Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

We bwana wee pamoja na kuponda kooote huko basi useme tu ukweli pia kuwa mkiwekwa ambush kupona ni asilimia 00.005 umeshindia kuponda weee hujui hata speknaz wakitiwa kwenye ambush na SAr tu kutoka mbinde?
Hapo sijaponda ila akili zinatofautiana kuelewa. Wewe kama umeona naponda ndio level ya akili yako.

Hakuna decimal inayotanguliwa na two zeros. Hiyo decimal yako ilibidi iwe 0.005 na sio 00.005, sitaki kujua hiyo probability umeipata kwa study gani.

Haiitwi speknaz kama ulivyotaja inaitwa Spetnaz. Hiyo SAR unayotaja ni kwa close in combat kama secondary weapon, gaidi ni nadra sana kutumia bastola. Hakuna ambush ya kutumia bastola, so mfano wako ni irrelevant. Kwanza hao Spetnaz wasingekuwa na Toyota hardtop.

By the way sijazungumzia chochote kuhusu survivability ya ambush ambayo unanilazimisha. Umeona umuhimu wake ukataja hiyo 00.005
 

Nenda zako huko ujuaji tu umekujaa nenda wewe basi alaaah maneno meeengi uko kwenye mkeka suala ujumbe ufike na uelewe sio unajikuta mjuaji mjuaji utasahihisha mpaka nukta ila uelewe kutoka ambush ndio ilikua ujumbe mkuu acha ujuaji usio na maana wewe
 
Kinachofanyika ni kuziba barabara na kusimamisha magari na pikipiki na kuanza kuuliza vitambulisho ukipoza 5000 unapita bila shida vijiji vya karibu na mpaka,
Mitaa ile Kitambulisho cha mpiga kura,nida ni kama tai na sasa hv nikitembea wilaya zile za mtwara naongeza na barua ya mtendaji kule ninakotoka
 

Ushashindwa hoja unaleta ngonjera, sote tunajua ambush unaweza otewa muda wowote lakini kitaalamu hata zana zetu zinaudhaifu mkubwa kama unavyojionea hivi umeona RDF wanachofanya na vifaa walivyonavyo na ndio wako front sasa ushawahi kusikia wamewashiwa moto? Kwanza wanavojipanga na muda wote wako makini 24/7 ,
 
Acha shobo we unakumbuka ngonjera miaka hii? Unataka utuaminishe nini wewe kuwa ambush tumepigwa kwa sababu hatuna vifaa? Anapigwa ambush marekani na majeshi yake advanced unasema nini wewe ambush ni ambush tu usilete ujuaji wako hapa na wewe
 
Unakuwa salama sababu ya wanajeshi

Panya Road tu wakikuvamia ungekimbia kama mwehu na Kuwaita wanajeshi
Siamini sana kuhusu hiyo ya kuwa salama eti kisa jeshi vipi sudan kusini,somalia,syria hamna majeshi?
 
Kwahiyo hao waliofanyiwa ambush wako wapi mpaka dakika hii??
Kwamba wawe hawajamuua hata mmoja ??? Mbona kuna kaukakasi au walishatelekeza magari
 
RDF Msumbiji [emoji116]
 
JWTZ hamna kitu, wanachoweza ni kusumbua raia tu
 
Mambo ya renamo yalishaisha hawa magaidi wametoka Tanzania hiihii wakakimbilia huko msumbiji ndio wanasumbua.
 
Wamevamia wakiwa Mozambique... je. wanafanya nn mozambique?

Kuna majanga mengine yakujitakia
 
Wajomba wamekimbia?
Kuna kipindi tuliambiwa vijana wa Kagame wamewamaliza magaidi na kila kitu ni shwali! Sasa nini Tena.
Walikimbilia mistituni tena walikuwa wakisogea karibu na mpaka wetu.
 
Huko msumbiji si tuliambiwa wajeshi wa kagame walimaliza tatizo kwa siku moja tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…