Mstari mwekundu wa Iran umeshavukwa lakini bado wanatii amri

Mstari mwekundu wa Iran umeshavukwa lakini bado wanatii amri

Kawaulize USS kwanini wamesema iron dome haina uwezo wa kudungua guided missiles?
Pia tazama taarifa za habari huko mpakani mwa Israel na Lebanon missiles zinazorushwa na hizbollah 90% zimepenya na kuleta madhara kwa wanakijiji na wanajeshi wa IDF na iron dome ilikuwepo.
Majibu unayo mwenyewe.
Guided missile Iron Dome inapambana nazo.Ila kinachotokea ni kuwa Hamas wanarusha makombora zaidi ya mawili kwa wakati mmoja na target moja.So Kuna Makombora yanakuwa ayajaangushwa ndo hayo yanayopiga miji ya Israel.Kitakachokuja ni. Ku upgrade hizo iron dome,baada ya hapo kichapo mjarabu kitaendelea
 
Pole yako.
Wacha nikueleze athari yake nini.
Maraifa ya jirani yakiwa na uhusiano mmbovu na wewe was kidiplomasia ni hatari kwa Afya ya usalama was taifa lako na hatari kiushawishi wa nje na mipaka ya Kanda Yako.
Pili hayo mataifa ya nje na ghuba ya mashariki ya kati yalikua miongoni mwa mataifa yanayochochea ushawishi was Israel maeneo mengine,kujitoa kwao Israel anarudi nyuma kuwa na maadui wengi kidiplomasia.Usisahau kuwa hata USA atashindwa kuwa na wakumuunga mkono kwaajili ya Israel
Nitakukumbusha baada ya hii operation,kati ya hayo mataifa wote watarudisha balozi zao.Tena hizi nchi za kiarabu ndiyo kabisa watakuwa wa kwanza kisha watafuatia Latin America.
 
Kijana Kuna roketi na Kuna kombora.
Na Kuna aina nyingi ya makombora .
Uwezo wao pia unatofautiana.
Nitakuja kuelezea hapa

Guided missile Iron Dome inapambana nazo.Ila kinachotokea ni kuwa Hamas wanarusha makombora zaidi ya mawili kwa wakati mmoja na target moja.So Kuna Makombora yanakuwa ayajaangushwa ndo hayo yanayopiga miji ya Israel.Kitakachokuja ni. Ku upgrade hizo iron dome,baada ya hapo kichapo mjarabu kitaendelea
Hamas Hana makombora ana maroketi hizbollah ndio ana makombora.
 
Nitakukumbusha baada ya hii operation,kati ya hayo mataifa wote watarudisha balozi zao.Tena hizi nchi za kiarabu ndiyo kabisa watakuwa wa kwanza kisha watafuatia Latin America.
Waziri Wa social rights was Spain Ione Belarra ametoa wito kwa serikali ya Spain ivunje mahusiano ya kidiplomasia na Israel na Petra De Sutter naibu waziri wa Belgium ametoa wito kuwa Israel yafaa pewa vikwazo stahiki kwa inachokifanya.
Vipi hao pia viongozi was mataifa madogo????
 
Back
Top Bottom