Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

chini ya himaya ya magaidi
Fake news
Nafikiri vituo vya kimataifa Kama BBC ,Aljazeera wangereporti hizi habari.Moods nashauri iwe tetesi tu mpaka tutakapo pata taarifa rasimi.
Fake news

"Inasemekana" Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho​


Fake news ❌❌❌ zipuuzwee
 
Ila Tanzania niwasiri sana.wanachezea kichapo na hawasemi.
kwa ulimwengu huu wa mitandao ya kijamii ni ngumu sana kuficha taarifa. kashindwa mrusi kuficha kuhusu kichapo anachokipata kwenye vita yake na ukraine, ataweza tz.
 
Fake news, wewe ni nani wa kuniambia sina akili? Umewahi kunipeleka shule? Umewahi kunipa lecture? Stupid pumpkin head, wewe unazo hizo akili na unazitumia vipi? Umefika na ukashuhudia kilichotokea? Unawaamini vipi hao au sababu wamepublish kwenye social media na page zao za uchochoroni?, nitaamini pale serikali na vyombo vinavyoaminika watakapotangaza apart from that siamini huo nachukulia km ni uzushi km uzushi mwingine,
 
huna akili.
 
Kwahyo avatar yako sidhani kama kuna mtu atakuja kukukosoa[emoji23]
 
Hu Sasa ni upuzi yani hawa Msumbiji tumewasaidia kupata uhuru wao na Leo tena tunawasaidia kulinda huo uhuru hao wanajeshi inabidi wote warudi nyumbani
 
Naaaamini umefungua ID mpya kwa ajili ya Kutuma habari za Ugaidi huko Kusini Mkuu.
Mimi sie nilietoa hii mada mkuu na binafsi sifurahii kabisa hiki kinachotokea huku kwasababu harakati zangu za kusaka mkate kiĺa siku huwa zinaitegemea sana hiyo Mozambique,na kwàsasa mambo ni magumu mno kuingia huko na hata ukija wilaya ya newala upande wa mkunya lazima uwe na barua ya mtendaji yenye picha yako kabisa sasa hii hali unadhani inafurahisha kaka?
 
Dude kama hilo ni bei gani?
Hiyo ni Maxxpro na silaha za Magharibi ni za bei kidogo. Tunaweza chukua za South Africa (tunazo kadhaa, Kenya wanazo, Uganda wanazo na wana assembly line walijenga, West Africa ndio zimejazana). Tunaweza chukua za Uturuki na Chinese. Russia zile BTR na BMP ni heavy sana hazifai kupigana na magaidi na sio za kisasa kivile kwa leo, kwanza sio MRAP zile. Ujue silaha ukinunua utakaa nayo miaka 30 uko, sasa ukinunua silaha ya 1970 leo ni hasara. Kwa Russia ile Tigr nayo ni nzuri.

Kenya mwaka jana waliagiza Katmerciler Hiriz kutoka Uturuki kama ile niliyosema wanazo Chad. Mtengenezaji anaweza kukupa configuration tofauti kama command & control vehicle, CBRN vehicle, weapon carrier, ambulance, border-security vehicle au reconnaissance vehicle. Kutokana na configuration na bei inatofautiana ila Kenya iliagiza magari 118 kwa bei inayokadiriwa kuwa ni $70 million. Sio expensive kivile Waturuki hawana bei ya kukomoa

Ni 4×4 ina Allison system kwenye uendeshaji, magari kama haya hayatakiwi kupinduka wanajeshi ndani wasijigonge kuvunjika au kupata brain damage likikanyaga bomu
 
Hivi wanajeshi wetu wakiwa kwenye mission za kimataifa huwa wanatumia magari yenye namba za JWTZ? Siyo kwamba wanatuamia namba za mission iliyowapeleka kama SADC ama UN!! Najiuliza tu kwa sauti kubwa!! Nisaidieni wajuzi.
Makosa ya kiufundi tu
 
Nondo! Ukweli hua unakuaga mchungu sana
 
Kwahyo avatar yako sidhani kama kuna mtu atakuja kukukosoa[emoji23]
Nashangaa sana Watanzania hawajabisha. Miaka miwili nyuma hapa ningesema hivi wangeniita sio mzalendo, niko kwa shemeji nalala wakati watu wananilinda misituni, jeshi letu ni imara sana. Kuna wale hamna kitu kabisa wanadiriki kusema sisi jeshi la ardhini ni wa kwanza Afrika, wengine wanakwambia jeshi ni uzalendo as if ukivamiwa na adui uzalendo ndio mbadala wa silaha.

Wengine hushangilia na kusifia maonyesho ya makomandoo kwenye sherehe za uhuru wakijua ndio uwezo wa kijeshi. Zile gears wanazokuwa nazo sijawahi zikubali kabisa, show za ukakamavu sizipingi ila haiondoi udhaifu wa kutokuwa na zana bora.

Changamoto ni kwa serikali, jeshi halina tatizo lolote. Specifically tatizo ni umaskini na mikakati. Tusiombe kudhibitisha ninachomaanisha, navy ipo Kigamboni ila siku itokee kivuko kimepata changamoto kwenye maji unayoona pande zote mbili kwa macho utashangaa performance ya jeshi.

Na zana ninazosema hapa sio hizi za kupigana na taifa jirani.
Nasema zana chache kufanya missions dhidi ya magaidi, majangili, maharamia na kufanya uokoaji maana zana huwa na dual use. Pale ajari ya ndege Bukoba wangekuwepo sailors na divers wa navy wangesaidia. Sasa ushindwe kuokoa watu 30 ajari ya 150 meters kutoka ufukweni sembuse ajari ya meli yenye mamia ya watu kilomita ngapi ziwani ambapo raia wema hawatokuwepo
 
Nakuunga mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…