The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Huyu alikua Rais wa "Toronto"Mzee wa injiniaa somaa hyoooo,cjui Yuko wap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu alikua Rais wa "Toronto"Mzee wa injiniaa somaa hyoooo,cjui Yuko wap
Wewe si umseme tu moja kwa moja DAUDI PAUL BASHITE au una ogopa nini?Mimi naanza na Doto James Mghosha. Huyu alikuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha, alilitumikia Taifa lwa uzalendo mkubwa sana. Kwasasa simsikii kabisa sijui yuko wapi?
Mshenzi sana huyu mzee,ilifika time anamuita JPM kuwa ni Yesu.
🤣😂Mshenzi sana huyu mzee,ilifika time anamuita JPM kuwa in Yesu.
Huyu inatakiwa akamatwe au auaweLe Major General Regional Commissioner
Bashite Albert.
Akasema "Hii kule Madagascar anagawa rais mwenyewe"
[emoji38][emoji38][emoji38] hizi hesabu zilipigwa hapa Mungu ndio anajua,
Doto Biteko. Amepiga kimya kama siyo waziri tenaMimi naanza na Doto James Mghosha. Huyu alikuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha, alilitumikia Taifa lwa uzalendo mkubwa sana. Kwasasa simsikii kabisa sijui yuko wapi?