Nomadix
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 2,411
- 6,646
Amen mkuu ndio hivyo hata jaribu likitupata twajua tutalishinda.Jana nilikuwa natafakari kitu, Jana usiku!
Kutokea kwenye mstari huu!
Mathayo 19:26
[26]Yesu akawakazia macho, akawaambia, Kwa wanadamu hilo haliwezekani; bali kwa Mungu yote yawezekana.
But Jesus beheld them, and said unto them, With men this is impossible; but with God all things are possible.
Nikawaza hivi; Kwa kuwa Yeye, yu ndani yetu kwa njia ya Roho Mtakatifu. Yeye Mungu aliye ndani yetu!
Akitaka Kufanya jambo lolote!
1 Wak 13:10
hakuna jaribu lo lote lililowapata ambalo si la kawaida kwa wanadamu. Na Mungu ni mwaminifu hataruhusu mjaribiwe kupita uwezo wenu.