Makonda alitakiwa awe mahakamani au jela na sio kwingine popote. Kwa kweli adui UJINGA bado yupo sana Tanzania. Yaani mtu aliyetajwa hadi na mabeberu kuwa anahusika kuua watu lakini bado anajitokeza mtu mjinga na kutaka eti awe kiongozi mkubwa wa chama tawala. Mwenyekiti wa CCM sio wa CHADEMA kwamba amteue mtu aliyewahi kuchafuka kiasi kile. CHADEMA peke yao ndo wanaweza kumwita mtu fisadi kwa miaka 10 halafu wakamteua kuwa mgombea wao wa urais.
Kama wamelenga kura za washamba wasukuma kwa kumteua Dotto Biteko wamechemka.Dotto hana ushawishi wowote na isitoshe wanasena ni mtutsi yule CCM wajipange
Baada ya Mkama Katibu Mkuu CCM anayefuata Kwa ubovu ni Chongolo.
Economist unazinguaPunguza unafiki , CHADEMA inaingiaje hapo?
Kanda ya kwako usiseme kanda ya ziwa hujatumwa kusemea kandaKanda ziwa, bila Luhaga Mpina wala wasijihangaishe.
The Genge ….huyo Dotto hawatoshi? kiongozi wenu ni KALEMANIKwa hali inavyoendelea Kwa Sasa ni vyema CCM tukajitafakari. Ukweli ni kwamba hatuna watu wenye 'energy' ya kutosha, hatuna mtu ambae anaushawishi Kwa wananchi si tu Kwa muonekano ata Kwa kuongea. Nimetafakari upande wa Serikali mawaziri wetu wamekosa nguvu na ushawishi Kwa wananchi.
Kuirudisha CCM kwenye mstari, nashauri Dr Nchimbi tumpe kijiti Cha Katibu Mkuu CCM, Paul Makonda apewe Uenezi wa chama.
Kwenye Serikali, tunafahamu Doto Biteko kateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kama mkakati wa kuvuna kura za Kanda ya ziwa 2024 na 2025. Hili wazo kama ni la kweli basi halitafanikiwa sababu Biteko Hana ushawishi wowote katika Mikoa ya Kanda ya ziwa.
Ili kuleta mvuto mpya CCM Kanda ya Ziwa ni Bora Mzee Kalemani angeteuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu kuliko huyo Biteko ambae hadi Sasa kishapoteana.
Kazi iendeleee!!
So who is Biteko over Mpina? Kanda ya ziwa tunataka MTU design ya magufuli ambaye ni Luhaga mpina sio vinyago vya kuchongwa.Kanda ya kwako usiseme kanda ya ziwa hujatumwa kusemea kanda
Tunazungumzia kanda ya kura sio upinzani wa Tarime!!!!Please usiseme Kanda ya Ziwa, sema mkoa wa Bariadi. Kanda ya Ziwa Ina mikoa mingi ambayo hata huyo Luhaga hawamfahamu.
Kwanini hakuongea chochote kwenye sakata la bandari? Yeyote yule tunayemfaham mwenye mawazo chanya kwenye nchi yetu lkn hakuongea chochote au hakupaza sauti na huku tulimwihutaji afanye hivyo lazima tuwe na wasiwasi na yeye.Kanda ziwa, bila Luhaga Mpina wala wasijihangaishe.
Alishazungumza mbona kitambo sana kwenye space za maria sarungi....anyway Biteko yeye kasemaje kuhusu bandari?Kwanini hakuongea chochote kwenye sakata la bandari? Yeyote yule tunayemfaham mwenye mawazo chanya kwenye nchi yetu lkn hakuongea chochote au hakupaza sauti na huku tulimwihutaji afanye hivyo lazima tuwe na wasiwasi na yeye.
Amesafisha vyeti vyake tayari?Toka majuzi kumekuwa na milio kutoka pande mbalimbali kuwa Mh.Makonda anatakiwa kurudishwa kwenye system kwasababu kuna mambo mengi yanamhitaji yeye.
Wengine hili tuliliona toka mwaka 2022 kuwa kuna gap anahitajika Mh.Makonda ili turudi kwenye siasa tulizozizoea na ambazo zilikuwa zinakipa chama uhai miaka yote.
Tambueni akirudi huyo upinzani kazi wanayo 2025. Ile ngumu mliyoipata kipindi cha Kinana na Nape kinarudi tena.View attachment 2787035