Mstari gani wa BIBLIA umegusa maisha yako?

Mstari gani wa BIBLIA umegusa maisha yako?

Why is it that when I read this the sound that comes into my head sounds rude

Is this a rude reply
You are scared of the truth.

You have been brainwashed and indoctrinated for so long.

You don't want to learn.

You just want constant reassurance that whatever you believe in, is the only truth.

You need an urgent brain reset.

You need to restore your brain to factory settings.
 
You are scared of the truth.

You have been brainwashed and indoctrinated for so long.

You don't want to learn.

You just want constant reassurance that whatever you believe in, is the only truth.

You need an urgent brain reset.

You need to restore your brain to factory settings.
Acha niende kulima mimi
 
Umewin kwa nguvu, jitihada, na maarifa yako binafsi.

Wala si kwa nguvu za huyo Mungu.

Kama unabisha, Acha kazi au funga biashara zako zote umtegemee huyo Mungu akulishe na kukulipia bills.
Nayaweza Yote Katika Yeye Anitiaye Nguvu.
Kumcha Bwana Ni Chanzo Cha Maarifa.
Hivyo vyote ulivyo navyo na unavyojivunia kuwa navyo ni Kwa Neema Ya Mungu Tu.
Yeye ni Mwenye Upendo Siku Zote. Hata Kama Wewe Haumpendi,
Yeye Anakupenda.
Ungeweza Kujiumba Mwenyewe Hapo ningesema ni Kwa Nguvu zako,Maarifa Yako na jitihada zako.
 
Nayaweza Yote Katika Yeye Anitiaye Nguvu.
Kumcha Bwana Ni Chanzo Cha Maarifa.
Hivyo vyote ulivyo navyo na unavyojivunia kuwa navyo ni Kwa Neema Ya Mungu Tu.
Yeye ni Mwenye Upendo Siku Zote. Hata Kama Wewe Haumpendi,
Yeye Anakupenda.
Ungeweza Kujiumba Mwenyewe Hapo ningesema ni Kwa Nguvu zako,Maarifa Yako na jitihada zako.
Hakuna Mungu aliyeumba kitu chochote kile.

Binadamu hawaumbwi.

Binadamu wanazaliwa.
 
Yohana 8:12 [12]Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.
 
Zaburi 126:1

[1]BWANA alipowarejeza mateka wa Sayuni,
Tulikuwa kama waotao ndoto.

When the LORD turned again the captivity of Zion, we were like them that dream.

Huu mstari! Ninaupenda sana, ni wazi kuwa waliosema haya maneno "... Tulikuwa kama waotao ndoto"

Ni wazi kuwa walikuwa wamekwisha kukata tamaa na kupoteza Tumaini. Yaani waliamini ndo basi Tena, haiwezekani jambo Hilo Kutokea!

Umewahi Kutafuta kazi, ndoa, mahusiano yenye Amani, mtoto, uponyaji, au Chochote kwa muda mrefu sana!

Kwa maombi, sadaka na kufunga lakini jambo Hilo hukulipata! Ukafikia hatua ya kukata tamaa na kumkatia tamaa Mungu!

Katika Hali hiyo Sasa! Mara gafla siku moja unashangaa unapokea haja ya moyo wako ya muda mrefu!

Ndio Hawa Sasa wanasema "Tulikuwa kama waotao ndoto" yaani hakutegemea kabisa!

🤓
Nimei-screenshot hii
 
Nikiangalia posti zangu,quotes na reply zangu za nyuma na quotes za nyuma huwa na shaangaa sana Kama ni Mimi,

Kristo amenibadilisha sana,atukuzwe Mungu aliyemtumia Kristo aje kuiharibu na kuikanyaga historia yangu mbaya.

2 Wakorinto 5;17
Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya.

Tuache maneno mengi Kristo anabadilisha historia mbaya ya maisha. Huu ni ushuhuda wangu binafsi
 
Acheni uzinzi.

Yeremiah 5:7-9

[7]Nawezaje kukusamehe? Watoto wako wameniacha mimi, na kuapa kwa hao ambao si miungu; nilipokuwa nimewashibisha chakula, walizini, wakakutana wengi pamoja katika nyumba za makahaba.

[8]Walikuwa kama farasi walioshiba wakati wa asubuhi; kila mmoja akalia kwa kutamani mke wa mwenzake.

[9] Je! Nisiwapatilize kwa sababu ya mambo hayo? Asema BWANA; na nafsi yangu, je! Nisijilipize kisasi juu ya taifa la namna hii?
 
Back
Top Bottom