T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Hapana. Ningekuwa mwanajeshi hapa nchini probably nisingejua haya au ningejua kidogo tu. Ninazo sababu za kuamini hiviKwenye masuala haya huwa najifunza mengi sana kupitia wewe, mkuu hivi wewe ni soja?
Sidhani kama jeshi letu ni dhaifu! Hao wamewa_ missdirection wamewauza maana hiyo serikali yote ipo corrupt kabisaWatu kadhaa wamefariki.
Sitaiweka wazi source.
Hali ni ya hatari.
Inaonyesha tuna udhaifu bado kwenye military inteligence. Ni hayo tu.
Bajet eti heee!.
Sababu zenyewe vita muda wowote.Bajet eti heee!.
inakuwaje nchi changa kwetu wasiotuzidi hata rasilimali wanamiliki varn military cars nzuri,sisi tunang'ang'ana na Land cruzer hard top kwenye war scale mission?.
zama zimebadilika tusipobadilika na sisi hatutotisha tena kama zamani,ndo kama hivyo vijana wa kigaidi wanapeleka moto kizembe kwa JW,,nimechukia sana kwakweli.
Uhai ni wa muhimu sanaWanajeshi waoga wa kufa wamekimbia eneo la mapigano,sijaona maiti hata moja hapo.
Niliwahi sikia eti jeshi la ardhin linaongoza ni kweli?Nashangaa sana Watanzania hawajabisha. Miaka miwili nyuma hapa ningesema hivi wangeniita sio mzalendo, niko kwa shemeji nalala wakati watu wananilinda misituni, jeshi letu ni imara sana. Kuna wale hamna kitu kabisa wanadiriki kusema sisi jeshi la ardhini ni wa kwanza Afrika, wengine wanakwambia jeshi ni uzalendo as if ukivamiwa na adui uzalendo ndio mbadala wa silaha.
Wengine hushangilia na kusifia maonyesho ya makomandoo kwenye sherehe za uhuru wakijua ndio uwezo wa kijeshi. Zile gears wanazokuwa nazo sijawahi zikubali kabisa, show za ukakamavu sizipingi ila haiondoi udhaifu wa kutokuwa na zana bora.
Changamoto ni kwa serikali, jeshi halina tatizo lolote. Specifically tatizo ni umaskini na mikakati. Tusiombe kudhibitisha ninachomaanisha, navy ipo Kigamboni ila siku itokee kivuko kimepata changamoto kwenye maji unayoona pande zote mbili kwa macho utashangaa performance ya jeshi.
Na zana ninazosema hapa sio hizi za kupigana na taifa jirani.
Nasema zana chache kufanya missions dhidi ya magaidi, majangili, maharamia na kufanya uokoaji maana zana huwa na dual use. Pale ajari ya ndege Bukoba wangekuwepo sailors na divers wa navy wangesaidia. Sasa ushindwe kuokoa watu 30 ajari ya 150 meters kutoka ufukweni sembuse ajari ya meli yenye mamia ya watu kilomita ngapi ziwani ambapo raia wema hawatokuwepo
Wazee wa maonesho pale uhuru wamekimbia aise,bora wameokoa maisha,hayo magari yatanunuliwa mengine mapya.Aisee,bora kama hawajaua askari
Unatakiwa uisaidie PoliceJamani Hawa IS si watu wazuri
Kuna jamaa anatengeneza maboti pale Slipway boat yard mwarabu wa Mombasa naskia nae ni member inabidi achunguzwe maana siku chache zilizopita ulizuka moto Slipway
Kwahiyo unapendekeza kusiwe na Jeshi sio.Hata kama naishi kwa dada yangu bado ukweli utabaki vilevile kuwa kazi ya jeshi ni ya kijinga.
Unaishi kwa amri mpaka unastaafu.
Hata CDF anaishi kwa amri, je hawa ma junior!!
Mkuu unaelewa maana ya swali? Ili swali lazima kuwe na alama ya kuuliza , Sasa hebu Rudi uangalie post ya mtoa hoja Kama Ni swali au maelezo!!!Kauliza swali haja dhihaki mtu.
Amani tuliyo nayo inatuponza, tumeona hatuwezi kuwekeza kwny vitu ambavyo c kipaumbele, na kwa upande mwingine bora lilivyotokea sasa tutaviingiza hivyo vifaa bila wananchi kulalama maana tutakua tumesha ona umuhimu wakeBajet eti heee!.
inakuwaje nchi changa kwetu wasiotuzidi hata rasilimali wanamiliki varn military cars nzuri,sisi tunang'ang'ana na Land cruzer hard top kwenye war scale mission?.
zama zimebadilika tusipobadilika na sisi hatutotisha tena kama zamani,ndo kama hivyo vijana wa kigaidi wanapeleka moto kizembe kwa JW,,nimechukia sana kwakweli.
B500 ndio ya tanzania kuumizia kichwa!!? Hata ingekua T2 au 3 ni sawa tu! Shida unaweza kutia huo mzigo alafu wakaenda kununua vifaa vya miaka ya 70Sababu zenyewe vita muda wowote.
Jeshi letu ni kubwa ili magari yatoshe jeshi zima itahitajika zaidi ya 500bil.
Ushauri kiundwe kitengo cha jeshi cha kutengeneza vifaa vyao
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Afu mle matopeB500 ndio ya tanzania kuumizia kichwa!!? Hata ingekua T2 au 3 ni sawa tu! Shida unaweza kutia huo mzigo alafu wakaenda kununua vifaa vya miaka ya 70
Mimi nahisi ni mjeda. Unajua kwa mtu wa kawaida Kama Mimi ambae naamka tu Kisha naenda kwenye mishe zangu za kuuza kitumba pale karume,hata niwe mtu wa kufuatilia kiasi gani hizi mambo za ulinzi na usalama itaniwia vigumu Sana kujua&kujadili nondo Kama za huyu jamaa. Inabidi uwe kwenye hiyo circle ndiyo uweze kutoa hizi nondo ambazo ziko deep kiasi hiki.Mchambuzi wa masuala ya kijeshi hapa jf.
Jamaa angefaa Sana kulitumikia jeshi letu maana Sina uhakika kama Ni mjeda.
@jiwe angavu huyu msenge kila mada alizima alete itikadi za kidini .....Ngumu sana kutenganisha uislam na ugaidi..ngumu sana.
#MaendeleoHayanaChama
Ni kazi ya hovyo mkuu wala hujakosea.Hata kama naishi kwa dada yangu bado ukweli utabaki vilevile kuwa kazi ya jeshi ni ya kijinga.
Unaishi kwa amri mpaka unastaafu.
Hata CDF anaishi kwa amri, je hawa ma junior!!
mtegemee Mungu we unadhani binadamu mwenzako anaweza kukuinda na chochote?Haya ni magari ya jwtz yakiwa chini ya himaya ya magaidi. Tunawaombea sana wapiganaji wetu muwe salama, badobTaifa tunawategemea.
View attachment 2423345View attachment 2423346View attachment 2423347
View attachment 2423397
View attachment 2423423
---
Ili kujua ukweli na kina cha habari hii tembelea Jukwaa la Jamii Check
- KWELI - Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho