Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Sasa kuna mfumo upo ambao sio rafiki Kwa wanaume .
Wanaweza kuja watoto wakike wanakufata fata wnakuomba pipi n.k hakikisha hauwapi na usiwajibu na wala hata umkute mtoto wa mtu anashida gani usitoe msaada wowote . hawa watoto wa hivi wanakuwa wametumwa na wazazi wao.
Ukitaka kutoa msaada Katoe vituo Vya watoto yatima.
Pia usitembee na mwanamke ambaye unakaa nae mtaa mmoja hata awe mzuri Kama malaika
Sasa Wanaume mnatafutwa kuharibiwa maisha kwa kila namna.
Na wewe usimpigie Mwanamke wala kumtafuta tofauti na issue za Kazi na kibiashara .
Jaribu kuwa smart and play smart.
Wanaweza kuja watoto wakike wanakufata fata wnakuomba pipi n.k hakikisha hauwapi na usiwajibu na wala hata umkute mtoto wa mtu anashida gani usitoe msaada wowote . hawa watoto wa hivi wanakuwa wametumwa na wazazi wao.
Ukitaka kutoa msaada Katoe vituo Vya watoto yatima.
Pia usitembee na mwanamke ambaye unakaa nae mtaa mmoja hata awe mzuri Kama malaika
Sasa Wanaume mnatafutwa kuharibiwa maisha kwa kila namna.
Na wewe usimpigie Mwanamke wala kumtafuta tofauti na issue za Kazi na kibiashara .
Jaribu kuwa smart and play smart.