Watanzania wote ni WEZI.
Ni kwa vile tu wengine hawajapata nafasi ya kuiba.
Kwenye maongezi ya watanzania wengi utasikia wakisema akipata kazi serikalini yani michongo na madili kama yote atafanya.
Wizi ni asili ya mtanzania.Ukitaka thibitisha hili angalia mentality za watanzania wengi kutaka nafasi za kazi kwenye taasisi kubwa kubwa kama TRA,TPA n.k
Lengo si ili wafanye kazi kwa weledi, Ni kwa vile wanaona taasisi hizo madili ya maokoto ni chapu chapu.
Sasa ukiwa na kizazi cha namna hii, Hakuna maendeleo zaidi ya wizi, rushwa, uhujumu uchumi, ubadhirifu wa fedha za umma..