Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Hivi ndui ikiwapata kuku nini kinaweza kufanyika kuwasaidia?
Mkuu kwa ndui ni chanjo tu ambayo hupelekea kuku kuwa na kinga ya maisha....

Afu kuna masahihisho kidogo kwa hapo juu ugonjwa husika hapo ni infectious coryza... mkuu
 
Kuku wangu wamekumbwa na utitiri nimesafisha banda na kumwagia dawa ya unga.Kwenye banda utitiri umeisha ila tatizo limebaki kwa kuku hawajatoka.Nini tiba yake mtaalam?
 
Kuku wangu wamekumbwa na utitiri nimesafisha banda na kumwagia dawa ya unga.Kwenye banda utitiri umeisha ila tatizo limebaki kwa kuku hawajatoka.Nini tiba yake mtaalam?
Mkuu pole kwa tatizo lako la kuku kuwa na utitiri hapo cha kufanya nunua dawa aina ya carbamate insecticide ambayo dukani hupatikana kwa jina la Sevin® iko kwa form ya ungaunga wanyunyuzie mara mbili kila baada ya week 2 na tatizo lako litakuwa limekwisha mkuu.
 
Mkuu pole kwa tatizo lako la kuku kuwa na utitiri hapo cha kufanya nunua dawa aina ya carbamate insecticide ambayo dukani hupatikana kwa jina la Sevin[emoji768] iko kwa form ya ungaunga wanyunyuzie mara mbili kila baada ya week 2 na tatizo lako litakuwa limekwisha mkuu.
Shukran mkuu.Vipi na tatizo la kudumaa kwa vifaranga hali hiyo husababishwa na nini?
 
Shukran mkuu.Vipi na tatizo la kudumaa kwa vifaranga hali hiyo husababishwa na nini?
kudumaa katika ukuaji? au kudumaa kupi?

Kama ni katika ukuaji jaribu kuangalia management nzima ya kuku wako hapo nyumbani na pia jaribu kubadili chakula cha kuku mkuu...

ukizingatia hayo na imani vifaranga wako watakuwa vizuri tu bila kuwa na tatizo...
 
kudumaa katika ukuaji? au kudumaa kupi?

Kama ni katika ukuaji jaribu kuangalia management nzima ya kuku wako hapo nyumbani na pia jaribu kubadili chakula cha kuku mkuu...

ukizingatia hayo na imani vifaranga wako watakuwa vizuri tu bila kuwa na tatizo...
Ubarikiwe sana mkuu.
 
labda ungeniambia unatumia system gani ya ufugaji mkuu.... either free range system or intensive system na ukiacha hiyo dalili ya vifaranga kutoka vidonda mdomoni ni dalili nyingine ipi wanaonesha tena mkuu? tuanzie kwanza hapo
System ya ufugaji ni semi-intensive, kwa maana wakati mwingine huwaachia huru kuzurura na kuwarudisha bandani. Kuhusu dalili zingine sijaona ila mara nyingi huanza kutokwa vidonda mdomoni hadi wakati mwingine kwenye macho na husababisha wasione.

Vidonda hupelekea vifaranga wasiweze kula chakula hata kunywa maji.
 
System ya ufugaji ni semi-intensive, kwa maana wakati mwingine huwaachia huru kuzurura na kuwarudisha bandani. Kuhusu dalili zingine sijaona ila mara nyingi huanza kutokwa vidonda mdomoni hadi wakati mwingine kwenye macho na husababisha wasione. Vidonda hupelekea vifaranga wasiweze kula chakula hata kunywa maji.

upload_2017-10-5_0-52-56.png


Mkuu hivyo vidonda viko kama hivyo vinavyoonekana kwa picha.....
 
View attachment 602475

Mkuu hivyo vidonda viko kama hivyo vinavyoonekana kwa picha.....
Yes, kama hivyo mkuu. Yaan vinasumbua sana mifugo yangu.
System ya ufugaji ni semi-intensive, kwa maana wakati mwingine huwaachia huru kuzurura na kuwarudisha bandani. Kuhusu dalili zingine sijaona ila mara nyingi huanza kutokwa vidonda mdomoni hadi wakati mwingine kwenye macho na husababisha wasione. Vidonda hupelekea vifaranga wasiweze kula chakula hata kunywa maji.
 
Yes, kama hivyo mkuu. Yaan vinasumbua sana mifugo yangu.
Mkuu kama ni hivyo bhasi vifaranga wako watakuwa wanasumbuliwa na ugonjwa unaoitwa Mycotoxicoses ambao husababishwa na vifaranga kula vyakula vyenye sumu aina ya Fusarium T-2 toxin ambayo hupendelea sana mazao kama mahindi karanga mchele na ngano ambayo hupelekea vifaranga wako kupata ugonjwa huo..... thou for more confirmation ilinipasa kufanya Post morteum ili kuridhika kama ugonjwa ndio wenyewe....

Hivyo basi kama huo ndio ugonjwa nakushauri ufanye yafuatayo;
  • Epuka kuhifadhi chakula cha vifaranga katika eneo lenye unyevuenyevu kuepuka hao kuota kwenye chakula na hakikisha pia hicho chakula ulichokihifadhi kinatumika not more than 3 weeks kiwe kimekwisha
  • Hakikisha vifaranga wako unaweka katika banda ambalo linahewa ya kutosha ili kuzuia conducive environment for growth of mould kwa banda lako.
  • Na mwisho hakikisha unawapa vifaranga wako multivitamin na madini aina ya selenium ya kutosha yakatika katika chakula chao...
Hakikisha chakula cha kuku unakihifadhi katika sehemu iliyo kavu na kitumike katika muda muafaka.....
 
Mkuu kama ni hivyo bhasi vifaranga wako watakuwa wanasumbuliwa na ugonjwa unaoitwa Mycotoxicoses ambao husababishwa na vifaranga kula vyakula vyenye sumu aina ya Fusarium T-2 toxin ambayo hupendelea sana mazao kama mahindi karanga mchele na ngano ambayo hupelekea vifaranga wako kupata ugonjwa huo..... thou for more confirmation ilinipasa kufanya Post morteum ili kuridhika kama ugonjwa ndio wenyewe....

Hivyo basi kama huo ndio ugonjwa nakushauri ufanye yafuatayo;
  • Epuka kuhifadhi chakula cha vifaranga katika eneo lenye unyevuenyevu kuepuka hao kuota kwenye chakula na hakikisha pia hicho chakula ulichokihifadhi kinatumika not more than 3 weeks kiwe kimekwisha
  • Hakikisha vifaranga wako unaweka katika banda ambalo linahewa ya kutosha ili kuzuia conducive environment for growth of mould kwa banda lako.
  • Na mwisho hakikisha unawapa vifaranga wako multivitamin na madini aina ya selenium ya kutosha yakatika katika chakula chao...
Hakikisha chakula cha kuku unakihifadhi katika sehemu iliyo kavu na kitumike katika muda muafaka.....
Mkuu asante,nami nimepata madini hapo.kumbe kununua pumba ukazitunza wakatumia zaidi ya mwezi nayo ni hatari
 
Mkuu asante,nami nimepata madini hapo.kumbe kununua pumba ukazitunza wakatumia zaidi ya mwezi nayo ni hatari
ndio mkuu hasahasa zikiwa na unyevu unyevu..... na pia kama unazitunza kwa muda mrefu hakikisha unazipulizia antifungal kuzuia uotaji wa mould ambao unaweza sababisha matatizo kwa vifaranga au kuku wako....
 
Msaada Dr kuku Wang wamefikia chanjo ya ndui nimenda duka la dawa za mifugo anasema anayo ya kuwachoma lingine anasema ya kuchanganya sasa naomba unisaidie ipi ni bora mana sijaelewa
 
Mkuu kama ni hivyo bhasi vifaranga wako watakuwa wanasumbuliwa na ugonjwa unaoitwa Mycotoxicoses ambao husababishwa na vifaranga kula vyakula vyenye sumu aina ya Fusarium T-2 toxin ambayo hupendelea sana mazao kama mahindi karanga mchele na ngano ambayo hupelekea vifaranga wako kupata ugonjwa huo..... thou for more confirmation ilinipasa kufanya Post morteum ili kuridhika kama ugonjwa ndio wenyewe....

Hivyo basi kama huo ndio ugonjwa nakushauri ufanye yafuatayo;
  • Epuka kuhifadhi chakula cha vifaranga katika eneo lenye unyevuenyevu kuepuka hao kuota kwenye chakula na hakikisha pia hicho chakula ulichokihifadhi kinatumika not more than 3 weeks kiwe kimekwisha
  • Hakikisha vifaranga wako unaweka katika banda ambalo linahewa ya kutosha ili kuzuia conducive environment for growth of mould kwa banda lako.
  • Na mwisho hakikisha unawapa vifaranga wako multivitamin na madini aina ya selenium ya kutosha yakatika katika chakula chao...
Hakikisha chakula cha kuku unakihifadhi katika sehemu iliyo kavu na kitumike katika muda muafaka.....
Asante sana mkuu. Kingine, je hii multivitamin inatumikaje? I mean inachanganywa kwenye chakula au kwenye maji. Je, kuna chanjo zipi zinahitajika kwa hawa kuku wa kienyeji.
 
Asante sana mkuu. Kingine, je hii multivitamin inatumikaje? I mean inachanganywa kwenye chakula au kwenye maji. Je, kuna chanjo zipi zinahitajika kwa hawa kuku wa kienyeji.
Kwenye maji mkuu..... and about vaccination schedule kasome post [HASHTAG]#123[/HASHTAG] Nimeelezea pale vizuri tu
 
Msaada Dr kuku Wang wamefikia chanjo ya ndui nimenda duka la dawa za mifugo anasema anayo ya kuwachoma lingine anasema ya kuchanganya sasa naomba unisaidie ipi ni bora mana sijaelewa
Chanjo ya kuchoma ndio iko njema zaidi mkuu kwa kutumia technique ya wing web stab per cutaneous ....

Hiyo ya maji pia yaweza tumika but sidhani kama yaweza kuwa more effective kama iyo ya kuchoma mkuu....

kila la kheri...
 
Habari Wakuu....
Nipo mbele yenu kujibu maswali yenu mbalimbali kuhusiana na tiba na ushauri wa magonjwa yanayosumbumbua mifugo yetu mbalimbali na hivyo kupelekea uzalishaji kupungua....

Na pia kwa wale wakazi wa Dar es salaam na viunga vyake wanaohitaji huduma za ki veterinarian natoa huduma za chanjo na kutibu kwa wanyama wote wa nyumbani kama vile ;
  • Pets (Dog and cat)
  • Cattle (Ng'ombe)
  • Shoats (Mbuzi na Kondoo)
  • Fresh water fish (samaki)
  • Poultry (Kuku)
  • Rabbit (Sungura)
Pia nafanya surgical operation kwa pets (mbwa na paka) kama vile castration and ovariohysterectomy (kufunga vizazi kwa madume na majike) and many other surgical operation kwa mifugo ya nyumbani tu.....
mkuu nina kuku wangu wa kienyeji lakini hawatagi mayai yenye kiini cha njano.....nawapa chakula cha lea, je ni nini sababu?
 
Back
Top Bottom