Mtabiri nchini Libya aitabiria Simba kuingia nusu fainali

Mtabiri nchini Libya aitabiria Simba kuingia nusu fainali

Mtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league

Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,

Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
  • Simba
  • Mamelody
  • Esperance
  • Tp mazembe

Je atafanikiwa.
Uzuri ana "tabili" sio kutabiri.
 
Mtabili ameshaona utopolo watakutana na kitu kizito, watapigwa wachakae
 
Siamini sana katika Tabiri.

Naamini sana kwenye Muda.
Muda ni msema kweli Daima na anahukumu kwa Haki yote bila upendeleo.

Wakati utafika tutajua mbivu na Mbichi.

Kwa status Ya kikosi , Uwekezaji, na Uongozi uliopo simba ni ngumu sana kutoboa , kikosi ni dhaifu Mno.

MLETA MADA KUWEKA HABARI YAKO IWE VALID UNGEWEKA SORCE YA HABARI YAKO.

OTHERWISE LONG LIFE JAMII FORUM.
Udhaifu wa Simba uko wapi? Isije ikawa hukuona gemu ya awali kwa Mkapa?. Wangekuwa dhaifu wasingepata 7 shots on target na ku-possess 63%.

Ahly walikuwa na bahati kwa kuwa na shot on target 1 na ikawa ndiyo goli hilohilo.
Screenshot_20240404_090520_Google.jpg
 
Hizi mechi ni za plan kali sana siyo takwimu.Simba aliachiwa acheze mpira kimkakati na siyo kwamba Al Ahaly walishindwa kufunguka.Japo Simba alimiliki mpira ila haikuwa na athari zozote kwa aina ya wachezaji wa Simba.Nafasi 12 za Simba wakitengeneza wanapokutana na timu yenye mbinu wanawezapata moja.Al Ahaly alikuwa na hatari sana anapokuwa na mpira kuliko Simba.
 
Mtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league

Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,

Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
  • Simba
  • Mamelody
  • Esperance
  • Tp mazembe

Je atafanikiwa.
Hapana amekosea kwa asilimia 75%

Timu zitakazoingia nusu fainali ni:

Young Africans
Simba
ASEC Mimosas
Petroleos de Luanda

HII NI UHAKIKA. NI UNABII.

NB: Kiuhalisia sasa, nasubiri kuona hizo timu zote zitapenyaje?
 
Mtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league

Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,

Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
  • Simba
  • Mamelody
  • Esperance
  • Tp mazembe

Je atafanikiwa.
Ni mchawi mwenzenu, lazima muamini asemacho.
 
Yule mashino alitabiri weee baadae kaufyata ...
 
Mtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league

Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,

Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
  • Simba
  • Mamelody
  • Esperance
  • Tp mazembe

Je atafanikiwa.
Simba atavuka kwa tofauti ya goli Moja. Mtabiri hajakosea,.
 
Back
Top Bottom