Mtaani na kwenye social media CCM imesahaulika kabisa wiki hii kwenye tasnia ya siasa wakati habari za CHADEMA zikitawala.

Mtaani na kwenye social media CCM imesahaulika kabisa wiki hii kwenye tasnia ya siasa wakati habari za CHADEMA zikitawala.

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Kwa kweli ukiangalia Jamii Furums, WhattsApp, Instagram, n.k. kati ya post 10 za siasa, 9 ni kuhusu CHADEMA. Ni kama vile CCM imeondoka kabisa kwenye ulingo wa siasa wa Tanzania, na hili jambo linasemwa kuwa linonesha hali halisi ya nguvu za vyama hivi vya siasa hasa CHADEMA ambayo habari zake zimeonekana kuteka hisia za Watanzania kuliko chama kingine cha siasa ikiwa ni pamoja na CCM.
 
Screenshot_2024-10-14-10-42-24-1.png
 
Atu tegemei mitandao tupo kila kona
 

Attachments

  • JamiiForums-85190998.jpg
    JamiiForums-85190998.jpg
    65.8 KB · Views: 4
Back
Top Bottom