Mstaafu Jakaya Kikwete anakerwa na nini?

Mstaafu Jakaya Kikwete anakerwa na nini?

Mstaafu Jakaya Kikwete anawashwa na nini?

Na Mjumbe wa Mkutano Mkuu

MWAKA 2017, aliyekuwa Rais wakati huo, John Pombe Magufuli, alisema: "wastaafu wengine hawachoki kusema, wana washwa washwa."

Magufuli alitoa kauli hiyo kuwalenga baadhi ya wastaafu ambao aliwaona kuwa wanaleta chokochoko dhidi ya serikali yake.

Mmoja wa wastaafu ambao walidhibitiwa na Magufuli wasilete chokochoko ni Rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye aliufyata na kukaa kimya.

Ingawa baadhi ya watu walimlaumu Magufuli kwa aina ya uongozi wake, uamuzi wake wa kumdhibiti Kikwete asilete mtafaruku kwenye serikali yake sasa wengine tumeanza kuuelewa.

Nikiwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika hivi karibuni, mimi ni miongoni mwa watu wengi ambao walikerwa na kauli ya Kikwete kwenye mkutano huo.

Alipoombwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, atoe neno kwa wajumbe, licha ya kudai kuwa ameshtukizwa, hakuwa amejiandaa kutoa hotuba,, Kikwete aliongea karibu nusu saa na kutoa maneno ambayo ni dhahiri kuwa aliyapanga kuyasema.

Kwenye hotuba yake, Jakaya alimwambia Rais Samia kuwa "asisikilize porojo za watu."

Kauli hiyo siyo sawa na ni mbaya sana kwani ni kama vile Jakaya eti anamfundisha kazi Rais Samia na anamsema hadharani kuwa Rais ni mtu wa kusikiliza porojo.

Jakaya aliongeza kuwa Rais Samia "asibabaishwe na maneno ya watu kuwa kuna wanasiasa vijana na wazee" wanafanya kampeni za chini kwa chini kuchuana na Dkt Samia kuwa mgombea urais wa CCM 2025.

Kauli hii inaashiria kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa ni mtu wa kubabaishwa na maneno na hajiamini kwenye nafasi yake.

Kikwete alisema "Rais wewe usibabaishwe na maneno haya" huku akitaka umma uamini kuwa Rais Samia ni kiongozi dhaifu anayebabaishwa na maneno ya porojo.

Wakati Rais Samia mwenyewe amewahi kuonya mara kadhaa kuhusu uwepo wa makundi ndani ya CCM yanayojipanga na urais 2025, Jakaya alikebehi tuhuma hizo na kusema kuwa huo ni "uongo" na maneno ya "hovyo hovyo."

Hii maana yake ni kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa anaamini maneno ya uongo.

Pia Jakaya alionekana kukosoa uongozi wa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM kwa kusema kuwa katika kipindi chake Jakaya akiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM hakutoa nafasi kwa "upuuzi" wa watu kusema uongo ndani ya chama.

Licha ya kusema kuwa siyo utamaduni kwa Rais anayemaliza muhula mmoja kupingwa na wagombea wengine ndani ya chama, alionya kuwa hilo linaweza kutokea "kama mambo yakiharibika sana."

Maneno hayo ya Jakaya yaliwashtusha wajumbe wengi kwani inaonekana kaongea kwa makusudi kutokana na uzoefu wake mkubwa kwenye chama na serikali.

Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama.

Ndiyo maana Magufuli aliamua kumdhibiti Jakaya na alitulia kweli kweli. Baada ya Rais Samia ametoa uhuru kwa wastaafu, sasa Jakaya ameamua kutumia uhuru huo kujaribu kukivuruga chama.

Nikiwa kama Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM namshauri Jakaya atulie zake Msoga kama mstaafu afuge tausi wake aliopewa na Magufuli.

Amuache Rais Samia aongoze kwa amani, kama yeye Jakaya alivyoachwa na Mkapa atawale kwa amani.

Kwani Jakaya anawashwa washwa na nini hasa?
He is paid 80% of what the sitting president is being paid, nothing to loose! Plus benefits!
Ungegombea katiba mpya ningekuelewa! Wewe unapata ngapi?
 
Mstaafu Jakaya Kikwete anawashwa na nini?

Na Mjumbe wa Mkutano Mkuu

MWAKA 2017, aliyekuwa Rais wakati huo, John Pombe Magufuli, alisema: "wastaafu wengine hawachoki kusema, wana washwa washwa."

Magufuli alitoa kauli hiyo kuwalenga baadhi ya wastaafu ambao aliwaona kuwa wanaleta chokochoko dhidi ya serikali yake.

Mmoja wa wastaafu ambao walidhibitiwa na Magufuli wasilete chokochoko ni Rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye aliufyata na kukaa kimya.

Ingawa baadhi ya watu walimlaumu Magufuli kwa aina ya uongozi wake, uamuzi wake wa kumdhibiti Kikwete asilete mtafaruku kwenye serikali yake sasa wengine tumeanza kuuelewa.

Nikiwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika hivi karibuni, mimi ni miongoni mwa watu wengi ambao walikerwa na kauli ya Kikwete kwenye mkutano huo.

Alipoombwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, atoe neno kwa wajumbe, licha ya kudai kuwa ameshtukizwa, hakuwa amejiandaa kutoa hotuba,, Kikwete aliongea karibu nusu saa na kutoa maneno ambayo ni dhahiri kuwa aliyapanga kuyasema.

Kwenye hotuba yake, Jakaya alimwambia Rais Samia kuwa "asisikilize porojo za watu."

Kauli hiyo siyo sawa na ni mbaya sana kwani ni kama vile Jakaya eti anamfundisha kazi Rais Samia na anamsema hadharani kuwa Rais ni mtu wa kusikiliza porojo.

Jakaya aliongeza kuwa Rais Samia "asibabaishwe na maneno ya watu kuwa kuna wanasiasa vijana na wazee" wanafanya kampeni za chini kwa chini kuchuana na Dkt Samia kuwa mgombea urais wa CCM 2025.

Kauli hii inaashiria kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa ni mtu wa kubabaishwa na maneno na hajiamini kwenye nafasi yake.

Kikwete alisema "Rais wewe usibabaishwe na maneno haya" huku akitaka umma uamini kuwa Rais Samia ni kiongozi dhaifu anayebabaishwa na maneno ya porojo.

Wakati Rais Samia mwenyewe amewahi kuonya mara kadhaa kuhusu uwepo wa makundi ndani ya CCM yanayojipanga na urais 2025, Jakaya alikebehi tuhuma hizo na kusema kuwa huo ni "uongo" na maneno ya "hovyo hovyo."

Hii maana yake ni kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa anaamini maneno ya uongo.

Pia Jakaya alionekana kukosoa uongozi wa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM kwa kusema kuwa katika kipindi chake Jakaya akiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM hakutoa nafasi kwa "upuuzi" wa watu kusema uongo ndani ya chama.

Licha ya kusema kuwa siyo utamaduni kwa Rais anayemaliza muhula mmoja kupingwa na wagombea wengine ndani ya chama, alionya kuwa hilo linaweza kutokea "kama mambo yakiharibika sana."

Maneno hayo ya Jakaya yaliwashtusha wajumbe wengi kwani inaonekana kaongea kwa makusudi kutokana na uzoefu wake mkubwa kwenye chama na serikali.

Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama.

Ndiyo maana Magufuli aliamua kumdhibiti Jakaya na alitulia kweli kweli. Baada ya Rais Samia ametoa uhuru kwa wastaafu, sasa Jakaya ameamua kutumia uhuru huo kujaribu kukivuruga chama.

Nikiwa kama Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM namshauri Jakaya atulie zake Msoga kama mstaafu afuge tausi wake aliopewa na Magufuli.

Amuache Rais Samia aongoze kwa amani, kama yeye Jakaya alivyoachwa na Mkapa atawale kwa amani.

Kwani Jakaya anawashwa washwa na nini hasa?
Wewe sio muungwana..wewe sio mstaarabu.

Waheshimu watu wazima.


Unawezaje kumtakia mtu mzima sawa na baba ako Maneno makali kama.hayo?

Moderator futeni huu uzi tafadhali unashusha heshima ya jf
 
Mstaafu Jakaya Kikwete anawashwa na nini?

Na Mjumbe wa Mkutano Mkuu

MWAKA 2017, aliyekuwa Rais wakati huo, John Pombe Magufuli, alisema: "wastaafu wengine hawachoki kusema, wana washwa washwa."

Magufuli alitoa kauli hiyo kuwalenga baadhi ya wastaafu ambao aliwaona kuwa wanaleta chokochoko dhidi ya serikali yake.

Mmoja wa wastaafu ambao walidhibitiwa na Magufuli wasilete chokochoko ni Rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye aliufyata na kukaa kimya.

Ingawa baadhi ya watu walimlaumu Magufuli kwa aina ya uongozi wake, uamuzi wake wa kumdhibiti Kikwete asilete mtafaruku kwenye serikali yake sasa wengine tumeanza kuuelewa.

Nikiwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika hivi karibuni, mimi ni miongoni mwa watu wengi ambao walikerwa na kauli ya Kikwete kwenye mkutano huo.

Alipoombwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, atoe neno kwa wajumbe, licha ya kudai kuwa ameshtukizwa, hakuwa amejiandaa kutoa hotuba,, Kikwete aliongea karibu nusu saa na kutoa maneno ambayo ni dhahiri kuwa aliyapanga kuyasema.

Kwenye hotuba yake, Jakaya alimwambia Rais Samia kuwa "asisikilize porojo za watu."

Kauli hiyo siyo sawa na ni mbaya sana kwani ni kama vile Jakaya eti anamfundisha kazi Rais Samia na anamsema hadharani kuwa Rais ni mtu wa kusikiliza porojo.

Jakaya aliongeza kuwa Rais Samia "asibabaishwe na maneno ya watu kuwa kuna wanasiasa vijana na wazee" wanafanya kampeni za chini kwa chini kuchuana na Dkt Samia kuwa mgombea urais wa CCM 2025.

Kauli hii inaashiria kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa ni mtu wa kubabaishwa na maneno na hajiamini kwenye nafasi yake.

Kikwete alisema "Rais wewe usibabaishwe na maneno haya" huku akitaka umma uamini kuwa Rais Samia ni kiongozi dhaifu anayebabaishwa na maneno ya porojo.

Wakati Rais Samia mwenyewe amewahi kuonya mara kadhaa kuhusu uwepo wa makundi ndani ya CCM yanayojipanga na urais 2025, Jakaya alikebehi tuhuma hizo na kusema kuwa huo ni "uongo" na maneno ya "hovyo hovyo."

Hii maana yake ni kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa anaamini maneno ya uongo.

Pia Jakaya alionekana kukosoa uongozi wa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM kwa kusema kuwa katika kipindi chake Jakaya akiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM hakutoa nafasi kwa "upuuzi" wa watu kusema uongo ndani ya chama.

Licha ya kusema kuwa siyo utamaduni kwa Rais anayemaliza muhula mmoja kupingwa na wagombea wengine ndani ya chama, alionya kuwa hilo linaweza kutokea "kama mambo yakiharibika sana."

Maneno hayo ya Jakaya yaliwashtusha wajumbe wengi kwani inaonekana kaongea kwa makusudi kutokana na uzoefu wake mkubwa kwenye chama na serikali.

Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama.

Ndiyo maana Magufuli aliamua kumdhibiti Jakaya na alitulia kweli kweli. Baada ya Rais Samia ametoa uhuru kwa wastaafu, sasa Jakaya ameamua kutumia uhuru huo kujaribu kukivuruga chama.

Nikiwa kama Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM namshauri Jakaya atulie zake Msoga kama mstaafu afuge tausi wake aliopewa na Magufuli.

Amuache Rais Samia aongoze kwa amani, kama yeye Jakaya alivyoachwa na Mkapa atawale kwa amani.

Kwani Jakaya anawashwa washwa na nini hasa?
Yaani umeaua kuwachonganisha kabisa hapa waziwazi?

Nisikilize kitu kimoja ndugu yangu. Mara zote tunapotokea kujidai kuwa sisi ni wajanja zaidi kuliko JK, yeye huwa anatukubali na kuamua kutulia halafu huko mbele ya safari tunakuja kukutana na kigingi ambacho huwa kinatukumbusha tena kuwa busara za JK ni za muhimu sana kwetu

JK ni Rais mstaafu, ameiongoza nchi hii kwa miaka 10 kamili, akastaafu, akaondoka madarakani huku akiiacha nchi ikiendelea kuwa salama, achilia mbali umaskini wetu. Tuna watu wawili tu kwa sasa wenye CV zenye sifa hiii, JK na Rais Mstaafu Mwinyi. Kwa hiyo ukimwondoa Rais mwinyi, JK anabaki kuwa mTanzania pekee mwenye CV ambayo waTanzania wote million 60 hatuna.

Tumsikilizeni JK kwa sababu kuna mambo ambayo Mungu huwa anapitishia kwake. Ni kwa sababu JK ana CV ambayo waTanzania wengine wote hatuna
 
Mstaafu Jakaya Kikwete anawashwa na nini?

Na Mjumbe wa Mkutano Mkuu

MWAKA 2017, aliyekuwa Rais wakati huo, John Pombe Magufuli, alisema: "wastaafu wengine hawachoki kusema, wana washwa washwa."

Magufuli alitoa kauli hiyo kuwalenga baadhi ya wastaafu ambao aliwaona kuwa wanaleta chokochoko dhidi ya serikali yake.

Mmoja wa wastaafu ambao walidhibitiwa na Magufuli wasilete chokochoko ni Rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye aliufyata na kukaa kimya.

Ingawa baadhi ya watu walimlaumu Magufuli kwa aina ya uongozi wake, uamuzi wake wa kumdhibiti Kikwete asilete mtafaruku kwenye serikali yake sasa wengine tumeanza kuuelewa.

Nikiwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika hivi karibuni, mimi ni miongoni mwa watu wengi ambao walikerwa na kauli ya Kikwete kwenye mkutano huo.

Alipoombwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, atoe neno kwa wajumbe, licha ya kudai kuwa ameshtukizwa, hakuwa amejiandaa kutoa hotuba,, Kikwete aliongea karibu nusu saa na kutoa maneno ambayo ni dhahiri kuwa aliyapanga kuyasema.

Kwenye hotuba yake, Jakaya alimwambia Rais Samia kuwa "asisikilize porojo za watu."

Kauli hiyo siyo sawa na ni mbaya sana kwani ni kama vile Jakaya eti anamfundisha kazi Rais Samia na anamsema hadharani kuwa Rais ni mtu wa kusikiliza porojo.

Jakaya aliongeza kuwa Rais Samia "asibabaishwe na maneno ya watu kuwa kuna wanasiasa vijana na wazee" wanafanya kampeni za chini kwa chini kuchuana na Dkt Samia kuwa mgombea urais wa CCM 2025.

Kauli hii inaashiria kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa ni mtu wa kubabaishwa na maneno na hajiamini kwenye nafasi yake.

Kikwete alisema "Rais wewe usibabaishwe na maneno haya" huku akitaka umma uamini kuwa Rais Samia ni kiongozi dhaifu anayebabaishwa na maneno ya porojo.

Wakati Rais Samia mwenyewe amewahi kuonya mara kadhaa kuhusu uwepo wa makundi ndani ya CCM yanayojipanga na urais 2025, Jakaya alikebehi tuhuma hizo na kusema kuwa huo ni "uongo" na maneno ya "hovyo hovyo."

Hii maana yake ni kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa anaamini maneno ya uongo.

Pia Jakaya alionekana kukosoa uongozi wa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM kwa kusema kuwa katika kipindi chake Jakaya akiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM hakutoa nafasi kwa "upuuzi" wa watu kusema uongo ndani ya chama.

Licha ya kusema kuwa siyo utamaduni kwa Rais anayemaliza muhula mmoja kupingwa na wagombea wengine ndani ya chama, alionya kuwa hilo linaweza kutokea "kama mambo yakiharibika sana."

Maneno hayo ya Jakaya yaliwashtusha wajumbe wengi kwani inaonekana kaongea kwa makusudi kutokana na uzoefu wake mkubwa kwenye chama na serikali.

Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama.

Ndiyo maana Magufuli aliamua kumdhibiti Jakaya na alitulia kweli kweli. Baada ya Rais Samia ametoa uhuru kwa wastaafu, sasa Jakaya ameamua kutumia uhuru huo kujaribu kukivuruga chama.

Nikiwa kama Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM namshauri Jakaya atulie zake Msoga kama mstaafu afuge tausi wake aliopewa na Magufuli.

Amuache Rais Samia aongoze kwa amani, kama yeye Jakaya alivyoachwa na Mkapa atawale kwa amani.

Kwani Jakaya anawashwa washwa na nini hasa?
JK alikuwa akijitetea badala ya kukishauri chama. Alikuwa akimshauri mwenyekiti badala ya kuishauri mkutano mkuu. Alikuwa akimhutubia mama badala ya kuuhutubia mkutano mkuu.
Alisema uongo kwa sababu katika uongozi wake ndio kulikuwa na vijana aliowatuma kumtuhumu Lowassa na viongozi wengine kama Warioba.
Waliibuka kina Makonda na Hamidu Shaka wakiwachafua watu kisiasa. Kina Sixtus Mapunda na Sadifa.
 
Wewe sio muungwana..wewe sio mstaarabu.

Waheshimu watu wazima.


Unawezaje kumtakia mtu mzima sawa na baba ako Maneno makali kama.hayo?

Moderator futeni huu uzi tafadhali unashusha heshima ya jf
Kwani mleta uzi ni mtoto? Kama ni mzee mwenye busara na yeye? JK aliendekeza emotions kwenye ile hotuba badala ya busara za mzee, mwenyekiti mstaafu na Rais mstaafu.
 
Kama ni mh. Kikwete hainashida maana wakati wa Magu kila mtu alisema afadhali Kikwete hata agombee tena, kilio cha wengi kimesikika na sasa anatawala nyuma ya mfumo.2025 wapinzani nao watapata ili tuwapime.
 
Kama ni mh. Kikwete hainashida maana wakati wa Magu kila mtu alisema afadhali Kikwete hata agombee tena, kilio cha wengi kimesikika na sasa anatawala nyuma ya mfumo.2025 wapinzani nao watapata ili tuwapime.
Mkapa ilikuwa afadhali mwinyi

Kikwete ilikuwa afadhali mkapa

Magufuli ilikuwa afadhali kikwete

Mama samia wanakuambia afadhali magu [emoji1]

Watz kazi kweli kweli

Ova
 
Mkapa ilikuwa afadhali mwinyi

Kikwete ilikuwa afadhali mkapa

Magufuli ilikuwa afadhali kikwete

Mama samia wanakuambia afadhali magu [emoji1]

Watz kazi kweli kweli

Ova
Kabisa mkuu,yaani mi nashindwa kujua watanzania wanataka nini maana bado hitaji moja tu la mwisho la kupata Rais kutoka upinzani tuone.
 
jakaya kaongea mara moja tu mnaweweseka wiki nzima. kapiga kunako sasa wazushi dawa yenu imeshaiva
Umeona ee?!!!! Wanajaza server tu na mathread ya kila aina ya uzushi na chuki. Halafu jamaa hana haraka ya kumjibu mtu, yule musiba 47i8y*yybkaja kumjibu juzi, tena kwa sekunde 3 tu.
 
Mstaafu Jakaya Kikwete anawashwa na nini?

Na Mjumbe wa Mkutano Mkuu

MWAKA 2017, aliyekuwa Rais wakati huo, John Pombe Magufuli, alisema: "wastaafu wengine hawachoki kusema, wana washwa washwa."

Magufuli alitoa kauli hiyo kuwalenga baadhi ya wastaafu ambao aliwaona kuwa wanaleta chokochoko dhidi ya serikali yake.

Mmoja wa wastaafu ambao walidhibitiwa na Magufuli wasilete chokochoko ni Rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye aliufyata na kukaa kimya.

Ingawa baadhi ya watu walimlaumu Magufuli kwa aina ya uongozi wake, uamuzi wake wa kumdhibiti Kikwete asilete mtafaruku kwenye serikali yake sasa wengine tumeanza kuuelewa.

Nikiwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika hivi karibuni, mimi ni miongoni mwa watu wengi ambao walikerwa na kauli ya Kikwete kwenye mkutano huo.

Alipoombwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, atoe neno kwa wajumbe, licha ya kudai kuwa ameshtukizwa, hakuwa amejiandaa kutoa hotuba,, Kikwete aliongea karibu nusu saa na kutoa maneno ambayo ni dhahiri kuwa aliyapanga kuyasema.

Kwenye hotuba yake, Jakaya alimwambia Rais Samia kuwa "asisikilize porojo za watu."

Kauli hiyo siyo sawa na ni mbaya sana kwani ni kama vile Jakaya eti anamfundisha kazi Rais Samia na anamsema hadharani kuwa Rais ni mtu wa kusikiliza porojo.

Jakaya aliongeza kuwa Rais Samia "asibabaishwe na maneno ya watu kuwa kuna wanasiasa vijana na wazee" wanafanya kampeni za chini kwa chini kuchuana na Dkt Samia kuwa mgombea urais wa CCM 2025.

Kauli hii inaashiria kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa ni mtu wa kubabaishwa na maneno na hajiamini kwenye nafasi yake.

Kikwete alisema "Rais wewe usibabaishwe na maneno haya" huku akitaka umma uamini kuwa Rais Samia ni kiongozi dhaifu anayebabaishwa na maneno ya porojo.

Wakati Rais Samia mwenyewe amewahi kuonya mara kadhaa kuhusu uwepo wa makundi ndani ya CCM yanayojipanga na urais 2025, Jakaya alikebehi tuhuma hizo na kusema kuwa huo ni "uongo" na maneno ya "hovyo hovyo."

Hii maana yake ni kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa anaamini maneno ya uongo.

Pia Jakaya alionekana kukosoa uongozi wa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM kwa kusema kuwa katika kipindi chake Jakaya akiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM hakutoa nafasi kwa "upuuzi" wa watu kusema uongo ndani ya chama.

Licha ya kusema kuwa siyo utamaduni kwa Rais anayemaliza muhula mmoja kupingwa na wagombea wengine ndani ya chama, alionya kuwa hilo linaweza kutokea "kama mambo yakiharibika sana."

Maneno hayo ya Jakaya yaliwashtusha wajumbe wengi kwani inaonekana kaongea kwa makusudi kutokana na uzoefu wake mkubwa kwenye chama na serikali.

Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama.

Ndiyo maana Magufuli aliamua kumdhibiti Jakaya na alitulia kweli kweli. Baada ya Rais Samia ametoa uhuru kwa wastaafu, sasa Jakaya ameamua kutumia uhuru huo kujaribu kukivuruga chama.

Nikiwa kama Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM namshauri Jakaya atulie zake Msoga kama mstaafu afuge tausi wake aliopewa na Magufuli.

Amuache Rais Samia aongoze kwa amani, kama yeye Jakaya alivyoachwa na Mkapa atawale kwa amani.

Kwani Jakaya anawashwa washwa na nini hasa?
Pale 'mtu mbaya' anapotumika kama reference ya mazuri bandiko linakuwa uozo, ni jambo jema kwamba 'mtu mbaya' alikufa watu wakaacha kuishi kwa hofu za kutekwa, kuuawa, kubambikiwa kesi au kuporwa biashara/mali zao.
 
Yaani umeaua kuwachonganisha kabisa hapa waziwazi?

Nisikilize kitu kimoja ndugu yangu. Mara zote tunapotokea kujidai kuwa sisi ni wajanja zaidi kuliko JK, yeye huwa anatukubali na kuamua kutulia halafu huko mbele ya safari tunakuja kukutana na kigingi ambacho huwa kinatukumbusha tena kuwa busara za JK ni za muhimu sana kwetu

JK ni Rais mstaafu, ameiongoza nchi hii kwa miaka 10 kamili, akastaafu, akaondoka madarakani huku akiiacha nchi ikiendelea kuwa salama, achilia mbali umaskini wetu. Tuna watu wawili tu kwa sasa wenye CV zenye sifa hiii, JK na Rais Mstaafu Mwinyi. Kwa hiyo ukimwondoa Rais mwinyi, JK anabaki kuwa mTanzania pekee mwenye CV ambayo waTanzania wote million 60 hatuna.

Tumsikilizeni JK kwa sababu kuna mambo ambayo Mungu huwa anapitishia kwake. Ni kwa sababu JK ana CV ambayo waTanzania wengine wote hatuna
CV yake haimuondolei ubinadamu wake. Huyu ni mstaafu mwenye mtandao mpana sana nyuma yake hivyo yeye kama yeye anaweza kuwa ametosheka lakini anazo presha za watu wake na wengi wao ni vijana wenye elimu za vyuo vikuu na wenye kujiamini kuwa wanaweza kuendesha mashirika na wizara za serikali, hapo ndio JK anapokuwa na ukaribu na wasaidizi wa SSH,
 
Mstaafu Jakaya Kikwete anawashwa na nini?

Na Mjumbe wa Mkutano Mkuu

MWAKA 2017, aliyekuwa Rais wakati huo, John Pombe Magufuli, alisema: "wastaafu wengine hawachoki kusema, wana washwa washwa."

Magufuli alitoa kauli hiyo kuwalenga baadhi ya wastaafu ambao aliwaona kuwa wanaleta chokochoko dhidi ya serikali yake.

Mmoja wa wastaafu ambao walidhibitiwa na Magufuli wasilete chokochoko ni Rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye aliufyata na kukaa kimya.

Ingawa baadhi ya watu walimlaumu Magufuli kwa aina ya uongozi wake, uamuzi wake wa kumdhibiti Kikwete asilete mtafaruku kwenye serikali yake sasa wengine tumeanza kuuelewa.

Nikiwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika hivi karibuni, mimi ni miongoni mwa watu wengi ambao walikerwa na kauli ya Kikwete kwenye mkutano huo.

Alipoombwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, atoe neno kwa wajumbe, licha ya kudai kuwa ameshtukizwa, hakuwa amejiandaa kutoa hotuba,, Kikwete aliongea karibu nusu saa na kutoa maneno ambayo ni dhahiri kuwa aliyapanga kuyasema.

Kwenye hotuba yake, Jakaya alimwambia Rais Samia kuwa "asisikilize porojo za watu."

Kauli hiyo siyo sawa na ni mbaya sana kwani ni kama vile Jakaya eti anamfundisha kazi Rais Samia na anamsema hadharani kuwa Rais ni mtu wa kusikiliza porojo.

Jakaya aliongeza kuwa Rais Samia "asibabaishwe na maneno ya watu kuwa kuna wanasiasa vijana na wazee" wanafanya kampeni za chini kwa chini kuchuana na Dkt Samia kuwa mgombea urais wa CCM 2025.

Kauli hii inaashiria kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa ni mtu wa kubabaishwa na maneno na hajiamini kwenye nafasi yake.

Kikwete alisema "Rais wewe usibabaishwe na maneno haya" huku akitaka umma uamini kuwa Rais Samia ni kiongozi dhaifu anayebabaishwa na maneno ya porojo.

Wakati Rais Samia mwenyewe amewahi kuonya mara kadhaa kuhusu uwepo wa makundi ndani ya CCM yanayojipanga na urais 2025, Jakaya alikebehi tuhuma hizo na kusema kuwa huo ni "uongo" na maneno ya "hovyo hovyo."

Hii maana yake ni kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa anaamini maneno ya uongo.

Pia Jakaya alionekana kukosoa uongozi wa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM kwa kusema kuwa katika kipindi chake Jakaya akiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM hakutoa nafasi kwa "upuuzi" wa watu kusema uongo ndani ya chama.

Licha ya kusema kuwa siyo utamaduni kwa Rais anayemaliza muhula mmoja kupingwa na wagombea wengine ndani ya chama, alionya kuwa hilo linaweza kutokea "kama mambo yakiharibika sana."

Maneno hayo ya Jakaya yaliwashtusha wajumbe wengi kwani inaonekana kaongea kwa makusudi kutokana na uzoefu wake mkubwa kwenye chama na serikali.

Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama.

Ndiyo maana Magufuli aliamua kumdhibiti Jakaya na alitulia kweli kweli. Baada ya Rais Samia ametoa uhuru kwa wastaafu, sasa Jakaya ameamua kutumia uhuru huo kujaribu kukivuruga chama.

Nikiwa kama Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM namshauri Jakaya atulie zake Msoga kama mstaafu afuge tausi wake aliopewa na Magufuli.

Amuache Rais Samia aongoze kwa amani, kama yeye Jakaya alivyoachwa na Mkapa atawale kwa amani.

Kwani Jakaya anawashwa washwa na nini hasa?
Ndiyo. Watu wa a tabia mbaya. Wanamwambia Samia usiogope mows wanaobweka. Fanya kazi. Sisi tutakuLinda. Watamlinda vipi? Kim Linda raid ni kazi ya JWTZ.
 
Mstaafu Jakaya Kikwete anawashwa na nini?

Na Mjumbe wa Mkutano Mkuu

MWAKA 2017, aliyekuwa Rais wakati huo, John Pombe Magufuli, alisema: "wastaafu wengine hawachoki kusema, wana washwa washwa."

Magufuli alitoa kauli hiyo kuwalenga baadhi ya wastaafu ambao aliwaona kuwa wanaleta chokochoko dhidi ya serikali yake.

Mmoja wa wastaafu ambao walidhibitiwa na Magufuli wasilete chokochoko ni Rais mstaafu Jakaya Kikwete, ambaye aliufyata na kukaa kimya.

Ingawa baadhi ya watu walimlaumu Magufuli kwa aina ya uongozi wake, uamuzi wake wa kumdhibiti Kikwete asilete mtafaruku kwenye serikali yake sasa wengine tumeanza kuuelewa.

Nikiwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika hivi karibuni, mimi ni miongoni mwa watu wengi ambao walikerwa na kauli ya Kikwete kwenye mkutano huo.

Alipoombwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, atoe neno kwa wajumbe, licha ya kudai kuwa ameshtukizwa, hakuwa amejiandaa kutoa hotuba,, Kikwete aliongea karibu nusu saa na kutoa maneno ambayo ni dhahiri kuwa aliyapanga kuyasema.

Kwenye hotuba yake, Jakaya alimwambia Rais Samia kuwa "asisikilize porojo za watu."

Kauli hiyo siyo sawa na ni mbaya sana kwani ni kama vile Jakaya eti anamfundisha kazi Rais Samia na anamsema hadharani kuwa Rais ni mtu wa kusikiliza porojo.

Jakaya aliongeza kuwa Rais Samia "asibabaishwe na maneno ya watu kuwa kuna wanasiasa vijana na wazee" wanafanya kampeni za chini kwa chini kuchuana na Dkt Samia kuwa mgombea urais wa CCM 2025.

Kauli hii inaashiria kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa ni mtu wa kubabaishwa na maneno na hajiamini kwenye nafasi yake.

Kikwete alisema "Rais wewe usibabaishwe na maneno haya" huku akitaka umma uamini kuwa Rais Samia ni kiongozi dhaifu anayebabaishwa na maneno ya porojo.

Wakati Rais Samia mwenyewe amewahi kuonya mara kadhaa kuhusu uwepo wa makundi ndani ya CCM yanayojipanga na urais 2025, Jakaya alikebehi tuhuma hizo na kusema kuwa huo ni "uongo" na maneno ya "hovyo hovyo."

Hii maana yake ni kuwa Jakaya anamsema Rais Samia kuwa anaamini maneno ya uongo.

Pia Jakaya alionekana kukosoa uongozi wa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM kwa kusema kuwa katika kipindi chake Jakaya akiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM hakutoa nafasi kwa "upuuzi" wa watu kusema uongo ndani ya chama.

Licha ya kusema kuwa siyo utamaduni kwa Rais anayemaliza muhula mmoja kupingwa na wagombea wengine ndani ya chama, alionya kuwa hilo linaweza kutokea "kama mambo yakiharibika sana."

Maneno hayo ya Jakaya yaliwashtusha wajumbe wengi kwani inaonekana kaongea kwa makusudi kutokana na uzoefu wake mkubwa kwenye chama na serikali.

Taarifa za ndani kutoka kwenye chama zinasema kuwa Jakaya na watoto wake wamekuwa wanaleta chokochoko za chini kwa chini dhidi ya serikali ya Rais Samia.

Anadaiwa pia kuwa Jakaya alifanya mipango kupanga safu yake ya viongozi wa CCM kupitia uchaguzi wa juzi wa vipngozi wa chama.

Ndiyo maana Magufuli aliamua kumdhibiti Jakaya na alitulia kweli kweli. Baada ya Rais Samia ametoa uhuru kwa wastaafu, sasa Jakaya ameamua kutumia uhuru huo kujaribu kukivuruga chama.

Nikiwa kama Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM namshauri Jakaya atulie zake Msoga kama mstaafu afuge tausi wake aliopewa na Magufuli.

Amuache Rais Samia aongoze kwa amani, kama yeye Jakaya alivyoachwa na Mkapa atawale kwa amani.

Kwani Jakaya anawashwa washwa na nini hasa?
Huyu Mzee ni miongoni mwa wazee ambao waliingia katika utawala wa Tanzania kwa kuwa tu Julius Nyerere aliweka system dhaifu .Ndugu Kikwete amekuwa Rais wa Tanzania kutokana na udhaifu mkubwa wa system za Nyerere ambapo ukiwaonga watu 1,500 tu inakuwa Rais.Jamaa hana kabisa uwezo wa kufikiria .Inasemekana Mzee huyu japo alipata degree ya uchumi lakin ,alipata degree ya chini kabisa.Mzee huyu ,kwenye system zake mbovu aliingiza wahuni wenzake Kama kina mzee Makamba ambao hata kidato cha nne hawakumaliza.Ni kituko kuona Mzee Makamba ambaye hana uwezo kabisa hata wa kufikiria Leo hii ndio anajifanya mchambaji wasomi wa CCM na Tanzania.Huku mwanawe ambaye aliiba mitihani ya kidato cha nne kwa kuwa hakuwa na uwezo kabisa ndiye anaongoza wizara ya nishati.Hapo ni rasimi tumezikwa.Huyu Mzee Kikwete ambaye alituma Jeshi kupiga watu kule Mtwara ili aibe gesi ,bado anaamini kuwa mtoto wake nae atakuwa Rais.Hawa wakisikia katiba mpya wanaarisha sana huko kwao.Ndio maana huyu Mzee alisimama juzi kusisitiza uongo.Mungu yupo tutaona.
 
Wewe kijijini kwenu mlikuwa mnafanya shughuli gani ambayo ni ya akili hebu tutajie?au kazi ya kucheza vigodoro na kubinua makalio ndio ya akili kuliko kuchunga ngombe?
Chunga babu,jua mvua chunga maana ng'ombe hawajui mvua wao wale tu,chunga mpaka nywele zipauke
 
Back
Top Bottom