Marauhani ni majini yaliokoka yanaomwamini mungu. Kama walivyo baadhi ya binadamu wanaotii amri za mungu. Hadi wanafikia makamu yakutambulika kama ma nabii au ma walii. Ndio hali ya majini. Nadhani kwa ufupi umenielewaMaruhani ni nini?
Marauhani ni majini yaliokoka yanaomwamini mungu. Kama walivyo baadhi ya binadamu wanaotii amri za mungu. Hadi wanafikia makamu yakutambulika kama ma nabii au ma walii. Ndio hali ya majini. Nadhani kwa ufupi umenielewaMaruhani ni nini?
Hahahahaha kilaza kweli uyu jamaa.Usikariri. Caliber ina maana mbili. Moja ni uwezo wa mtu na nyingine hiyo ya bunduki.
Mbwembwe nyingi kumbe mbumbumbu tu
1.Caliber definition is - degree of mental capacity or moral quality. How to use caliber in a sentence.- merriam-webster dictionaryHahahahaha kilaza kweli uyu jamaa.
Hivi alipotelea wapi huyu bibi?Labda FaizaFoxy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa alijifanya anajua kuongea nao alikula Teke moja.. sidhan kama atajaribu tena
Dah! Nilishawhi kuwa na Demu ana maruhani/majini. Mie nataka raha yanatoka kwa Demu wangu. Yalinichachafya halafu GETO kwa Msela ilikuwa noma. Mama wa Msela akaja kubonga nayo, nikafeli game badala kuulizwa lengo ninkumchafua kiti au kuoa! Loh! Mwishowe nikagundua wakazi wa kubambia nisimshike utosini, ni kama unayaita hivi.
Tukaendelea kulana hadi tulipopoteana. Kuna yale Unajua kiswahili, mengine lugha nyingine. Mkielewana na wadau wanakutana na unafuu a maisha pia
kudadeki utapeli ulitaka kumtokea puani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna jamaa alijifanya anajua kuongea nao alikula Teke moja.. sidhan kama atajaribu tena
haahahahahaha sawaa kaka
Na wewe ukiwa na nyege uwe unaenda Muhimbilimpeleke Muhimbili hospitali mkuu...
Ataachaje kupagawa wakati nilikuwa nampa bara na pwani!!!Utakuwa ulimpagawisha Sana kwa yale Mambo ya pwani [emoji1]
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kabisa...na kibwebwe nitakufumia mwaya.Woyooo nkunda mdumange imi
[emoji2955][emoji2955][emoji2955][emoji3064][emoji3064][emoji3][emoji3][emoji3]Ataachaje kupagawa wakati nilikuwa nampa bara na pwani!!!
Namuachia ajipakulie ujazo atakao...si unajua sie watanga, hatuna hiyana uwanjani
Shem, we mwenyewe unatukubali wa TA... Hahahaaaaa[emoji2955][emoji2955][emoji2955][emoji3064][emoji3064][emoji3][emoji3][emoji3]
Halafu shee nakutafuta ujueShem, we mwenyewe unatukubali wa TA... Hahahaaaaa