Mallerina
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 1,236
- 2,060
Ila unaamini uchawi upoMimi siamini kwenye kuamini.
Sina imani ya aina yeyote ile.
Sihitaji kuamini.
Nahitaji kujua kwa uhakika ushahidi na uthibitisho.
Mimi najua Hakuna Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila unaamini uchawi upoMimi siamini kwenye kuamini.
Sina imani ya aina yeyote ile.
Sihitaji kuamini.
Nahitaji kujua kwa uhakika ushahidi na uthibitisho.
Mimi najua Hakuna Mungu.
Wafilipi 4:13Zaburi ya 108:13a
With GOD in our side, We will WIN
Habakuki 2:1-3
Wafilipi 4: 4-7
Certified Hater kwako mwal..
Nimekwambia kwamba, Siamini kwenye kuamini.Ila unaamini uchawi upo
Let brotherly Love Continue ❤️Wafilipi 4:13
Daudi Mzaburi pia anaverse zake kadhaa.
Kabla hawajakuroga 🤣🤣🤣🤣"BWANA ni nuru yangu na wokovu wangu, nimuogope nani?
BWANA ni ngome ya uzima wangu, nimhofu nani?" Zab 27:1
huo ulikwa mstari wangu wa moyo enzi hizo
Why is it that when I read this the sound that comes into my head sounds rudeNimekwambia kwamba, Siamini kwenye kuamini.
Sina imani ya aina yeyote ile.
Hakuna uchawi bali kuna maarifa ambayo wewe huyaelewi.
Kama huelewi kitu kinavyofanyika, Usiite uchawi.
Kama huelewi jambo fulani lilivyo fanyika, Usiseme ni uchawi.
Ni maarifa ambayo wewe huna au huyaelewi.
kabla sijafungua macho nikaonaKabla hawajakuroga 🤣🤣🤣🤣
Hii ipo kwenye Whatsapp profile yangu. Nilitaka niiweke humu, nikaona tayari ushaiweka. Tuko pamoja Kiongozi.Filp 4:13
Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
Just imagine mambo yote how amazing. Inanipa imani na kuzidi kupambana nikijua kuwa nayaweza hata yawe magumu vipi.
Hakika mtumishiBwana ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu!! Katika mstari huu naamini Mungu ndiye kila kitu kwangu mlinzi, yeye anakuwa mwamba imara kwenye vita kwenye magumu yeye ni njia, hakika bwana ndiye mchungaji wangu, Amen makutupora Yesu Anakuja
Pamoja sana mkuuHii ipo kwenye Whatsapp profile yangu. Nilitaka niiweke humu, nikaona tayari ushaiweka. Tuko pamoja Kiongozi.
👏👏👏Zaburi 126:1
[1]BWANA alipowarejeza mateka wa Sayuni,
Tulikuwa kama waotao ndoto.
When the LORD turned again the captivity of Zion, we were like them that dream.
Huu mstari! Ninaupenda sana, ni wazi kuwa waliosema haya maneno "... Tulikuwa kama waotao ndoto"
Ni wazi kuwa walikuwa wamekwisha kukata tamaa na kupoteza Tumaini. Yaani waliamini ndo basi Tena, haiwezekani jambo Hilo Kutokea!
Umewahi Kutafuta kazi, ndoa, mahusiano yenye Amani, mtoto, uponyaji, au Chochote kwa muda mrefu sana!
Kwa maombi, sadaka na kufunga lakini jambo Hilo hukulipata! Ukafikia hatua ya kukata tamaa na kumkatia tamaa Mungu!
Katika Hali hiyo Sasa! Mara gafla siku moja unashangaa unapokea haja ya moyo wako ya muda mrefu!
Ndio Hawa Sasa wanasema "Tulikuwa kama waotao ndoto" yaani hakutegemea kabisa!
🤓
Amen habari za jumatatu mkuuHakika mtumishi