Mstari gani wa BIBLIA umegusa maisha yako?

Ila unaamini uchawi upo
Nimekwambia kwamba, Siamini kwenye kuamini.

Sina imani ya aina yeyote ile.

Hakuna uchawi bali kuna maarifa ambayo wewe huyaelewi.

Kama huelewi kitu kinavyofanyika, Usiite uchawi.

Kama huelewi jambo fulani lilivyo fanyika, Usiseme ni uchawi.

Ni maarifa ambayo wewe huna au huyaelewi.
 
Yohana 8 :5 Basi katika Torati ,Musa alituamuru kuwapiga mawe wanawake namna hii:nawe (Yesu) wasemaje?

hii iende moja kwa moja kwa wale wanaojichukulia sheria mkononi
 
Siifahamu zaidi ila wakati fln nlikutanaga na haka kamstari sijui sura ila kanasema.yanini kuhangaikia kesho wakati kesho inajihangaikia yenyewe! Kila nikipata hela huwa nakatumia hako ka slogan .natamani kangekuwepo kweny quruan pia.
 
Nampango niongeze mistari kwenye Bible naona bado nafasi zipo wazi
 
Why is it that when I read this the sound that comes into my head sounds rude

Is this a rude reply
 
Yesu akajibu, akawaambia, Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na yaliyo ya Mungu mpeni Mungu.
 
Hakuna mstari unaogusa maisha yangu mimi mmatumbi, zaidi naona kama helaya za kijinga tu.
 
Filp 4:13
Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.

Just imagine mambo yote how amazing. Inanipa imani na kuzidi kupambana nikijua kuwa nayaweza hata yawe magumu vipi.
Hii ipo kwenye Whatsapp profile yangu. Nilitaka niiweke humu, nikaona tayari ushaiweka. Tuko pamoja Kiongozi.
 
Ufu 14:13 Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam asema roho, wapate kupumzika baada ya tabu zao; kwakuwa matendo yao yafuatana nao.

Mhu 3: 1-8
(Kila jambo na wakati wake)
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…