masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Usilete za kuleta.Ungekuwa na akili ungejua eingi wa hizo t1.5
Naungeuliza zilifichwa wapi,kusematu zimepigwa niujinga,hata cag amesema zilitumika bila kurecodiwa, uliza zilitumika wapi utaambiwa.
Miradi ya Canada itajulikana tu.