Mtaalam wa ndege CNN: Watu 26 kati ya 43 kuokolewa ni nzuri sana kwa ajali ya ndege

Mtaalam wa ndege CNN: Watu 26 kati ya 43 kuokolewa ni nzuri sana kwa ajali ya ndege

Acha uzembe dogo. Mbona mi nikizama ziwani au kupiga mbizi huwa namaliza hata nusu saa Niko gezini
Mary Schiavo ameshika nafasi mbalimbali Marekani ikiwemo mkurugenzi mkuu wa idara ya usafirishaji Marekani na kwasasa ni mchambuzi wa usafiri wa anga kwenye kituo cha CNN.

Kuhusu ndege iliyopata ajali, Mary kasema ndege za ATR ziliacha kutumika nchini Marekani kwa sababu ya ajali za mara kwa mara hivyo kutolewa kwenye huduma.

Mary pia amemuongelea Pilot na kumpa kongole kwa kuishusha ndege kwenye maji bila kuigonga(Landing instead of crash). Mary amesema ndege hazifanyi boti na ikidondoka majini huzama.

Amemaliza kwa kusema watu 26 kupona kwenye 43 ni takwimu nzuri sana kwenye ajali za sekta ya anga.

Nami namaliza, inachukua dakika 4-6 kwa binadamu aliyezama majini bila kuibuka kufariki. Labda changamoto iwe mawasiliano, kinyume na hapo tushukuru waliowahi lakini kwa nchi nyingi idadi ya vifo ingebaki kama ilivyo na ile inabaki kuwa ajali.

View attachment 2410063
 
1. Majaliwa ni mtu aliyekuwa karibu zaidi na ndege, aliiona tangu inataka kuanguka mpaka kuanguka kwake, naturally atakuwa wa kwanza kufika pia nampongeza kwa ushajaa sio wote tungeweza kufanya kama yeye.

2. Ukimsikiliza Majaliwa, kuna mtu alimzuia kupasua kioo na pilot akampungia mkono meaning wahusika walifika dakika za mtu kuwa hai(6 max)

3. Haya ni ya wanasiasa na kuropoka kwao

Ndege ilikuwa mita 100 ndani ya maji, nimesema tangu mwanzo kwa nchi nyingi na hasa hizi za dunia ya tatu hamna response inayoweza kumobilize na kuact ndani ya dakika 4 pasipo matarajio ya janga kutokea..

Mwisho mtu mwenye mawazo kinzani na yako haimaanishi katumwa, inamaanisha ana mawazo tofauti na yako.
Watz wengi mawazo kinzani kwao ni uadui. Uko kinyume na yeye so wanataka kila kitu yes mkuu.
 
Hao makomandoo kumi na boti walikuwepo ziwani!? Kutoka waliko mpaka eneo la ajali ni km ngapi? Hizo helikopita zenye uwezo huo za jeshi zipo Kambi ya mwanza?..Inachukua muda gani wa kupeleka huko eneo la tukio ukiwa Kama mtaalamu wa logistic za jeshi kagera!?
Kama hatuna makomando na kambi za kijeshi ENEO la mkoa wa kagera na ni mpakani bas we are not the state anymore!tena kagera mkoa wa mpakani wa uganda kabisa!!!

Fikiria upya!
 
Mary Schiavo ameshika nafasi mbalimbali Marekani ikiwemo mkurugenzi mkuu wa idara ya usafirishaji Marekani na kwasasa ni mchambuzi wa usafiri wa anga kwenye kituo cha CNN.

Kuhusu ndege iliyopata ajali, Mary kasema ndege za ATR ziliacha kutumika nchini Marekani kwa sababu ya ajali za mara kwa mara hivyo kutolewa kwenye huduma.

Mary pia amemuongelea Pilot na kumpa kongole kwa kuishusha ndege kwenye maji bila kuigonga(Landing instead of crash). Mary amesema ndege hazifanyi boti na ikidondoka majini huzama.

Amemaliza kwa kusema watu 26 kupona kwenye 43 ni takwimu nzuri sana kwenye ajali za sekta ya anga.

Nami namaliza, inachukua dakika 4-6 kwa binadamu aliyezama majini bila kuibuka kufariki. Labda changamoto iwe mawasiliano, kinyume na hapo tushukuru waliowahi lakini kwa nchi nyingi idadi ya vifo ingebaki kama ilivyo na ile inabaki kuwa ajali.

View attachment 2410063
Wale CHADEMA hawawezi kukuelewa mkuu-Tanzania kiusalama tuko sawa basi tu
 
Hakika nawaambia Yule mpuuzi aliyemzuia Majaliwa kupasua kioo kisa kasoma theory zake za floatation, Yule Rubani na Abiria wengine zaidi wangepona
Sidhani- maji yangewamaliza wengi; hili ni funzo kutoka MV.Bukoba- ilitobolewa kumtoa mhindi mmoja, wa pili , meli ikazama yote hadi leo
 
Mkuu

Kuhusu uokozi wa majeruhi wa ajali ya ndege maji ulihitaji ;-

-makomando 10 wenye Boti !
-Helkopya za kijeshi kama mbili hivi ambazo zingerushwa huu ya ndege iliyopata ajali na kushusha mnyororo kushika ndege iliyopo ziwani na kuivuta isizame iielee juu ya maji,Kumbuka kituo kikiwa kwa maji uzito hupungua!!refer physics ya form one!

-halafu Boti za makomando zingekuja kwenye ndege kuokoa wahanga majini !na zoezi hilo lingechukua Muda wa dakika 15 Hadi 30!!

Kifupi halikuwa na nia ya dhati ya kuokoa majeruhi wale,coz kuchelewa KWA masaa manne kwenye eneo la tukio ni kuonyesha kuwa walitolewa kafara KWA maslahi FULANI!!

Uwezo tunao,vifaa tunavyo ila nia hatuna ya kufanya hayo!!!
Mkuu uwe mkweli kwa nafsi yako- waokowaji walifika pale mapema sana
 
1. Majaliwa ni mtu aliyekuwa karibu zaidi na ndege, aliiona tangu inataka kuanguka mpaka kuanguka kwake, naturally atakuwa wa kwanza kufika pia nampongeza kwa ushajaa sio wote tungeweza kufanya kama yeye.

2. Ukimsikiliza Majaliwa, kuna mtu alimzuia kupasua kioo na pilot akampungia mkono meaning wahusika walifika dakika za mtu kuwa hai(6 max)

3. Haya ni ya wanasiasa na kuropoka kwao

Ndege ilikuwa mita 100 ndani ya maji, nimesema tangu mwanzo kwa nchi nyingi na hasa hizi za dunia ya tatu hamna response inayoweza kumobilize na kuact ndani ya dakika 4 pasipo matarajio ya janga kutokea..

Mwisho mtu mwenye mawazo kinzani na yako haimaanishi katumwa, inamaanisha ana mawazo tofauti na yako.
Mkuu CHADEMA na hawa wanaharakati hawawezi kukuelewa; hata ukiwambia leo ni Jumanne ya Novemba 8, ya mwaka 2022 watakataa.
 
"Dakika 4 kwa mtu kufa akiwa ndani ya maji kwa kukosa hewa"
Sawa!
Swali kwako Replica !

Je!
Yule kijana #Majaliwa alitumia muda gani kufika hadi kwenye Ndege,huku akitumia mtumbwi wa kasia na kukuta bado watu wakiwa hai?

Je!
Unaweza kutuonyesha clip ya hata,askari mmoja wa kikosi cha uokoaji cha serikali aliyekuwa sambamba na wavuvi wale on time?

Je!
Kama mkuu wa mkoa wa Kagera alifika eneo la tukio,na kuuthibitishia Umma kupitia vyombo vya habari.
Kwamba ameweza kuongea na walioko ndani ya ndege,hiyo yote ilikuwa ni ndani ya hizo dakika nne zako?

Hapa tunajiuliza na kutathmini u-haraka wa kuweza kufika eneo la tukio na kufanya kinachowezekana kwa wakati!

Huyo mzungu wa CNN,ametoa maoni yake kuhusiana na "Rapid response emergency landing capability of the pilot"

Hakutoa maoni kuhusu umbali wa tukio kutoka pwani ya ziwa na kingo za uwanja wa ndege.

Suala la umri na uchakavu wa ndege,linabaki kuwa technical faults,sisi tunaongelea uzembe wa serikali katika uokozi wa majanga.

Sijui wewe umetumwa kumtetea nani?

Ni CCM au Kutetea Serikali?
Alamsikhi!
10101.
WEWE PINGA TU MAANA NDIYO KIZAZI CHAKO
 
Abainike huyo aliyemkataza Majariwa asivunje kioo wakati rubani alishamruhusu Majariwa kuvunja kioo. Rest in peace wahanga wote wa ajari
 
Mary Schiavo ameshika nafasi mbalimbali Marekani ikiwemo mkurugenzi mkuu wa idara ya usafirishaji Marekani na kwasasa ni mchambuzi wa usafiri wa anga kwenye kituo cha CNN.

Kuhusu ndege iliyopata ajali, Mary kasema ndege za ATR ziliacha kutumika nchini Marekani kwa sababu ya ajali za mara kwa mara hivyo kutolewa kwenye huduma.

Mary pia amemuongelea Pilot na kumpa kongole kwa kuishusha ndege kwenye maji bila kuigonga(Landing instead of crash). Mary amesema ndege hazifanyi boti na ikidondoka majini huzama.

Amemaliza kwa kusema watu 26 kupona kwenye 43 ni takwimu nzuri sana kwenye ajali za sekta ya anga.

Nami namaliza, inachukua dakika 4-6 kwa binadamu aliyezama majini bila kuibuka kufariki. Labda changamoto iwe mawasiliano, kinyume na hapo tushukuru waliowahi lakini kwa nchi nyingi idadi ya vifo ingebaki kama ilivyo na ile inabaki kuwa ajali.

View attachment 2410063
Laiti angekuepo akaona the whole situation ya ajali angebadili mawazo yake haraka, na kulaumu why rescue team haikufika kwa wakat maybe wote wangeokolewa!!
 
Aina ya ajali

Accidents and incidents​

The ATR 72 has been involved in 46 aviation accidents and incidents including 29 hull losses,resulting in 398 fatalities

20px-Information_icon4.svg.png
This list is incomplete; you can help by adding missing items. (October 2022)

Accidents with fatalities[76]
DateFlightFat.Surv.LocationEvent
31 Oct 1994American Eagle 4184680USA, near Roselawn, INCrash due to icing
30 Jan 1995TransAsia Airways40Taiwan, near TaipeiCrash into a hillside, four crew killed.[77]
21 Dec 2002TransAsia 79120Taiwan, near Makung CityCrash due to icing, both crew died.[78]
6 Aug 2005Tuninter 11531623Italy, near PalermoDitch due to fuel exhaustion caused by inappropriate indicators.[79]
4 Aug 2009Bangkok Airways 266171Thailand, Koh Samui AirportSkid into a disused tower, killing the captain
4 Nov 2010Aero Caribbean 883680Cuba, near GuasimalIcing and bad crew decisions.[80][81]
2 Apr 2012UTair 1203310Russia, Tyumen AirportCrash soon after takeoff.[82] Incorrect deicing procedures.
16 Oct 2013Lao Airlines 301490Laos, near Pakse AirportCrash into the Mekong while on approach.[83]
23 Jul 2014TransAsia 2224810Taiwan near Magong AirportCrash while landing.[84]
4 Feb 2015TransAsia 2354315Taiwan, Keelung River near TaipeiEngine failure on takeoff, crash after still-functional engine shut down
18 Feb 2018Iran Aseman 3704660Iran, near Yasuj AirportCrash into Mount Dena.[85]
 
Kama hatuna makomando na kambi za kijeshi ENEO la mkoa wa kagera na ni mpakani bas we are not the state anymore!tena kagera mkoa wa mpakani wa uganda kabisa!!!

Fikiria upya!
Kikosi kipo hiyohiyo bukoba..pacha ake na kile cha kizuka.ila labda hawajapata taarifa.
 
Kama mkuu wa mkoa wa Kagera alifika eneo la tukio,na kuuthibitishia Umma kupitia vyombo vya habari.
Kwamba ameweza kuongea na walioko ndani ya ndege,hiyo yote ilikuwa ni ndani ya hizo dakika nne zako?

Akikujibu hili naomba uniite mkuu.

Nimekaa pale kwenye kahawa
 
"Landing instead of crash" nimejifunza jambo moja hapo.

Kumbe inawezekana kama pangekuwepo na plain surface mfano wa uwanja wa kuchezea mpira wa miguu, ile ndege ingeweza kutua salama na abiria wote wangeokoka.

Kilichosababisha abiria kupoteza maisha ni ndege kuzama kwasababu ya kutua majini, kitu kilichosababisha maji kuingia ndani ya ndege na baadhi ya abiria kupoteza maisha kwa kukosa hewa.

Rubani alijitahidi kwa uwezo wake, ni vile tu hakuwa na option; nampa hongera popote alipo, RIP.
Pembeni mwa uwanja kuna eneo kubwa la wazi panaitwa gymkhana pana urefu wa sio chini ya km 1.5 na upana wa mita 400 kwa ndege inaweza kutua
 
Kwahiyo tuiite hii ni ajali yenye ubora wa hali ya juu.
 
Bila UZEMBE kufanyika, hakuna abilia angekufa kwa nature ya ajali ilivyokuwa.
 
Wenyewe wanasema maji ni salama zaidi ndege kutua kuliko nchi kavu ikitokea dharula isiyohimilika, plain surface ilikuwepo mita mia pembeni ambayo ni uwanja wa ndege uliotengenezwa mahususi kwa ajili ya ndege kutua na kupaa..
Inavyoonekana huyu pilot alikuwa na wazo tofauti, kutua majini ilitokea kama ajali tu, au niseme bahati mbaya.

Kwasababu, PM amesema ndege ilipotua majini ilikuwa uelekeo wa tofauti na uwanja wa ndege ulipo, sasa tujiulize; huo uelekeo ulikuwa ndio wa hiyo plain surface unayoisema ilikuwa karibu? au uelekeo huo ulikuwa ni wa uwanja wa ndege wa Mwanza, kwamba rubani alitaka kugeuza akatue Mwanza ila bahati mbaya hakufika?

Kama rubani angekuwa hajafariki naamini alikuwa na majibu mazuri zaidi ili kuondoa hii sintofahamu iliyopo, lakini kutua kwenye maji inawezekana kulikuja automatically kwa sababu eneo ndege ilipokuwa inazunguka maji yalikuwa yamechukua nafasi kubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom