Aisee, naomba uniambie mtandao unao tumia tafadhari..ili pakikucha tu nkutumie mgao wa vocha.Miaka 27 - 33
Uko bize na mambo yako japo una muda wa kukutana na marafiki mara moja moja kwaajili ya kuburudika na kubadilishana mawazo, huna marafiki wa karibu asilimia kubwa ya watu wako ni wale unaofanya nao kazi/ biashara.
Si mtu wa maneno mengi
Unajipenda kawaida, yaani haupo rafu ila sio wale wanaojipenda sana.
Si rahisi mtu kukujua we ni mtu wa aina gani maana mara nyingi sio mwepesi kuonyesha hisia
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂mkuu kwanini usiwe mtabiri tuu..?? umepita mule mule!... dahKwa haraka haraka wewe elimu yako ni kati ya darasa la saba mpska form four.
Lakini pia umri ni kati ya 22 -28,ni mtu huna future na maisha yako,hujawahi kuwaza kuoa kwa sababu bado unakula ujana.
Unapenda kufunga nywelee some times unapiga viduku,unapenda kuvaa jeans na laba kali ksli ambazo unajiksmus kweli kweli kununua,alafu unajifanya bishoo wa mjini.
Unachelewa sana kulala,unapenda sana mziki na viwanja,unakunywa kimtindo lakini mara nyingi hununui wewe.
Unakofia(kepu)bila shaka alafu kama nakuona na zile iafoni kubwa zinszokatisha kichwa.
Niishie hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha sawa mwalimuuuu
Mkuu,Hahahahaha sawa mwalimuuuu
Basi naomba radhi mkuu.. sikujua kama unaichukiaMkuu,
Mimi kuniita mwalimu ni kunikosea, i hate that professional
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo jf kabla hujawa na smartphone.
[emoji23]sawaBasi naomba radhi mkuu.. sikujua kama unaichukia
Haha na kupigana na wanafunzi! 😂😂[emoji23]sawa
Hao jamaa hua wana akili chafu.ni kawaida kuvaa nguo moja week nzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah nimesoma salamu kutoka kuzimu, mikononi mwa nunda na tutarudi na roho zetu? (Hiki kipo cha kizungu pia kinaitwa Zero Hour)Ok mpenzi..
Kuna
-mtambo wa mauti
Salamu toka kuzimu
-roho ya paka[emoji813]
-mikononi mwa nunda[emoji813]
~Dar es salaam usiku.
-najisikia kuua tena
--Mikataba ya kishetani[emoji813]
-Daima nitaheshimu polisi.
Hivyo ndio vitabu nilivyonavyo vyenye alama [emoji813] ndio nimevimaliza kuvisoma.
Pia nina Compilation ya gazeti la mwaka 96 lenye hadithi ya Tutarudi na roho zetu?? Zote by Ben
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Bebe hiko sina kitabu chake..Daah nimesoma salamu kutoka kuzimu, mikononi mwa nunda na tutarudi na roho zetu? (Hiki kipo cha kizungu pia kinaitwa Zero Hour)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu huu tabiri kiboko hebu nitabirie na mimi basiKwa haraka haraka wewe elimu yako ni kati ya darasa la saba mpska form four.
Lakini pia umri ni kati ya 22 -28,ni mtu huna future na maisha yako,hujawahi kuwaza kuoa kwa sababu bado unakula ujana.
Unapenda kufunga nywelee some times unapiga viduku,unapenda kuvaa jeans na laba kali ksli ambazo unajiksmus kweli kweli kununua,alafu unajifanya bishoo wa mjini.
Unachelewa sana kulala,unapenda sana mziki na viwanja,unakunywa kimtindo lakini mara nyingi hununui wewe.
Unakofia(kepu)bila shaka alafu kama nakuona na zile iafoni kubwa zinszokatisha kichwa.
Niishie hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah mimi nilisoma zamani sana yani , nikiwa shule ya msingi tena nilikuwa nasoma kwa kuiba maana nilikuwa nakatazwa lohBebe hiko sina kitabu chake..
Tunajikumbusha wahenga enzi za ujana wetu wakati Android haijashika hatamu!!
Zero hour nimekisoma miaka ya karibuni, nilikifuma library nikiwa shuleBebe hiko sina kitabu chake..
Tunajikumbusha wahenga enzi za ujana wetu wakati Android haijashika hatamu!!
Ooh pole...Daah mimi nilisoma zamani sana yani , nikiwa shule ya msingi tena nilikuwa nasoma kwa kuiba maana nilikuwa nakatazwa loh
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumia vodacom bossAisee, naomba uniambie mtandao unao tumia tafadhari..ili pakikucha tu nkutumie mgao wa vocha.
Point uliyo hit zaidi ni hyo ya age.. though 27 natimiza mwezi wa 5
Nani kasema Serengeti boy hawasomi, wapo wanaosomaOoh pole...
Mie sio serengeti boy kama unavyofikiria maana hua hswasomi vitu hivyo...
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Wachache japo mie nishatoka huko.. Nimeanza kuvisoma hivyo vitabu 97..
Wachache japo mie nishatoka huko.. Nimeanza kuvisoma hivyo vitabu 97..
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk