Mstaafu wa Jeshi atuhumiwa kuua kwa risasi kisa mgogoro wa mipaka

BRO usimlamumu marehemu bila sababu mtu akichomoa akakoki hata ukimbie itakupata tu.
Huyu jamaa alikuwa na chawa wake anaitwa Ranso, mtu hawezi kutoka akiwa na cha moto na kuanza kumwaga ndugu tu, lazima kulikuwa na mzozo na kwanini ampige mmoja mwingine a mwache, maswali ni mengi kuliko majibu
 
Binafsi kuna jamaa a lini chukua tukaangalie shamba lake kumbe alikuwa na mzozo na jirani kufika tulianza kushambuliwa nilitumia busara nikaanza kumgombeza jamaa yangu, baada ya kuona vile jamaa munkari ukashuka akaanza kunipa story ndo ikawa pona yetu, na hawa jamaa wangetumia busara wangetoka salama
 
71 afungwe kifungo Cha nyumbani, maana segerea atakata Moto mapema! Lakini mzee nae,huo Ni umri wa neema tu anapaswa atulie karibu na MUNGU wake[emoji24][emoji24][emoji24]
 

Ni kweli kabisa, huna jinsi, lazma utetee eneo lako na la watoto. Lakini ni hatari, huyo jamaa anaweza kukudhuru. Haya mambo sio marahisi kama picha inavyochorwa hapa JF kwamba uachie tu ardhi iende.

Omba Mungu mgombea ardhi mwenzio asiwe kichaa ambae hajali kuua au kwenda jela maisha.
 
Wachaga wana Mila yao ukigombania kwake anapiga hatua tatu anaweka sale ukiwa kichwa maji ukikubali hiko kipande huchukui round lazima wakuzike
 
Undava wote na ardhi yetu yote mali ya jamhuri unapangishwa miaka 33 au 66. I can't imagine nchi zingine ambapo ukinunua ardhi ni miliki yako binafsi (private property).
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipo.
 
Kuna mzee mmoja nae ni mstaaf wa geshi basi hua ananikataza mpk kupaka rangi nyumba yangu et matone yatadondokea kwake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inawezekana kabisa walikuwa na ugomvi wa mipaka kwa muda mrefu.
Hata kama ndiyo uue kwa ardhi ambayo utaiacha hapahapa duniani!!!! Halafu ukute eneo wanalogombea hata mita za mraba 6 hazifiki.
 
Leo nilienda kwenye huu msiba nimeona na mpaka waliokuwa wanagombania kifupi huyo mzee akijitoa akili acha akafie jela, kesho tunaenda kuzika!
Wewe ulionaje yaani, tupe maoni yako tushee.
 
Wajeda huwaga wanajikuta miungu watu sana , sasa akapambane na vijana wa Brig. Gen Mzee kule Segerea. unaua mtu kisa vimiguu viwili sasa kapata nini
Mi nadhani tunakomenti kwa kuegemea upande mmoja wa habari.

Tungelipata habari za pande zote kindaki ndaki tungelichekecha vizuri na kuboresha maoni yetu.

Je chanzo cha mauwaji haya chaweza kuwa ni sababu ya watu kuja kuoneshana mipaka tu, au kuna jambo jingine nyuma ya pazia?

Mimi si muumini mzuri wa kusikiliza maneno ya upande mmoja!

Sababu inayoelezwa kuwa ndiyo sababu ya chanzo cha mauaji haya, haiingii akilini na haitoshi.

Siyo kwamba kabla walishatiana ghadhabu siku nyingi na siku ya tukio ikawa ni siku iliyopangwa kwa ajili ya utekelezaji tu?

Nimeyageuza geuza haya maneno kifikra hayajai hata kiganjani kukubaliana na sababu zilizopekekea muuaji kufanya aliyoyafanya!
 
Bunduki iliyotajwa katika habari ni mark4 ambayo ni Rifle na si Bastola.

Mtu hawezi kukaa na bunduki aina hiyo nje kama hana shughuli za ulinzi.

Nilitaka kusahihisha upande huo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…