Msongo wa mawazo, ugumu wa maisha wasababisha Msanii Q Jay kuranduka mpaka kuokota makopo

Daah... Aliacha muziki wa kidunia, akaokoka, akaanza kuimba injili halafu akagongewa mke kisha akapata depression halafu akaanza kuokota makopo.... Huyu angeendelea kuimba nyimbo za kidunia huenda angekuwa fresh tu kama mwenzake akina makamua na Josline....
 
Wanawake bana, halafu wametuundia vi- nyuzi kibao humu eti wanaume kwa michepuko.

Nyie mpaka mmefanya jamaa dishi kuyumba
 
hakuna kitu rahis kwa sasa kupata kama kudata in ngosha ze don voice
 
Daah! Mkali wa rnb Tz alikosea sana alipoamua kuachana na muziki na kuamua kuokoka. So sad
 
Daah mkuu hatari sana
 
Daah mwenyezi Mungu amjaalie......ila kuna wakati jamaa aliokoka.
 
Picha si vizuri inabidi tumsitiri kijana mwenzetu
Wiki 2 zilizopita nilikuwa Club MINT bukoba, nilimuona QJay akiruka debe. Kwakweli nilimuhurumia, kimuonekano ni kama msela wa kitaa asiye na mbele wala nyuma, huwezi fikiri amewahi kuwa staa wa muziki. Halafu alikuwa anaruka pekeyake hakuna anayemjali, ukiwa huna hela noma sana maana sidhani hata kama kuna demu anamtaka[emoji23] [emoji23] . Nilikuwa na shemeji yenu tunapata kinywaji tukawa tunamchora tu, nikawa namwambia huyo jamaa aliwahi kuwa staa akawa anakataa[emoji23][emoji23][emoji23] nilipomkumbusha aliimba wimbo Fulani na Fulani ndo akamkumbuka, sema sio vizuri kumpiga picha maana ni kumchoresha zaidi. Halafu kuhusu hoja ya kuwehuka sina hakika, maana kama angekuwa amewehuka hata Club kusingekalika
 
Sifai ni wimbo wa QJay pekeyake. Labda unasema Natamani
 
Daaah!
 
Kuokota makopo sio uchizi siku izi, kuna watu wanaishi kwasababu ya hayo makopo.
 
Kupost hujafanya kosa mkuu achana na vistobe wanaodandia train kwa mbele kikubwa tushapata taarifa wenye uwezo wamsaidie tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…