Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Mode naomba ufutwe huu uzi si kila taarifa ina hitaji jamii kujua. Mtoa mada unasafari ya kujifunza juu ya ulinzi n aman ya nchi yako
Acha ujinga wako, kwamba hizo taarifa apewe nani?
 
Hata kama naishi kwa dada yangu bado ukweli utabaki vilevile kuwa kazi ya jeshi ni ya kijinga.
Unaishi kwa amri mpaka unastaafu.
Hata CDF anaishi kwa amri, je hawa ma junior!!
We jamaa una akili gani wewe!!!! Sasa si ndo majukumu yao unadhani kila mtu akiwa na akili kama zako nchi itakuwa na jeshi????
 
Jamani Hawa IS si watu wazuri
Kuna jamaa anatengeneza maboti pale Slipway boat yard mwarabu wa Mombasa naskia nae ni member inabidi achunguzwe maana siku chache zilizopita ulizuka moto Slipway
V8 ya 2022 namba A naiwasha sasahivi naenda hapo, kabla hawajaleta ya west_gate hapa, maana hawa kwa revenge hawapo nyuma
 
Hata kama naishi kwa dada yangu bado ukweli utabaki vilevile kuwa kazi ya jeshi ni ya kijinga.
Unaishi kwa amri mpaka unastaafu.
Hata CDF anaishi kwa amri, je hawa ma junior!!
Hapo una mchumu na unapita hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndio maana unaambiwa huna akili, kumbe ni kweli!
Wewe mwenye akili zimekupa utajiri kiasi gani? Umezifanyia nini hizo akili ulizonazo zaidi ya kubishana na mimi unaesema sina akili au ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiri? Alafu unabishana na mimi huku unasema sina akili hivi unadhani nani anaeonekana hana akili? Jipimie ila usipimane na mimi, JF kumbe kumejaa WAJINGA hivi
 
Sisi wabongo ujuaji mwingi sana alafu hatujui mambo mbaya zaidi hatutaki wala hatupo tayari kujifunza. Sisi tumekalia kula na kulala kumbe kuna mambo mengi huko yanaendelea na hatuyajui kabisa ndio maana Kigwangala alituchana ukweli kwamba sisi watanzania shida yetu ni chakula tu. Watu walimjia juu sana ila ndio ukweli wenyewe
 
Kwenye masuala haya huwa najifunza mengi sana kupitia wewe, mkuu hivi wewe ni soja?
 
Habari za Kina

Kuvamia doria ya pamoja ya majeshi ya Msumbiji na Tanzania na kuchoma magari 3 katika shambulio la wapiganaji wa Islamic State kaskazini mwa Msumbiji.

SHIRIKA LA HABARI LA AMAQ

3944 JW22

Moja ya gari lililokamatwa na wapiganaji wa Islamic State baada ya kuvizia karibu na kijiji cha "Vondanhar" -

Msumbiji - Cabo Delgado - Shirika la Habari la Amaq: Doria ya pamoja ya majeshi ya Msumbiji na Tanzania yalipata hasara ya mali katika shambulio la wapiganaji wa Islamic State katika jimbo la kaskazini la Cabo Delgado.

mashariki mwa Msumbiji. Vyanzo vya usalama vililiambia shirika la "Amaq" kuwa wapiganaji wa Dola ya Kiislamu walianzisha mashambulizi ya kuvizia yenye silaha, Jumanne iliyopita, kwa ajili ya doria ya pamoja ya majeshi ya Msumbiji na Tanzania yaliyokuwa yakisafiri katika moja ya barabara kati ya eneo la "Ningad" na kijiji cha Fundanhar. katika mkoa wa "Palma".

Habari hizo zimeongeza kuwa, shambulizi hilo la kuvizia lilisababisha kukamatwa kwa magari 3 na kuyachoma moto baada ya askari hao kuwakimbia, pamoja na kukamata silaha na risasi. Vyanzo vya habari vilithibitisha kujiondoa kwa wapiganaji wa Islamic State kwenye nafasi zao baada ya shambulio hilo.

Novemba 18, 2022
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…