"Dakika 4 kwa mtu kufa akiwa ndani ya maji kwa kukosa hewa"
Sawa!
Swali kwako
Replica !
Je!
Yule kijana #Majaliwa alitumia muda gani kufika hadi kwenye Ndege,huku akitumia mtumbwi wa kasia na kukuta bado watu wakiwa hai?
Je!
Unaweza kutuonyesha clip ya hata,askari mmoja wa kikosi cha uokoaji cha serikali aliyekuwa sambamba na wavuvi wale on time?
Je!
Kama mkuu wa mkoa wa Kagera alifika eneo la tukio,na kuuthibitishia Umma kupitia vyombo vya habari.
Kwamba ameweza kuongea na walioko ndani ya ndege,hiyo yote ilikuwa ni ndani ya hizo dakika nne zako?
Hapa tunajiuliza na kutathmini u-haraka wa kuweza kufika eneo la tukio na kufanya kinachowezekana kwa wakati!
Huyo mzungu wa CNN,ametoa maoni yake kuhusiana na "Rapid response emergency landing capability of the pilot"
Hakutoa maoni kuhusu umbali wa tukio kutoka pwani ya ziwa na kingo za uwanja wa ndege.
Suala la umri na uchakavu wa ndege,linabaki kuwa technical faults,sisi tunaongelea uzembe wa serikali katika uokozi wa majanga.
Sijui wewe umetumwa kumtetea nani?
Ni CCM au Kutetea Serikali?
Alamsikhi!
10101.