Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mnategemea mpate kura sababu ya kumsema magufuli ni neverSiasa ni Sayansi ya hali ya juu sana
Makundi ndani ya Chama yana matawi yao ambayo ndio vyama shikizi
mnyukano wa 2005-2015 ilibidi itengenezwe cinema ya Ufisadi wakapewa hiyo kashfa na jina la Mhusika, kazi ikafanywa kwa ustadi Mkubwa, alipokatwa Mhusika 2015 Watu wake wa karibu wakataka kupasua Chama, wakala aliekuwa anajifanya mtu wake wa karibu akamshauri tuachane na kupasua Chama, jamaa wa upande wa pili wametuita twende zetu…Cinema ikaisha kama ilivyoisha
sasa hivi kuna Mnyukano mwingine mkali sana makatili vs wahuni …ikashauriwa tufungue milango 'hewa iingie ndani kupunguza joto ' ila wale Jamaa zetu tuwape tena jina la ku deal nao na kweli kazi imeanza vyema na 'marehemu baba' anasemwa vya kutosha
Nife sahizi ili apungue Mmoja wa Magufulinists?.Kufa umfuate
Duuh hizi ni serious allegations? Ushoga uliletwa na mtangulizi wa JPM? Aiseeee.Nani asiyejua kuwa mtangulizi wake ndio aliyevuta Mpunga na mikataba ambayo leo hii imetuletea ushoga?
Hawa watu ,ni vile Vyombo vya Dola, wakuu wao wamenyeshwa mvinyo.Kama mnategemea mpate kura sababu ya kumsema magufuli ni never
According to NEC Chadema walipata kura za ubunge zaidi ya million 3 ndio sembuse 2025 ambapo JPM hagombei!! Kingine watu watapiga kura kwa Chadema sababu CCM mmefeli Kila kitu huyo JPM sio factor kabisa maana atukanwe asitukanwe hawezi punguza mfumuko wa bei Wala kushusha bei ya mchele.Kama mnategemea mpate kura sababu ya kumsema magufuli ni never
Hakuna kitu mtafanya maana zama za ukatili zimeshapita. Huko CCM hata fomu hamtoruhusiwa kuchukua na mgombea wenu ni Samia!!!Hawa watu ,ni vile Vyombo vya Dola, wakuu wao wamenyeshwa mvinyo.
Otherwise 2025, tungewashangaz kwelikweli, hata Ivo TUTAWASHANGAZA.
Kama Dola ilipinga kauli ya "Kama kweli tunampenda, tupige kura hapa, awe Rais mpaka 2030".
Tumaini lipo !!.
Acha uongo we sukuma gang!!Nani asiyejua kuwa JPM alirithi Nchi ambayo haikuwa na strategical projects yoyote?
Kwa English hii pekee wewe ndio stupid kabisa..... Chadema walifanya kazi ya upinzani na ndio maana walipojiunga CCM walipewa wote uongozi serikalini. Sasa kati ya wewe au upinzani nani mjinga? Kama wangekua wajinga wangepewa uwaziri, uRC na uDC?I don't think that Oppositions has a good will for our nation, I noticed it at the regime of Magufuli these guys are stupid and selfish.
"Unapotaka kuvua samaki lazima utangulizi Chambo"Kwa English hii pekee wewe ndio stupid kabisa..... Chadema walifanya kazi ya upinzani na ndio maana walipojiunga CCM walipewa wote uongozi serikalini. Sasa kati ya wewe au upinzani nani mjinga? Kama wangekua wajinga wangepewa uwaziri, uRC na uDC?
Punguza uzushi sukuma gang ni lini vyakula vya GMO vimeingizwa bongo? Mtakufa kwa chuki zenu hizo.Sasa hizi watuingizia Michele na vyakula vya GMO, havipimwi wala nini!
Let's pray Bro !!.Hakuna kitu mtafanya maana zama za ukatili zimeshapita. Huko CCM hata fomu hamtoruhusiwa kuchukua na mgombea wenu ni Samia!!!
Mpina si mlimjaza upepo mbona kakatwa ujumbe wa NEC mkoa na kitaifa na hamna kitu mmefanya!!
Minister,RC and DC these are granted authorities so, you never know what time you will be suspending.Kwa English hii pekee wewe ndio stupid kabisa..... Chadema walifanya kazi ya upinzani na ndio maana walipojiunga CCM walipewa wote uongozi serikalini. Sasa kati ya wewe au upinzani nani mjinga? Kama wangekua wajinga wangepewa uwaziri, uRC na uDC?
Acha utoto..... Kama wapinzani ni wabaya kwanini JPM aliwapa uwaziri na ubunge huko CCM? Yaani JPM aliona wapinzani Wana uzalendo Hadi akawateua uwaziri alafu sukuma gang mmoja unayeuza gongo ndio unadai wapinzani hawafai!!Ndugu zangu Watanzania fahamuni, hatuna wapinzani, tuna kikundi cha wahuni ambao wanapambania;
- Matumbo yao.
- Pesa za Wazungu.
- Ushoga ili taifa lilaaniwe, na huu ushoga unaongoza kupambaniwa na wapinzani huku ukifungiwa macho na uongozi uliopo.
Ameshakatwa hivyo mbona hamjafanya kitu? Cream yote ya JPM imeshang'olewa lakini nchi ipo kimya kabisa.Let's pray Bro !!.
Mpina ni hazina ambayo 2025 imo !!
Kipindi kina Lema na Bashe wanasema vyombo ya Dola vifumuliwe si mliwakejeli wametumwa na mabeberu. Leo ndio mmegundua kwamba vyombo vya Dola havitendi haki?? Na Bado mkuu subiri 2025 mtapigwa mabomu na kufungwa jela na virungu juu ndio mtaelewa tulichopitia miaka 7 ya JPM.Tuombe Vyombo vya Dola Mungu avipe weledi ili badala ya kuendelea kusimamia na kikundi wasimamie masualamapana yenye maslahi ya nchi.
Ushoga ili taifa lilaaniwe, na huu ushoga unaongoza kupambaniwa na wapinzani huku ukifungiwa macho na uongozi uliopo.