Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Loooooh kumbe CAG na e ni chademaHata Lowassa walimsingizia hivyo hivyo.
Chadema wana upuuzi mwingi!
Lakini si alijiuzulu?Hata Lowassa walimsingizia hivyo hivyo.
Chadema wana upuuzi mwingi!
Tuwekee ushahidi hizo bil 50 zilivyotafunwa. Nani alitafuna?Rais aliamua Tanroad ndio waagize mtambo wa kiwanda cha kuzalisha sukari akawapa bil 50, na hawakuleta na hakuwafanya kitu.
Rais aliamua Tanroad ndio waagize mtambo wa kiwanda cha kuzalisha sukari akawapa bil 50, na hawakuleta na hakuwafanya kitu.
Kwa hiyo uamuzi wake pamoja na kuwapa hizo billioni ndio ushahidi?Rais aliamua Tanroad ndio waagize mtambo wa kiwanda cha kuzalisha sukari akawapa bil 50, na hawakuleta na hakuwafanya kitu.
Jiwe alikuwa anapiga kupitia tanroadsKwa hiyo uamuzi wake pamoja na kuwapa hizo billioni ndio ushahidi?
Kama Tanroad "hawakuleta" na 'kutokufanya' ndio iwe na maana awamu ya tano walikwapua na kuficha?
wewe huoni huo ni utovu wa nidhamu badala ya ukwapuaji na kuficha?
Lisilo na ubishi ni Tshs 1.5 Trilion.Mbona mnakuwa kama watoto wadogo?
Mmesahau namna sakata la Escrow lilivyowekwa wazi? Tuliambiwa pesa namna zilivyo kwapuliwa na hata zilikofichwa. Vivyohivyo hata sakata la Kagoda na Epa.
Mnadai kuna ufisadi mkubwa ulitokea awamu ya tano. Tuambieni namna pesa zilivyokwapuliwa , nani alikwapua na sasa amezificha wapi. Serikali izirudishe.
Mbona unayepwayuka ni wewe? Ufisadi mkubwa uliofanywa na awamu ya 5, si umedhihirishwa na uchunguzi wa CAG?Mbona mnakuwa kama watoto wadogo?
Mmesahau namna sakata la Escrow lilivyowekwa wazi? Tuliambiwa pesa namna zilivyo kwapuliwa na hata zilikofichwa. Vivyohivyo hata sakata la Kagoda na Epa.
Mnadai kuna ufisadi mkubwa ulitokea awamu ya tano. Tuambieni namna pesa zilivyokwapuliwa , nani alikwapua na sasa amezificha wapi. Serikali izirudishe.
Kichaa akiwa ameshika panga mkononi ilikuwa ngumu kumsogelea.Kwani ile trillion 1.5 ilikwapuliwa na awamu ile ilikuwaje?
Kipindi kile hakukuwa na mwenye uthubutu wa kuweka mambo wazi
Kila kitu kitakua wazi
weka hata clip ya gazeti au kideo, au maelezo kutoka ripoti ya mkaguzi mkuu.Uthibitisho wa jinsi walivyopewa hizo bill 50,au walifungiwa hizo kwenye viroba?
Na CAG aliyeibua wizi wa Tshs 1.5 Trilioni naye mpuuzi au siyo?Hata Lowassa walimsingizia hivyo hivyo.
Chadema wana upuuzi mwingi!
Wanagenge ndio wamejaa upuuzi🤭Hata Lowassa walimsingizia hivyo hivyo.
Chadema wana upuuzi mwingi!
Unao huo ushahidi wa mimba?Wanateswa na mimba ya Magufuli tu hawana ushahidi wowote