Mstaafu Jakaya Kikwete anakerwa na nini?

Mstaafu Jakaya Kikwete anakerwa na nini?

Yaani umeaua kuwachonganisha kabisa hapa waziwazi?

Nisikilize kitu kimoja ndugu yangu. Mara zote tunapotokea kujidai kuwa sisi ni wajanja zaidi kuliko JK, yeye huwa anatukubali na kuamua kutulia halafu huko mbele ya safari tunakuja kukutana na kigingi ambacho huwa kinatukumbusha tena kuwa busara za JK ni za muhimu sana kwetu

JK ni Rais mstaafu, ameiongoza nchi hii kwa miaka 10 kamili, akastaafu, akaondoka madarakani huku akiiacha nchi ikiendelea kuwa salama, achilia mbali umaskini wetu. Tuna watu wawili tu kwa sasa wenye CV zenye sifa hiii, JK na Rais Mstaafu Mwinyi. Kwa hiyo ukimwondoa Rais mwinyi, JK anabaki kuwa mTanzania pekee mwenye CV ambayo waTanzania wote million 60 hatuna.

Tumsikilizeni JK kwa sababu kuna mambo ambayo Mungu huwa anapitishia kwake. Ni kwa sababu JK ana CV ambayo waTanzania wengine wote hatuna
Mimi nilimkubali JK tangu Mwendazake alipoingia madarakani. Hata wabunge mwaka ule nadhan 2016 waliposema tumekumiss alipoingia bungeni ni dhahiri kwamba tuliokuwa hatumwelewi kabla hatuna uzoefu wake. Toka mwendazake alipoingia mpk leo na kesho na milele sitathubutu kuacha kumwelewa.
Nawashauri na wengine. Maana majuto ni mjukuu.
 
(3) "Mtu aliyewahi kuwa Rais wa Tanganyika au Zanzibar
hatapoteza sifa za kugombea na kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya
Muungano kwa sababu aliwahi kushika nafasi ya madaraka ya Rais wa
Tanganyika au Rais wa Zanzibar.
(4) Endapo Makamu wa Rais atashika nafasi ya madaraka ya
Rais kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 76 kwa kipindi kisichozidi
miaka mitatu, ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais kwa vipindi
viwili, lakini kama atashika nafasi ya madaraka ya Rais kwa muda
wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea nafasi ya madaraka
ya Rais kwa kipindi kimoja tu. "

Hiyo ni katiba mpya inavyosema.
So hakuna lisilowezekana chini ya jua hili.
Nchi ya jua hili au sio?! 😂😂😂😂
 
""Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama".


Nilivyoona tittle yako tu nikataka nije niliongee hili maana nina ushahidi nalo bahati nzuri umeliongelea,kiukweli nimesikitika sana huyu mzee sijui bado anataka nini katika nchi hii.

Kuna mama yetu alikuwa mwenyekiti mkoa X alikuwa swahiba sana na mama samia na nimeshawahi kumsikia wakifurahi na kucheka kwenye simu live na mheshimiwa prezidaa lakini jamaa kaforce mpaka jina halijarudi kapanga watu wake.

Halafu mama ni alikuwa ni kjpenzi cha watu ana roho nyeupe sana yule mama,wajumbe asilimia 70 ilibaki kidogo tuharibu kura kwa kuandika jina la yule mama kwenye uchaguzi sema busara zilitumika tu kututuliza,lakini hahathahata hivyo mwisho wa siku tumemchapa mtu wake tumempigia kura mtu tusiyemtaka hili kumkomoa

Wapi huko??
 
Kwa mara ya kwanza nikiwa Ukumbini kama mgeni muarikwa nilimuona JK akiwa na hasira Kali sana na jazba isiyodhibitika kirahisi.

Mpaka akamsema Charamila, Msiba n.k... Badae tukakutana jioni pale Shish food kujadili kulikoni, ndipo taarifa zikaja kuwa kura za hapana zilikuwa nyingi, lkn pia wanaojipanga na Urais miongoni mwao ni Membe na April ambao anawasuka yeye kijanja-janja na siri zishavuja tayari kachelewa... So, pale alikuwa anajiosha tu mbele ya Mwenyekiti wetu.

Anasema '.....muiteni huyo anayesema kuna watu wanenda.....wakijipanga kugombea Urais mkamuhoji....., akikosa ushahidi muonye mwambie ''''UKOME'''...akongezea neno....''':::::MGANGA NJAA:::::'''

Mnyetishaji alitutonya kwa usahihi kabisa, Makamba kusema 'MAMA HUTAKUFA' akaja JK akasema LABDA MAMBO YAHARIBIKE SANA ulikuwa ujumbe tosha kwa mikakati yao kujidhihirisha wazee hawa.

Kazi kwa vyombo na mama Mwenyewe..asipojibandua kwa JK hataamini kufikia 2025.

Tunamuomba anapoisuka upya serikali yake awaweke pembeni wale wote wenye vinasaba vya...... Afu aone atakavyo pata raha kwenye kuongoza..nafuu hata akina Kalemani, Bashiru hawana issue sana lakini mabwana wale....duh NOMER..

Membe afatiliwe kwa umakini sana nyendo zake.
Hakika huyu jakaya alijidharirisha sana halafu alikuwa anaongea kwa jazba sijui alikumbwa na nini na si kamba kwamba hakujipanga ni muongo yote alosema ndio yalikuwa yamemjaa moyoni......uswahili KAZI sana
 
(3) "Mtu aliyewahi kuwa Rais wa Tanganyika au Zanzibar
hatapoteza sifa za kugombea na kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya
Muungano kwa sababu aliwahi kushika nafasi ya madaraka ya Rais wa
Tanganyika au Rais wa Zanzibar.
(4) Endapo Makamu wa Rais atashika nafasi ya madaraka ya
Rais kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 76 kwa kipindi kisichozidi
miaka mitatu, ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais kwa vipindi
viwili, lakini kama atashika nafasi ya madaraka ya Rais kwa muda
wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea nafasi ya madaraka
ya Rais kwa kipindi kimoja tu. "

Hiyo ni katiba mpya inavyosema.
So hakuna lisilowezekana chini ya jua hili.
Koma we,

Hatujaandika KATIBA mpya Bado.

Yaani ukiweka kiraka kipya kwenye kaniki chakavu unawezaje Sema nguo imekuwa Mpya?
 
Kwa mara ya kwanza nikiwa Ukumbini kama mgeni muarikwa nilimuona JK akiwa na hasira Kali sana na jazba isiyodhibitika kirahisi.

Mpaka akamsema Charamila, Msiba n.k... Badae tukakutana jioni pale Shish food kujadili kulikoni, ndipo taarifa zikaja kuwa kura za hapana zilikuwa nyingi, lkn pia wanaojipanga na Urais miongoni mwao ni Membe na April ambao anawasuka yeye kijanja-janja na siri zishavuja tayari kachelewa... So, pale alikuwa anajiosha tu mbele ya Mwenyekiti wetu.

Anasema '.....muiteni huyo anayesema kuna watu wanenda.....wakijipanga kugombea Urais mkamuhoji....., akikosa ushahidi muonye mwambie ''''UKOME'''...akongezea neno....''':::::MGANGA NJAA:::::'''

Mnyetishaji alitutonya kwa usahihi kabisa, Makamba kusema 'MAMA HUTAKUFA' akaja JK akasema LABDA MAMBO YAHARIBIKE SANA ulikuwa ujumbe tosha kwa mikakati yao kujidhihirisha wazee hawa.

Kazi kwa vyombo na mama Mwenyewe..asipojibandua kwa JK hataamini kufikia 2025.

Tunamuomba anapoisuka upya serikali yake awaweke pembeni wale wote wenye vinasaba vya...... Afu aone atakavyo pata raha kwenye kuongoza..nafuu hata akina Kalemani, Bashiru hawana issue sana lakini mabwana wale....duh NOMER..

Membe afatiliwe kwa umakini sana nyendo zake.
Mwacheni mzee wa Watu apumzike!

Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
 
Kwa mara ya kwanza nikiwa Ukumbini kama mgeni muarikwa nilimuona JK akiwa na hasira Kali sana na jazba isiyodhibitika kirahisi.

Mpaka akamsema Charamila, Msiba n.k... Badae tukakutana jioni pale Shish food kujadili kulikoni, ndipo taarifa zikaja kuwa kura za hapana zilikuwa nyingi, lkn pia wanaojipanga na Urais miongoni mwao ni Membe na April ambao anawasuka yeye kijanja-janja na siri zishavuja tayari kachelewa... So, pale alikuwa anajiosha tu mbele ya Mwenyekiti wetu.

Anasema '.....muiteni huyo anayesema kuna watu wanenda.....wakijipanga kugombea Urais mkamuhoji....., akikosa ushahidi muonye mwambie ''''UKOME'''...akongezea neno....''':::::MGANGA NJAA:::::'''

Mnyetishaji alitutonya kwa usahihi kabisa, Makamba kusema 'MAMA HUTAKUFA' akaja JK akasema LABDA MAMBO YAHARIBIKE SANA ulikuwa ujumbe tosha kwa mikakati yao kujidhihirisha wazee hawa.

Kazi kwa vyombo na mama Mwenyewe..asipojibandua kwa JK hataamini kufikia 2025.

Tunamuomba anapoisuka upya serikali yake awaweke pembeni wale wote wenye vinasaba vya...... Afu aone atakavyo pata raha kwenye kuongoza..nafuu hata akina Kalemani, Bashiru hawana issue sana lakini mabwana wale....duh NOMER..

Membe afatiliwe kwa umakini sana nyendo zake.
Maembe atakua na miaka 72 mnamo mwaka 2025
 
""Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama".


Nilivyoona tittle yako tu nikataka nije niliongee hili maana nina ushahidi nalo bahati nzuri umeliongelea,kiukweli nimesikitika sana huyu mzee sijui bado anataka nini katika nchi hii.

Kuna mama yetu alikuwa mwenyekiti mkoa X alikuwa swahiba sana na mama samia na nimeshawahi kumsikia wakifurahi na kucheka kwenye simu live na mheshimiwa prezidaa lakini jamaa kaforce mpaka jina halijarudi kapanga watu wake.

Halafu mama ni alikuwa ni kjpenzi cha watu ana roho nyeupe sana yule mama,wajumbe asilimia 70 ilibaki kidogo tuharibu kura kwa kuandika jina la yule mama kwenye uchaguzi sema busara zilitumika tu kututuliza,lakini hahathahata hivyo mwisho wa siku tumemchapa mtu wake tumempigia kura mtu tusiyemtaka hili kumkomoa
Hivi hicho chama chenu hakina njia nzuri ya kuwapata hao wagombea mpaka mstaafu akajipenyeza na kuweka mtu wake? Mstaafu alitumia njia gani mpaka kumpiku mwenyekiti? Hivi tumlaumu jk au mwenyekiti ambaye ana power harafu anapangiwa timu na mstafu wakati yeye yupo?!! Kitu gani kinawashinda nyie wenye chama kumzibiti huyo jk harafu mnabaki kulalamika?
 
Nionavyo Mimi ni kwamba Kuna watu inawakera kuona ssh kuwa karibu na hao wastaafu na sio vinginevyo na mnatafuta njia ya kuwagombanisha.
Hivi ubaya wa wastaafu muweze kuuona ninyi harafu mwenyekiti wa chama na rais asiuone kweli inawezekana? Mnaujua mtazamo wa mwenyekiti kwa hao wastaafu? Maana msije mkaona kama mwenyekiti anaingiliwa kumbe yeye kaamua kuwaweka karibu
 
Nionavyo Mimi ni kwamba Kuna watu inawakera kuona ssh kuwa karibu na hao wastaafu na sio vinginevyo na mnatafuta njia ya kuwagombanisha.
Hivi ubaya wa wastaafu muweze kuuona ninyi harafu mwenyekiti wa chama na rais asiuone kweli inawezekana? Mnaujua mtazamo wa mwenyekiti kwa hao wastaafu? Maana msije mkaona kama mwenyekiti anaingiliwa kumbe yeye kaamua kuwaweka karibu
Hakuna anaekereka, aendelee kuwakumbatia hao mafisadi hivyohivyo ili kazi yetu iwe nyepesi
 
Waswahilina hawajawahi kuwa na akili kubwa na ndo wamejazana huko fisiemu kwa sababu wamebobea kwenye ndumba, fitina na majungu, kwa hiyo hakuna la kushangaza hapa tuache muda uamaue ya mbeleni.....
UMEJIDHARAULISHA SANA KWA CHUKI ZA KISHAMBA
 
""Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama".


Nilivyoona tittle yako tu nikataka nije niliongee hili maana nina ushahidi nalo bahati nzuri umeliongelea,kiukweli nimesikitika sana huyu mzee sijui bado anataka nini katika nchi hii.

Kuna mama yetu alikuwa mwenyekiti mkoa X alikuwa swahiba sana na mama samia na nimeshawahi kumsikia wakifurahi na kucheka kwenye simu live na mheshimiwa prezidaa lakini jamaa kaforce mpaka jina halijarudi kapanga watu wake.

Halafu mama ni alikuwa ni kjpenzi cha watu ana roho nyeupe sana yule mama,wajumbe asilimia 70 ilibaki kidogo tuharibu kura kwa kuandika jina la yule mama kwenye uchaguzi sema busara zilitumika tu kututuliza,lakini hahathahata hivyo mwisho wa siku tumemchapa mtu wake tumempigia kura mtu tusiyemtaka hili kumkomoa
Mkaamua kumpigia gwajima na Bashungwa kamati kuu ccm yaani NEC na kumchinjilia baharini Marope na pena sio!!!?

Sawa tu subirini muone huyo jamaa hashindwi neno!!
 
Kuna makabila hawaelimikagi wala kubadilikaga hata waende shule uswahili hauwatokagi.
 
Back
Top Bottom