Mtaani kuna Black-Mail system wanaume kuweni makini sana.

Mtaani kuna Black-Mail system wanaume kuweni makini sana.

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Sasa kuna mfumo upo ambao sio rafiki Kwa wanaume .

Wanaweza kuja watoto wakike wanakufata fata wnakuomba pipi n.k hakikisha hauwapi na usiwajibu na wala hata umkute mtoto wa mtu anashida gani usitoe msaada wowote . hawa watoto wa hivi wanakuwa wametumwa na wazazi wao.

Ukitaka kutoa msaada Katoe vituo Vya watoto yatima.


Pia usitembee na mwanamke ambaye unakaa nae mtaa mmoja hata awe mzuri Kama malaika


Sasa Wanaume mnatafutwa kuharibiwa maisha kwa kila namna.



Na wewe usimpigie Mwanamke wala kumtafuta tofauti na issue za Kazi na kibiashara .

Jaribu kuwa smart and play smart.
 
Sasa kuna mfumo upo ambao sio rafiki Kwa wanaume .

Wanaweza kuja watoto wakike wanakufata fata wnakuomba pipi n.k hakikisha hauwapi na usiwajibu na wala hata umkute mtoto wa mtu anashida gani usitoe msaada wowote .

Ukitaka kutoa Kutoa nenda vituo Vya watoto yatima.


Pia usitembee na mwanamke ambaye unakaa nae mtaa mmoja hata awe mzuri Kama malaika


Sasa Wanaume mnatafutwa kuharibiwa maisha kwa kila namna.



Na wewe usimpigie Mwanamke wala kumtafuta tofauti na issue za Kazi na kibiashara .

Jaribu kuwa smart and play smart.
Naona Sasa hivi dunia inakwenda kasi Sana, bado kidogo tu tufike katika Mfumo wa maisha ya Watu katika nchi za ughaibuni huko Magharibi ambako kila Mtu yupo nyumbani kwake amejifungia ndani ya geti lake. Hakuna kuombana chumvi, kutembeleana wala kusalimiana
 
Juzi kati kuna jamaa alimpeleka demu ghetto kwake so wakafanya yao kufika asubuhi jamaa anamwambia demu unaondoka saa ngapi? demu anamwambia niondoke niende wapi?

jamaa ndio ikawa kaoa hivyo bila ridhaa yake😃
 
Kuna mfumo mzazi anamtuma mtoto wake aje kwako umnunulie pipi na ukishamnunulia anakuja kukuambia kuwa unamuwinda mtoto wake.

So kilichopo ndo hicho
Mchezo unaofanana na huu walimu wamefanyiwa sana na wazazi wenye mabinti huko Singida

Katoto kanijileta unasema hapa nimepata na kama unavyojua vitoto vya Singidani si haba

Ile kanaingia geto tu kumbe kameshawapanga nduguze

Ghafla hawa hapa magetoni kimenuka, walimu wengi wamepigwa ndoa za mkeka
 
Juzi kati kuna jamaa alimpeleka demu ghetto kwake so wakafanya yao kufika asubuhi jamaa anamwambia demu unaondoka saa ngapi? demu anamwambia niondoke niende wapi?

jamaa ndio ikawa kaoa hivyo bila ridhaa yake😃
Haaahaa,
Kuna watu wakatili Sanaa..rafiki yangu wa o_level
Alishobokewa na demu mmoja ivi so jamaa akamleta ghetto piga show walipo maliza akamtamkia ULICHO KUA UNAKITAFUTA UMEKIPATA..ITS OVER BETWEEN US.

So hili Jambo lako linategemea mtu na MTU.
 
Mchezo unaofanana na huu walimu wamefanyiwa sana na wazazi wenye mabinti huko Singida

Katoto kanijileta unasema hapa nimepata na kama unavyojua vitoto vya Singidani si haba

Ile kanaingia geto tu kumbe kameshawapanga nduguze hawa hapa kimenuka walimu wengi wamepigwa ndoa za mkeka
That is hell.
 
Back
Top Bottom