Hakuna nchi imewahi kujitosheleza kiulinzi juu ya magaidi.Mimi naona wasiwaamini sana wanajeshi wa Msumbiji wamo pia wanajeshi waliokuwa kwenye kundi la RENAMO waliojiunga na jeshi la Msumbiji baada ya malidhiano - sina shaka hao ndio wanaweza kuwa wanawapatia taarifa hao magaidi kuhusu movement ya majeshi ya kuleta amani nchini Msumbiji - hata hivyo miaka yote hiyo tangu Msumbiji ipate uhuru wanashindwa nini kujilinda??
Uko maeneo gani mkuu?Endelea kuamini ni propaganda sisi tuliopo huku mpakani tunaona kwa macho yetu hayo mambo ndugu yetu kipanya alichinjwa akatolewa kichwa na hao magaidi na wakasambaza picha za tukio hilo pale kitaya
Hivi wanajeshi wetu wakiwa kwenye mission za kimataifa huwa wanatumia magari yenye namba za JWTZ? Siyo kwamba wanatuamia namba za mission iliyowapeleka kama SADC ama UN!! Najiuliza tu kwa sauti kubwa!! Nisaidieni wajuzi.Haya ni magari ya jwtz yakiwa chini ya himaya ya magaidi. Tunawaombea sana wapiganaji wetu muwe salama, badobTaifa tunawategemea.
====
ASKARI WA WA TANZANIA WALIOPO MSUMBIJI WAMEPIGWA AMBUSHI
Ripoti za Kitaifa 20.11.2022, ni kwamba Jeshi la Lesotho linafanya kazi pamoja na jeshi la Tanzania katika wilaya ya Nangade, Cabo Delgado waliingia kwenye mtego wa Magaidi katika kijiji cha Vondanhar, eneo la Palma. Jeshi la Tanzania lilikuwa likisafiri kwa magari ya kivita sambamba na jeshi la Msumbiji. Magari matatu ya jeshi la Tanzania yamechomwa moto.na baadhi ya Silaha kuharibiwa
Taarifa iliyotolewa na kikundi cha Kigaidi cha IS, imedai wamekamata baadhi ya Silaha ikiwemo Chinese Type 81-1 assault rifle pamoja na 12.7x108mm Type 54 HMG ya kwenye gari.
Hata hivyo tukio hilo inaonekana imetokea Tarehe 15 Nov 2022
View attachment 2423345View attachment 2423346View attachment 2423347
View attachment 2423397
View attachment 2423423
Utachekwa.AK 47 haijawahi kuwa outdated mkuu..
Naaaamini umefungua ID mpya kwa ajili ya Kutuma habari za Ugaidi huko Kusini Mkuu.Endelea kuamini ni propaganda sisi tuliopo huku mpakani tunaona kwa macho yetu hayo mambo ndugu yetu kipanya alichinjwa akatolewa kichwa na hao magaidi na wakasambaza picha za tukio hilo pale kitaya
Wao wanasema taarifa zitazua taharuki..ili hali wanajeshi wetu wanaoelekewa moto.Ila Tanzania niwasiri sana.wanachezea kichapo na hawasemi.
Kipindi mauaji ya rufuji..kituo chao kikuu ilikua ikwiriri..hao jamaa bila kuwa na inteligensi kali huwezi kuwamaliza...mana ni raia kama raia tu unakula nao unacheka nao.Hakuna nchi imewahi kujitosheleza kiulinzi juu ya magaidi.
Tatizo gaidi hatambuliki kwani anajichanganya na raia
Swali la msingi sana hiloHizi picha umetoa wapi
Huwa wanapiga tukio wanakaa muda sana mpaka mjisahau ndio wanaibuka tena.ka ni kweli soon taanza sikia mtwara vurugu vuruguu za wale wanaovuka mto na kuja kusumbua vijiji jirani
Halafa tz sipend kabisa wajiingize kwenye huo mzozo walinde mipaka tu.
SahihiKipindi mauaji ya rufuji..kituo chao kikuu ilikua ikwiriri..hao jamaa bila kuwa na inteligensi kali huwezi kuwamaliza...mana ni raia kama raia tu unakula nao unacheka nao.
#MaendeleoHayanaChama
Hilo ni jambo jema sana, kuweka GPS kwenye silaha na kuzitelekeza huku mkizimonitor is good methods ya kufahamu machimbo yao na kuwamaliza.
Duuh Nimeumia kuaona vifaa vya jesh letu vimeangukia kwa hao magaidi sijajua hali za hao askari wetu kama wako salama au wamekufa.Haya ni magari ya jwtz yakiwa chini ya himaya ya magaidi. Tunawaombea sana wapiganaji wetu muwe salama, badobTaifa tunawategemea.
====
ASKARI WA WA TANZANIA WALIOPO MSUMBIJI WAMEPIGWA AMBUSHI
Ripoti za Kitaifa 20.11.2022, ni kwamba Jeshi la Lesotho linafanya kazi pamoja na jeshi la Tanzania katika wilaya ya Nangade, Cabo Delgado waliingia kwenye mtego wa Magaidi katika kijiji cha Vondanhar, eneo la Palma. Jeshi la Tanzania lilikuwa likisafiri kwa magari ya kivita sambamba na jeshi la Msumbiji. Magari matatu ya jeshi la Tanzania yamechomwa moto.na baadhi ya Silaha kuharibiwa
Taarifa iliyotolewa na kikundi cha Kigaidi cha IS, imedai wamekamata baadhi ya Silaha ikiwemo Chinese Type 81-1 assault rifle pamoja na 12.7x108mm Type 54 HMG ya kwenye gari.
Hata hivyo tukio hilo inaonekana imetokea Tarehe 15 Nov 2022
View attachment 2423345View attachment 2423346View attachment 2423347
View attachment 2423397
View attachment 2423423
Aisee sijui ndio intelijensia yenyewe yaani mjeshi in AK47 inakuuliza kitambulisho tuKinachofanyika ni kuziba barabara na kusimamisha magari na pikipiki na kuanza kuuliza vitambulisho ukipoza 5000 unapita bila shida vijiji vya karibu na mpaka,
Wimbo wangu ni uleule, serikali ya Tanzania nunueni silaha chache za muhimu wala sio gharama kubwa sana. Acheni uzembe wa kutumia Toyota as if sisi ni ISIS au Taliban. Hizo Toyota wars waliziziasisi Chad walipovamiwa na Libya mwishoni mwa 1980s ila nchi maskini za Kiafrika na waasi wakaona ndio cheap alternative wakaiga.
Wanajeshi wanabidi wafanye patrol kwenye MRAP hata wakikutana na IEDs hawapati madhara zaidi au wakipigwa ambush wanaweza jitetea vizuri. Hii ni MRAP imekanyaga bomu la ardhini juzi hapo Ukraine na probably wamesalimika waliokuwa ndaniView attachment 2423412
Majeshi kadhaa ya West Africa baada ya kuona waasi wako very manouverable hutumii heavy armour kama vifaru kuwapiga wakachukua MRAPs hata za 4×4 na zinapiga kazi vizuri.