Dr. Sajjad Fazel
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 435
- 428
- Thread starter
- #161
Dr. Natoka kiasi kikubwa cha ute mweupe kama karatasi ukeni, hautoe harufu, nawashwa kiasi kidogo na sisikii maumivu. Nimepima UTI na fungus nimeambiwa sina mambukizi hayo. Ute huo huongezeka zaidi nikikaribia siku zangu. Ni ute mwingi mpaka nguo ya ndani inalowa sana. Huu ni mwaka wa tatu sasa kila nikipima wanasema hawaoni fungus.
Kwa dalili hizo linaweza kuwa mambo mengi. Ningekushauri umuuone Gynecologist. Hawa ni daktari bingwa juu ya swala hilo.
Asante.