Mtaalam, mwenye uwezo na mzoefu wa kuongea na maruhani anahitajika

Mtaalam, mwenye uwezo na mzoefu wa kuongea na maruhani anahitajika

Maruhani ni nini?
Marauhani ni majini yaliokoka yanaomwamini mungu. Kama walivyo baadhi ya binadamu wanaotii amri za mungu. Hadi wanafikia makamu yakutambulika kama ma nabii au ma walii. Ndio hali ya majini. Nadhani kwa ufupi umenielewa
 
Usikariri. Caliber ina maana mbili. Moja ni uwezo wa mtu na nyingine hiyo ya bunduki.

Mbwembwe nyingi kumbe mbumbumbu tu
Hahahahaha kilaza kweli uyu jamaa.
 
Hahahahaha kilaza kweli uyu jamaa.
1.Caliber definition is - degree of mental capacity or moral quality. How to use caliber in a sentence.- merriam-webster dictionary

2. In guns, particularly firearms, caliber (or calibre in British English) is the specified nominal internal diameter of the gun barrel bore regardless of how or where the bore is measured and whether or not the finished bore matches that specification. It is measured in inches or in millimeters. - WIKIPEDIA

3.

cal·i·ber​

/ˈkaləbər/​

noun
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hiyo hukuogopa ukaendelea kula kiti
Dah! Nilishawhi kuwa na Demu ana maruhani/majini. Mie nataka raha yanatoka kwa Demu wangu. Yalinichachafya halafu GETO kwa Msela ilikuwa noma. Mama wa Msela akaja kubonga nayo, nikafeli game badala kuulizwa lengo ninkumchafua kiti au kuoa! Loh! Mwishowe nikagundua wakazi wa kubambia nisimshike utosini, ni kama unayaita hivi.

Tukaendelea kulana hadi tulipopoteana. Kuna yale Unajua kiswahili, mengine lugha nyingine. Mkielewana na wadau wanakutana na unafuu a maisha pia
 
Ataachaje kupagawa wakati nilikuwa nampa bara na pwani!!!
Namuachia ajipakulie ujazo atakao...si unajua sie watanga, hatuna hiyana uwanjani
[emoji2955][emoji2955][emoji2955][emoji3064][emoji3064][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom