tambueni akirudi huyo upinzani kazi wanayo 2025. Ile ngumu mliyoipata kipindi cha Kinana na Nape kinarudi tena.
 
Kwa nini Ben Mkapa wakati wa kampeni aliitwa Mr.Clean?Ndani ya siasa ukiweka mtu mwenye do (na huyu uliyemtaja ana madoa) ni kama umejiweka kwenye spotlight.
Kwa niniBenson Kigaila wa Chadema amepoa?TAFAKARI
 
Hivi watu wengine kama matumbo yanuma kwenda tu kuharisha hua mnaona ugumu gani? Kuliko kuharisha humu kwenye jamii forum asubuhi subuhi?

Huyo Makonda wa kwenye awamu ya vyeti feki wa nini sasa? Ana nini cha mno? Ana jipya gani?
Kwenye huu utawala wa democracy and rule of law Makonda wa nini? Si ataharibu tu?

Uelewe wakati wao hao akina Makonda kwenye chaguzi CCM walikuwa hawashindi bali walikuwa wanapora wewe unayemtaka huyo Makonda unamtaka aje aendeleze uporaaaaaaaaaaaaaji?

Kwa CCM hii ya mama Samia Hassani ushauri tu CCM inapata ushindi kwa nini waje akina Makonda waanze uporaji wao?
 
Amesafisha vyeti vyake tayari?
Je ametubu zile dhambi za uporaji kwa jina la baba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…