Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👍[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Naja mbio shemela....Halafu shee nakutafuta ujue
Naja mbio shemela....
Jamani shemela, ngoja basi nije kivingineKule niko offline
Kule niko offline
Jamani shemela, ngoja basi nije kivingineKule niko offline
Punguza wivu babaHatari sana
Haya sawasawaPunguza wivu baba
Hao ni shemeji zangu tu
Poa babaHaya sawasawa
Duh! atakuwa mganganjaa...Rakims haeleweki kabisa nahitaji mwenye uwezo zaidi yake, kuna maswala niliwahi muuliza akapotezea kabisa hadi leo
Hatari sana
Shukrani mkuu!Marauhani ni majini yaliokoka yanaomwamini mungu. Kama walivyo baadhi ya binadamu wanaotii amri za mungu. Hadi wanafikia makamu yakutambulika kama ma nabii au ma walii. Ndio hali ya majini. Nadhani kwa ufupi umenielewa
Habari mkuu ni kipi uliwasiliana na mimi nikawa sieleweki maana ni jambo la kawaida kwangu kutokueleweka kwa watu wasioeleweka.Rakims haeleweki kabisa nahitaji mwenye uwezo zaidi yake, kuna maswala niliwahi muuliza akapotezea kabisa hadi leo
Akikujibu nitagDuh! atakuwa mganganjaa...