Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Wa siku hizi unaishaa 😜😜🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi ushemeji si umeisha jamani au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa siku hizi unaishaa 😜😜🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi ushemeji si umeisha jamani au
Unaelewa maana ya caliber au umejiandikia tu.Caliber ni kipimo cha ndani cha upana wa bomba la bunduki ambao unashabihiana na kipimo cha risasiWana Body, anahitajika mtaalam, mwenye uzoefu na mwenye uwezo wa kuongea na MARUHANI, atalipwa kwa kazi hii ya masaa machache au lisaa tu. swala hili ni nyeti sana kuna mazungumzo ya kina na maswali na majibu yatahitaji kujibiwa na kuulizwa...
Usikariri. Caliber ina maana mbili. Moja ni uwezo wa mtu na nyingine hiyo ya bunduki.Unaelewa maana ya caliber au umejiandikia tu.Caliber ni kipimo cha ndani cha upana wa bomba la bunduki ambao unashabihiana na kipimo cha risasi
Mshana Jr mcheki mwamba hapoWana Body, anahitajika mtaalam, mwenye uzoefu na mwenye uwezo wa kuongea na MARUHANI, atalipwa kwa kazi hii ya masaa machache au lisaa tu. swala hili ni nyeti sana kuna mazungumzo ya kina na maswali na majibu yatahitaji kujibiwa na kuulizwa.
Anaye mfahamu mtu huyo tafadhali msaada ni kwa nia njema sana maana kuna mambo yanahitaji ufafanuzi.
Karibuni mwenye uwezo mkubwa na caliber hiyo haya ni mazungumzo ya ana kwa ana
Cheki na DK gwajima yule anaongea mpka na maruhani ya bombayWana Body, anahitajika mtaalam, mwenye uzoefu na mwenye uwezo wa kuongea na MARUHANI, atalipwa kwa kazi hii ya masaa machache au lisaa tu. swala hili ni nyeti sana kuna mazungumzo ya kina na maswali na majibu yatahitaji kujibiwa na kuulizwa.
Anaye mfahamu mtu huyo tafadhali msaada ni kwa nia njema sana maana kuna mambo yanahitaji ufafanuzi.
Karibuni mwenye uwezo mkubwa na caliber hiyo haya ni mazungumzo ya ana kwa ana
Mndele mpana wewe...Woyoooo kumbe tunabaki kwenye ushemeji palepale sisi hatujuagi kuachana au ndugu yangu unasemaje Madame B
Mrembo mbona unanichengaWa siku hizi unaishaa [emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787]
Wana Body, anahitajika mtaalam, mwenye uzoefu na mwenye uwezo wa kuongea na MARUHANI, atalipwa kwa kazi hii ya masaa machache au lisaa tu. swala hili ni nyeti sana kuna mazungumzo ya kina na maswali na majibu yatahitaji kujibiwa na kuulizwa...
Mshana Jr mcheki mwamba hapo
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] Mzee wa kilinge, huwa unawaza jambo kimakinikia, umetisha sana, hiyo huduma utafanya sio [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Brother kwa nini ume specify maruhani? Nauliza kwakuwa kuna majini na mapepo pia na vyote ni viumbe roho na tabia zao zinafanana
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] Mzee wa kilinge, huwa unawaza jambo kimakinikia, umetisha sana, hiyo huduma utafanya sio [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nina njaa ya hela lakini ili dili wacha linipite tu.
Rakims haeleweki kabisa nahitaji mwenye uwezo zaidi yake, kuna maswala niliwahi muuliza akapotezea kabisa hadi leo
Sijakuchenga KeyneMrembo mbona unanichenga
Malizia ujana bwana tuje kucheza kwaitoMndele mpana wewe...
Kweli kabisa.
Sie tunajua kupendwa, kuachwa hatujui mndele.
Shem wako anataka ndoa, nami sijamaliza ujana shost...nimempa mitihani, naona kafeli huyo Mung Chris
Hahhaa hauishi bwanaWa siku hizi unaishaa [emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787]