Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
Acha uzembe dogo. Mbona mi nikizama ziwani au kupiga mbizi huwa namaliza hata nusu saa Niko gezini
Mary Schiavo ameshika nafasi mbalimbali Marekani ikiwemo mkurugenzi mkuu wa idara ya usafirishaji Marekani na kwasasa ni mchambuzi wa usafiri wa anga kwenye kituo cha CNN.
Kuhusu ndege iliyopata ajali, Mary kasema ndege za ATR ziliacha kutumika nchini Marekani kwa sababu ya ajali za mara kwa mara hivyo kutolewa kwenye huduma.
Mary pia amemuongelea Pilot na kumpa kongole kwa kuishusha ndege kwenye maji bila kuigonga(Landing instead of crash). Mary amesema ndege hazifanyi boti na ikidondoka majini huzama.
Amemaliza kwa kusema watu 26 kupona kwenye 43 ni takwimu nzuri sana kwenye ajali za sekta ya anga.
Nami namaliza, inachukua dakika 4-6 kwa binadamu aliyezama majini bila kuibuka kufariki. Labda changamoto iwe mawasiliano, kinyume na hapo tushukuru waliowahi lakini kwa nchi nyingi idadi ya vifo ingebaki kama ilivyo na ile inabaki kuwa ajali.
View attachment 2410063