Mtaalam wa ndege CNN: Watu 26 kati ya 43 kuokolewa ni nzuri sana kwa ajali ya ndege

Idadi ya walionusurika ingelikuwa kubwa zaidi ya hiyo endapo waokozi wangelifanya kazi zao sawasawa badala ya kumuachia mvuvi.
 
Daah
 
Kuna wahuni kule ista wameweka namba ya kumchangia mvuvi majaliwa,watu wabongo sio watu.
 
Hajaambiwa majaliwa ndiye akaokoa ,amuite kwa USA army Navy seal command faster apewe green card na bado kijana bado mbichi kabisa yaani bado kabisa. Akiingia huko anafanya maendeleo home kwao mpaka dingi yake anakuja kujiliza kwake kuwa hamjali. Ataomba arudiane na mama yake Mana hayuko mbali sema tu Ni masuala ya kindoa. Eti Ni ya kifamilia kisa pesa jamani Ila njaa haina adabu
 
Haya ndiyo maswali ya msingi ambayo wasingependa tujadili.
 
Kama hatuna makomando na kambi za kijeshi ENEO la mkoa wa kagera na ni mpakani bas we are not the state anymore!tena kagera mkoa wa mpakani wa uganda kabisa!!!

Fikiria upya!
Si ajabu mabeberu wanatugeuzageuza wapendavyo kama chapati za unga wa Azam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…