Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Serikali kuu ya ethiopia waliweza kudhibiti mtafaruku hule wa tigray kwa damu za wanajeshi wa serikali mpka jimboni tigray kwa umadhubutu wa uongozi. Imara wa serikali kuu ,

just ni kuwa. Msumbiju kukiwa wa uhimara wa serikali kuuu. Huu mtafaruku utakuwa historia tuu...
 
AK 47 haijawahi kuwa outdated mkuu..
 
Mode naomba ufutwe huu uzi si kila taarifa ina hitaji jamii kujua. Mtoa mada unasafari ya kujifunza juu ya ulinzi n aman ya nchi yako
Uzi ufutwe kwanini??????
Kwanini tusijue kuwa jeshi letu ni makende ya mbuzi...
CCM imewafanya nyinyi kuwa ng'ombe kabisa, kuwa hamhitaji kujua kinachoendelea nchini, ndio maana mpaka leo wapo bado.....
 
Duh hapa lazima tumepoteza Watu aiseeee, hii Iveco imepigwa kibini sidhani kama dereva katoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…