Mstaafu Jakaya Kikwete anakerwa na nini?

Mstaafu Jakaya Kikwete anakerwa na nini?

Mstaafu Jakaya Kikwete anawashwa na nini?

Na Mjumbe wa Mkutano Mkuu

MWAKA 2017, aliyekuwa Rais wakati huo, John Pombe Magufuli, alisema: "wastaafu wengine hawachoki kusema, wana washwa washwa."

Magufuli alitoa kauli hiyo kuwalenga baadhi ya wastaafu ambao aliwaona kuwa wanaleta chokochoko dhidi ya serikali yake.

Mmoja wa wastaafu ambao walidhibitiwa na Magufuli wasilete chokochoko ni Rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye aliufyata na kukaa kimya.

Ingawa baadhi ya watu walimlaumu Magufuli kwa aina ya uongozi wake, uamuzi wake wa kumdhibiti Kikwete asilete mtafaruku kwenye serikali yake sasa wengine tumeanza kuuelewa.

Nikiwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika hivi karibuni, mimi ni miongoni mwa watu wengi ambao walikerwa na kauli ya Kikwete kwenye mkutano huo.

Alipoombwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, atoe neno kwa wajumbe, licha ya kudai kuwa ameshtukizwa, hakuwa amejiandaa kutoa hotuba,, Kikwete aliongea karibu nusu saa na kutoa maneno ambayo ni dhahiri kuwa aliyapanga kuyasema.

Kwenye hotuba yake, Jakaya alimwambia Rais Samia kuwa "asisikilize porojo za watu."

Kauli hiyo siyo sawa na ni mbaya sana kwani ni kama vile Jakaya eti anamfundisha kazi Rais Samia na anamsema hadharani kuwa Rais ni mtu wa kusikiliza porojo.

Jakaya aliongeza kuwa Rais Samia "asibabaishwe na maneno ya watu kuwa kuna wanasiasa vijana na wazee" wanafanya kampeni za chini kwa chini kuchuana na Dkt Samia kuwa mgombea urais wa CCM 2025.

Kauli hii inaashiria kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa ni mtu wa kubabaishwa na maneno na hajiamini kwenye nafasi yake.

Kikwete alisema "Rais wewe usibabaishwe na maneno haya" huku akitaka umma uamini kuwa Rais Samia ni kiongozi dhaifu anayebabaishwa na maneno ya porojo.

Wakati Rais Samia mwenyewe amewahi kuonya mara kadhaa kuhusu uwepo wa makundi ndani ya CCM yanayojipanga na urais 2025, Jakaya alikebehi tuhuma hizo na kusema kuwa huo ni "uongo" na maneno ya "hovyo hovyo."

Hii maana yake ni kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa anaamini maneno ya uongo.

Pia Jakaya alionekana kukosoa uongozi wa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM kwa kusema kuwa katika kipindi chake Jakaya akiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM hakutoa nafasi kwa "upuuzi" wa watu kusema uongo ndani ya chama.

Licha ya kusema kuwa siyo utamaduni kwa Rais anayemaliza muhula mmoja kupingwa na wagombea wengine ndani ya chama, alionya kuwa hilo linaweza kutokea "kama mambo yakiharibika sana."

Maneno hayo ya Jakaya yaliwashtusha wajumbe wengi kwani inaonekana kaongea kwa makusudi kutokana na uzoefu wake mkubwa kwenye chama na serikali.

Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama.

Ndiyo maana Magufuli aliamua kumdhibiti Jakaya na alitulia kweli kweli. Baada ya Rais Samia ametoa uhuru kwa wastaafu, sasa Jakaya ameamua kutumia uhuru huo kujaribu kukivuruga chama.

Nikiwa kama Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM namshauri Jakaya atulie zake Msoga kama mstaafu afuge tausi wake aliopewa na Magufuli.

Amuache Rais Samia aongoze kwa amani, kama yeye Jakaya alivyoachwa na Mkapa atawale kwa amani.

Kwani Jakaya anawashwa washwa na nini hasa?
Kavideo au kaudio ka hotuba ya mama na mjuba tafadhali ili inoge
 
Mstaafu Jakaya Kikwete anawashwa na nini?

Na Mjumbe wa Mkutano Mkuu

MWAKA 2017, aliyekuwa Rais wakati huo, John Pombe Magufuli, alisema: "wastaafu wengine hawachoki kusema, wana washwa washwa."

Magufuli alitoa kauli hiyo kuwalenga baadhi ya wastaafu ambao aliwaona kuwa wanaleta chokochoko dhidi ya serikali yake.

Mmoja wa wastaafu ambao walidhibitiwa na Magufuli wasilete chokochoko ni Rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye aliufyata na kukaa kimya.

Ingawa baadhi ya watu walimlaumu Magufuli kwa aina ya uongozi wake, uamuzi wake wa kumdhibiti Kikwete asilete mtafaruku kwenye serikali yake sasa wengine tumeanza kuuelewa.

Nikiwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika hivi karibuni, mimi ni miongoni mwa watu wengi ambao walikerwa na kauli ya Kikwete kwenye mkutano huo.

Alipoombwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, atoe neno kwa wajumbe, licha ya kudai kuwa ameshtukizwa, hakuwa amejiandaa kutoa hotuba,, Kikwete aliongea karibu nusu saa na kutoa maneno ambayo ni dhahiri kuwa aliyapanga kuyasema.

Kwenye hotuba yake, Jakaya alimwambia Rais Samia kuwa "asisikilize porojo za watu."

Kauli hiyo siyo sawa na ni mbaya sana kwani ni kama vile Jakaya eti anamfundisha kazi Rais Samia na anamsema hadharani kuwa Rais ni mtu wa kusikiliza porojo.

Jakaya aliongeza kuwa Rais Samia "asibabaishwe na maneno ya watu kuwa kuna wanasiasa vijana na wazee" wanafanya kampeni za chini kwa chini kuchuana na Dkt Samia kuwa mgombea urais wa CCM 2025.

Kauli hii inaashiria kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa ni mtu wa kubabaishwa na maneno na hajiamini kwenye nafasi yake.

Kikwete alisema "Rais wewe usibabaishwe na maneno haya" huku akitaka umma uamini kuwa Rais Samia ni kiongozi dhaifu anayebabaishwa na maneno ya porojo.

Wakati Rais Samia mwenyewe amewahi kuonya mara kadhaa kuhusu uwepo wa makundi ndani ya CCM yanayojipanga na urais 2025, Jakaya alikebehi tuhuma hizo na kusema kuwa huo ni "uongo" na maneno ya "hovyo hovyo."

Hii maana yake ni kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa anaamini maneno ya uongo.

Pia Jakaya alionekana kukosoa uongozi wa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM kwa kusema kuwa katika kipindi chake Jakaya akiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM hakutoa nafasi kwa "upuuzi" wa watu kusema uongo ndani ya chama.

Licha ya kusema kuwa siyo utamaduni kwa Rais anayemaliza muhula mmoja kupingwa na wagombea wengine ndani ya chama, alionya kuwa hilo linaweza kutokea "kama mambo yakiharibika sana."

Maneno hayo ya Jakaya yaliwashtusha wajumbe wengi kwani inaonekana kaongea kwa makusudi kutokana na uzoefu wake mkubwa kwenye chama na serikali.

Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama.

Ndiyo maana Magufuli aliamua kumdhibiti Jakaya na alitulia kweli kweli. Baada ya Rais Samia ametoa uhuru kwa wastaafu, sasa Jakaya ameamua kutumia uhuru huo kujaribu kukivuruga chama.

Nikiwa kama Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM namshauri Jakaya atulie zake Msoga kama mstaafu afuge tausi wake aliopewa na Magufuli.

Amuache Rais Samia aongoze kwa amani, kama yeye Jakaya alivyoachwa na Mkapa atawale kwa amani.

Kwani Jakaya anawashwa washwa na nini hasa?
Jakayacna Samia wote ni wezi wa kura kwa lengo la kujinufaisha kwa rasilimali za nchi wao na jamaa wao wa karibu.
 
Mstaafu Jakaya Kikwete anawashwa na nini?

Na Mjumbe wa Mkutano Mkuu

MWAKA 2017, aliyekuwa Rais wakati huo, John Pombe Magufuli, alisema: "wastaafu wengine hawachoki kusema, wana washwa washwa."

Magufuli alitoa kauli hiyo kuwalenga baadhi ya wastaafu ambao aliwaona kuwa wanaleta chokochoko dhidi ya serikali yake.

Mmoja wa wastaafu ambao walidhibitiwa na Magufuli wasilete chokochoko ni Rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye aliufyata na kukaa kimya.

Ingawa baadhi ya watu walimlaumu Magufuli kwa aina ya uongozi wake, uamuzi wake wa kumdhibiti Kikwete asilete mtafaruku kwenye serikali yake sasa wengine tumeanza kuuelewa.

Nikiwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika hivi karibuni, mimi ni miongoni mwa watu wengi ambao walikerwa na kauli ya Kikwete kwenye mkutano huo.

Alipoombwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, atoe neno kwa wajumbe, licha ya kudai kuwa ameshtukizwa, hakuwa amejiandaa kutoa hotuba,, Kikwete aliongea karibu nusu saa na kutoa maneno ambayo ni dhahiri kuwa aliyapanga kuyasema.

Kwenye hotuba yake, Jakaya alimwambia Rais Samia kuwa "asisikilize porojo za watu."

Kauli hiyo siyo sawa na ni mbaya sana kwani ni kama vile Jakaya eti anamfundisha kazi Rais Samia na anamsema hadharani kuwa Rais ni mtu wa kusikiliza porojo.

Jakaya aliongeza kuwa Rais Samia "asibabaishwe na maneno ya watu kuwa kuna wanasiasa vijana na wazee" wanafanya kampeni za chini kwa chini kuchuana na Dkt Samia kuwa mgombea urais wa CCM 2025.

Kauli hii inaashiria kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa ni mtu wa kubabaishwa na maneno na hajiamini kwenye nafasi yake.

Kikwete alisema "Rais wewe usibabaishwe na maneno haya" huku akitaka umma uamini kuwa Rais Samia ni kiongozi dhaifu anayebabaishwa na maneno ya porojo.

Wakati Rais Samia mwenyewe amewahi kuonya mara kadhaa kuhusu uwepo wa makundi ndani ya CCM yanayojipanga na urais 2025, Jakaya alikebehi tuhuma hizo na kusema kuwa huo ni "uongo" na maneno ya "hovyo hovyo."

Hii maana yake ni kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa anaamini maneno ya uongo.

Pia Jakaya alionekana kukosoa uongozi wa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM kwa kusema kuwa katika kipindi chake Jakaya akiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM hakutoa nafasi kwa "upuuzi" wa watu kusema uongo ndani ya chama.

Licha ya kusema kuwa siyo utamaduni kwa Rais anayemaliza muhula mmoja kupingwa na wagombea wengine ndani ya chama, alionya kuwa hilo linaweza kutokea "kama mambo yakiharibika sana."

Maneno hayo ya Jakaya yaliwashtusha wajumbe wengi kwani inaonekana kaongea kwa makusudi kutokana na uzoefu wake mkubwa kwenye chama na serikali.

Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama.

Ndiyo maana Magufuli aliamua kumdhibiti Jakaya na alitulia kweli kweli. Baada ya Rais Samia ametoa uhuru kwa wastaafu, sasa Jakaya ameamua kutumia uhuru huo kujaribu kukivuruga chama.

Nikiwa kama Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM namshauri Jakaya atulie zake Msoga kama mstaafu afuge tausi wake aliopewa na Magufuli.

Amuache Rais Samia aongoze kwa amani, kama yeye Jakaya alivyoachwa na Mkapa atawale kwa amani.

Kwani Jakaya anawashwa washwa na nini hasa?
Ni jambo la kuombea liendelee na wararuane haswaaaa.

Chama kinapaswa kukaa pembeni.
 
JK alikuwa akijitetea badala ya kukishauri chama. Alikuwa akimshauri mwenyekiti badala ya kuishauri mkutano mkuu. Alikuwa akimhutubia mama badala ya kuuhutubia mkutano mkuu.
Alisema uongo kwa sababu katika uongozi wake ndio kulikuwa na vijana aliowatuma kumtuhumu Lowassa na viongozi wengine kama Warioba.
Waliibuka kina Makonda na Hamidu Shaka wakiwachafua watu kisiasa. Kina Sixtus Mapunda na Sadifa.
Umenena !!
 
""Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama".


Nilivyoona tittle yako tu nikataka nije niliongee hili maana nina ushahidi nalo bahati nzuri umeliongelea,kiukweli nimesikitika sana huyu mzee sijui bado anataka nini katika nchi hii.

Kuna mama yetu alikuwa mwenyekiti mkoa X alikuwa swahiba sana na mama samia na nimeshawahi kumsikia wakifurahi na kucheka kwenye simu live na mheshimiwa prezidaa lakini jamaa kaforce mpaka jina halijarudi kapanga watu wake.

Halafu mama ni alikuwa ni kjpenzi cha watu ana roho nyeupe sana yule mama,wajumbe asilimia 70 ilibaki kidogo tuharibu kura kwa kuandika jina la yule mama kwenye uchaguzi sema busara zilitumika tu kututuliza,lakini hahathahata hivyo mwisho wa siku tumemchapa mtu wake tumempigia kura mtu tusiyemtaka hili kumkomoa
Bora hukujaribu kufanya ulichofikiria kufanya mkuu maana sina shaka gharama ingelipwa kwa ukubwa wake.
 
NJIA BORA YA KUKIEPUKA HIKI KIZEE NI KUSUBIRIA SIKU YA MUNGU AU KIFO KUKITWAA.
 
JK alikuwa akijitetea badala ya kukishauri chama. Alikuwa akimshauri mwenyekiti badala ya kuishauri mkutano mkuu. Alikuwa akimhutubia mama badala ya kuuhutubia mkutano mkuu.
Alisema uongo kwa sababu katika uongozi wake ndio kulikuwa na vijana aliowatuma kumtuhumu Lowassa na viongozi wengine kama Warioba.
Waliibuka kina Makonda na Hamidu Shaka wakiwachafua watu kisiasa. Kina Sixtus Mapunda na Sadifa.
The best comment!!!
 
Mtoa mada ameandika maneno mengi ila kuna kitu hajaelewa.
Lengo la JK sio kumponda Suluhu ila lengo la JK ni kumfagilia Suluhu aendelee kwa sababu wanammudu.
Wanahofia akiingia mtu mpya mfumo unaweza ukabadilika yakaja kama ya Marehemu Magu.
Na hii ndio hoja watu wengi hawaielewe,JK na his Company's wanataka kuhakikisha asitokee MTU nje ya cycle yao but muda huwezi shindana nao.
 
Shida watawala wanageuza nchi ya familia…..
Ipo siku wananchi wataamua
 
Labda kama huyo waziri anayetajwa kuwa anautaka urais ni Riz moko au Marope April.
 
Naona sasa watu wameanza kumuelewa Ally Happi na ile kauli ya wastaafu wakae kimya. Nathubutu kusema yule mtoto ana maono ya mbali mno na anaijua ccm haswa hususani tabia za wazee wastaafu katika mambo yasiyo ya maana.

Ndio maana Magu pia aliamua kuwatuliza akafanya kazi zake, nadhani nae alikuwa anawajua watu kama hawa.

Kama Samia mwenyewe alikiri kuna watu wanajipanga kwa urais akawatoa kina lukuvi na kina Kabudi akawaweka kina January na sie raia wa nje tukamuambia ameruka maji amekanyaga oil chafu.

Jibu kamili la hii sinema nitalipata kama RC wa Bukoba akiondolewa au akiendelea kupeta. Kwamba mama yupo upande wa aliyosema JK kuwa hakuna na ni uzushi au hata yeye mama anaamini wapo na yupo na RC.
Ila Sukuma gang mnapata tabu sana
 
""Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama".


Nilivyoona tittle yako tu nikataka nije niliongee hili maana nina ushahidi nalo bahati nzuri umeliongelea,kiukweli nimesikitika sana huyu mzee sijui bado anataka nini katika nchi hii.

Kuna mama yetu alikuwa mwenyekiti mkoa X alikuwa swahiba sana na mama samia na nimeshawahi kumsikia wakifurahi na kucheka kwenye simu live na mheshimiwa prezidaa lakini jamaa kaforce mpaka jina halijarudi kapanga watu wake.

Halafu mama ni alikuwa ni kjpenzi cha watu ana roho nyeupe sana yule mama,wajumbe asilimia 70 ilibaki kidogo tuharibu kura kwa kuandika jina la yule mama kwenye uchaguzi sema busara zilitumika tu kututuliza,lakini hahathahata hivyo mwisho wa siku tumemchapa mtu wake tumempigia kura mtu tusiyemtaka hili kumkomoa
Tudokeze alikuwa mtu wake na mliye mchagua kama mbadala.
 
Back
Top Bottom