MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Hiyo ni kazi ya mwizi kuonyesha alipoficha 1.5T. au wewe ni mgeni wa makosa ya jinai?Kwani hauna ushahidi benki gani zimefichwa pesa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni kazi ya mwizi kuonyesha alipoficha 1.5T. au wewe ni mgeni wa makosa ya jinai?Kwani hauna ushahidi benki gani zimefichwa pesa?
Mbona za Epa mlitaja hadi mabenki zilipoqekwa?Hiyo ni kazi ya mwizi kuonyesha alipoficha 1.5T. au wewe ni mgeni wa makosa ya jinai?
Nani alitaja?Mbona za Epa mlitaja hadi mabenki zilipoqekwa?
Ukurasa number ngapi tukasome hiyo 1.5T?Lisilo na ubishi ni Tshs 1.5 Trilion.
Mwulize CAG.
Kwa hiyo Assad na Kichere wote wanamchafua Mwendazake au? Kumbuka wote walikuwa wateule wake.Mbona mnakuwa kama watoto wadogo?
Mmesahau namna sakata la Escrow lilivyowekwa wazi? Tuliambiwa pesa namna zilivyo kwapuliwa na hata zilikofichwa. Vivyohivyo hata sakata la Kagoda na Epa.
Mnadai kuna ufisadi mkubwa ulitokea awamu ya tano. Tuambieni namna pesa zilivyokwapuliwa , nani alikwapua na sasa amezificha wapi. Serikali izirudishe.
Watafute wenzio hawa watakuonyesha ipo ukurasa gani. Hapa walikua wanahangaika kuielezeaUkurasa number ngapi tukasome hiyo 1.5T?
Ingekuwa enzi zenu za kichaa ungeshanipiga bunduki..We maji ya k...tulia
Mbona unayepwayuka ni wewe? Ufisadi mkubwa uliofanywa na awamu ya 5, si umedhihirishwa na uchunguzi wa CAG?
Si usubiri hatua gani zitafuatwa? Mbona unakua kama mwehu asiyejua kuwa katika kila jambo kuna taratibu zake? Kwani hata hiyo EPA na Escrow kila kitu kilifanyika siku moja?
Au unafikiri, na wewe ukifoka kama alivyokuwa anafanya marehemu utafanikiwa kuwaziba midomo watu kama marehemu alivyokuwa anafanya ili kuficha uovu wake, na wewe utafanikiwa?
Marehemu, uovu wake wote, ndani ya miaka 10 utawekwa wazi kwa kila mmoja.
Anamaanisha Magufuli alikuwa mzinzi. Huyo ni Sukumagang anamjua vizuri ndugu yake labda kaachiwa watoto wa nje wa marehemu.Unao huo ushahidi wa mimba?
Huoni kuwa unawatesa wanafamili ya Hayati kwa vijembe vyako. Aisee muwe mnafikiri hata kwa sekunde.
Aliyekuwa na ushahidi mlimshikia bunduki Ikulu na kumlazimisha aseme mnayotaka, hivi mpaka Leo mnaamini watanzania ni wajinga Sana? Prof ASSAD alipotoa ripoti ikiwa na upotevu wa 1.5t mlitoka mashimoni kumshambulia Kwa nini hamkumuuliza ushahidi zaidi ya kumfukuza kazi? Inapasua kioo Kwa sababu kimekuonyesha Una tongotongo machoni, ni akili au tope?Alete huo ushaidi wa 1.5 t nanu aliichukua na iliondokake ondokaje unadhani trillion moja nukta tano ni sawa na buku tano[emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe Nyankurungu2020 katika misukule ya kweli ya Mwendazake wewe ndiye namba 1.Mbona mnakuwa kama watoto wadogo?
Mmesahau namna sakata la Escrow lilivyowekwa wazi? Tuliambiwa pesa namna zilivyo kwapuliwa na hata zilikofichwa. Vivyohivyo hata sakata la Kagoda na Epa.
Mnadai kuna ufisadi mkubwa ulitokea awamu ya tano. Tuambieni namna pesa zilivyokwapuliwa , nani alikwapua na sasa amezificha wapi. Serikali izirudishe.
Kwani upigaji wa Epa na Escrow ulianikwa wapi?Na wewe Nyankurungu2020 katika misukule ya kweli ya Mwendazake wewe ndiye namba 1.
Unataka uwekewe ushahidi hapa, kwani ni Mahakamani? Umejitoa akili wewe sisi hatuwezi kujitoa akili kama wewe.
Kachimbe kaburi lako Chato na wewe ujizike karibu na Dikteta
We subiri tu CAG atatoa jipya.Huna jipya
Ukurasa number ngapi tukasome hiyo 1.5T?
Hatuwezi kumpunzisha Dikteta alikuwa anaharibu Nchi yetu kiuchumi, kisiasa na kijamii.Mbona mnakuwa kama watoto wadogo?
Mmesahau namna sakata la Escrow lilivyowekwa wazi? Tuliambiwa pesa namna zilivyo kwapuliwa na hata zilikofichwa. Vivyohivyo hata sakata la Kagoda na Epa.
Mnadai kuna ufisadi mkubwa ulitokea awamu ya tano. Tuambieni namna pesa zilivyokwapuliwa , nani alikwapua na sasa amezificha wapi. Serikali izirudishe.
KudadekiRais aliamua Tanroad ndio waagize mtambo wa kiwanda cha kuzalisha sukari akawapa bil 50, na hawakuleta na hakuwafanya kitu.
Kwani hao tanroad nao wamekufa?Rais aliamua Tanroad ndio waagize mtambo wa kiwanda cha kuzalisha sukari akawapa bil 50, na hawakuleta na hakuwafanya kitu.
CHADEMA hawajasema lolote rasmi kuhusu ukwapuaji wa pesa mpaka sasa. Wanaosema mpaka sasa ni watanzania wananchi wa kawaida na kiongozi wa ACT bwana Zitto Kabwe. Hata hivyo kazi ya kutafuta ushahidi ni ya vyombo vya Dola ambavyo tunalipa mishahara yao kupitia kodi zetu. Kama kuna malalamiko yanayotokana na ripoti ya CAG walipaswa kuchunguza na kuchukua hatua ama kueleza usafi wake ama uhalifu na hatua stahiki kuchukuliwa. Tusipende kupindisha mijadala yenye maslahi ya taifa kwa kutoa hoja mfu.Hata Lowassa walimsingizia hivyo hivyo.
Chadema wana upuuzi mwingi!