Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri ana "tabili" sio kutabiri.Mtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league
Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,
Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
- Simba
- Mamelody
- Esperance
- Tp mazembe
Je atafanikiwa.
Hawawezi hiyo ni danganya toto,we Kila msimu wanaosajili magalasa alafu utegemee miujizaule ule uliomfikisha robo fainali
Udhaifu wa Simba uko wapi? Isije ikawa hukuona gemu ya awali kwa Mkapa?. Wangekuwa dhaifu wasingepata 7 shots on target na ku-possess 63%.Siamini sana katika Tabiri.
Naamini sana kwenye Muda.
Muda ni msema kweli Daima na anahukumu kwa Haki yote bila upendeleo.
Wakati utafika tutajua mbivu na Mbichi.
Kwa status Ya kikosi , Uwekezaji, na Uongozi uliopo simba ni ngumu sana kutoboa , kikosi ni dhaifu Mno.
MLETA MADA KUWEKA HABARI YAKO IWE VALID UNGEWEKA SORCE YA HABARI YAKO.
OTHERWISE LONG LIFE JAMII FORUM.
Hapana amekosea kwa asilimia 75%Mtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league
Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,
Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
- Simba
- Mamelody
- Esperance
- Tp mazembe
Je atafanikiwa.
Ni mchawi mwenzenu, lazima muamini asemacho.Mtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league
Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,
Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
- Simba
- Mamelody
- Esperance
- Tp mazembe
Je atafanikiwa.
Ni mchawi mwenzenu, lazima muamini asemacho.Uto watapinga utabiri
Ni mchawi mwenzenu, lazima muamini asemacho.Insha-Allah...
Kilicho basi ni kuwekeza nguvu kwenye utabiri maana uwanjani mambo yasha shindikanaUto watapinga utabiri
Akili gani sasa wewe naeHiyo ikitokea nchi haitakalika. Nitachukua likizo kwenda Dubai kupumzisha akili
Ongeza na hizi ili research yako ishibeUdhaifu wa Simba uko wapi? Isije ikawa hukuona gemu ya awali kwa Mkapa?. Wangekuwa dhaifu wasingepata 7 shots on target na ku-possess 63%.
Ahly walikuwa na bahati kwa kuwa na shot on target 1 na ikawa ndiyo goli hilohilo.
View attachment 2953443
😅🤣😆🤔Nawashangaa watu wanaoshangaa Simba kufungwa goli 1 na Al ahly na kusahau kuwa Simba hiyo hiyo ilifungwa goli 2 na Prison ya huko Mbeya ambayo Al ahly hawaijui.
Simba atavuka kwa tofauti ya goli Moja. Mtabiri hajakosea,.Mtabili maarufu wa nchini Libya Aboubakar El Han ametabili mechi za Caf champions league
Huku akiwashtua watu wengi baada ya kusema Al Ahly ya Misri itatolewa na Simba kwenye mashindano hayo,
Timu alizozitabilia kuingia nusu fainali nazo ni
- Simba
- Mamelody
- Esperance
- Tp mazembe
Je atafanikiwa.