technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Malalamiko Mara tozo Mara sijui umeme kukatika mafuta kupanda tusisumbuane.
Watanzania ndio tatizo zaidi siku za uchaguzi zikifika mnajifanya hamnazo hampigi kura na wengine mkipiga mnapigia ccm upuuzi.
Acheni kulia lia sasa haya matozo na ujinga ujinga wote unao endelea ni zao la ilani ya ccm Tatizo hatusomi ilani za vyama na kuzielewa.
Tundu Lissu kwa muda mchache wa miezi 2 aliyopiga kampeni alijaribu kutoa elimu ya uraia lakini wabongo wapi wakawa wanamtukana.
Aliyoyasema yote ndio yanayoendelea kuhusu ufisadi, mfumuko wa bei utawala wa kishikaji kutawala watu baada ya kuongoza watu.
Acha tu Mama Samia apae aende ulaya kumzika malikia kwa pesa zenu za tozo huku mikoa karibia 15 ukiwa inapishana kwa mgao wa umeme.
Hakuna update yeyote juu ya bwawa la Mwalimu nyerere.
Makamba yupoyupo tu nchi inaanguka kwenye nishati watu wapo busy na mwigulu Ila niwaambie Makamba ni tatizo kuliko Mwagulu na soon ile biashara ya Generators imeanza tena.
Ccm haijawai kuwa serious kuongoza hili taifa na Kama hamtaki iondoke msilalamike pigeni kimya.
Ongeza tozo za Gest, Condom, weka tozo kila sehemu maana sikio la kufa halisikii dawa.
Watanzania ndio tatizo zaidi siku za uchaguzi zikifika mnajifanya hamnazo hampigi kura na wengine mkipiga mnapigia ccm upuuzi.
Acheni kulia lia sasa haya matozo na ujinga ujinga wote unao endelea ni zao la ilani ya ccm Tatizo hatusomi ilani za vyama na kuzielewa.
Tundu Lissu kwa muda mchache wa miezi 2 aliyopiga kampeni alijaribu kutoa elimu ya uraia lakini wabongo wapi wakawa wanamtukana.
Aliyoyasema yote ndio yanayoendelea kuhusu ufisadi, mfumuko wa bei utawala wa kishikaji kutawala watu baada ya kuongoza watu.
Acha tu Mama Samia apae aende ulaya kumzika malikia kwa pesa zenu za tozo huku mikoa karibia 15 ukiwa inapishana kwa mgao wa umeme.
Hakuna update yeyote juu ya bwawa la Mwalimu nyerere.
Makamba yupoyupo tu nchi inaanguka kwenye nishati watu wapo busy na mwigulu Ila niwaambie Makamba ni tatizo kuliko Mwagulu na soon ile biashara ya Generators imeanza tena.
Ccm haijawai kuwa serious kuongoza hili taifa na Kama hamtaki iondoke msilalamike pigeni kimya.
Ongeza tozo za Gest, Condom, weka tozo kila sehemu maana sikio la kufa halisikii dawa.