hayo ni matokeo ya vita, subiri tuone hadi mwisho. sasa mbona hamas wameshaanza kutoa video za mateka wakiomba israel isitishe mapigano, kama wangekuwa hawajakamatika kwanini wanatamani vita iishe? si kwasababu hawana pa kutokea, israel amesema vita hiyo kwake ni ngumu na ni ya muda mrefu, Gaza ni eneo lililozungukwa, pande, na jana Israel wameshazunguka na kufunga njia toka kusini wakiwatenganisha wapalestina waliokimbilia kusinina upande wa gaza wa kaskazini, hivyo Gaza ya kaskazini ambako hamas wamejificha kumeshazungukwa, hawana pa kutokea, na hawawezi kukaa pale mwaka mmoja, wataishiwa chakula, silaha, maji, mafuta ya kuendeshea mitambo na magari, na watakamatwa kama panya tu. its just a matter of time. ingelikuwa hawajazungukwa, wangeweza kukimbia nchi, ila hawana pa kutokea israel amezunguka kote wenyewe wapo katikati, upande wowote wakichomoza kichwa watafyekwa.