Mtaji wa 25,000/ Unavyonipatia laki 4 kila Mwezi

Kiongozi umeeleza vzr mnooo. Lakini wapo wasio sikia kama kenge kuckia kwake mpk masikio yatoe damu tu
 
Blog yangu ina muda mrefu na ina viewrs kibao lakini adsense mbona inagoma..unaweza kurekebisha?? Nasmiletz.blogspot.com
Makosa unayofanya
1. Lugha unayotumia ( AdSense hai- support lugha ya KISWAHILI )
2. Muonekano ( Theme unayotumia sio nzuri )
3. Copyrighted Content

AdSense Ni kwa publisher na tools tu na sio,
 
Kwa kuongezea...Sina laptop Wala computer. Natumia smartphone yangu kuendesha Blog
unaingiza laki 4 hadi 7 kwa mwezi halafu huna laptop? Unafanyaje hiyo kazi kwa ufanisi,kama huna laptop na unaingiza hiyo hela huoni unapiga kamba?
 

Mkuu nimeiona blog yako iko vizuri na nimependa template yako naomba unisadie inaitwaje au Kama hutojar link yake
 
Ndugu jikusanye upate pia mobile app utakuja kunishukuru
 
Bg up Mwamba ntakuchek unipe madini

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
ASALI KUTOKA TABORA.

Nauza Asali Ya Jumla Na Rejareja
Ipo Ya Nyuki Wadogo Na Nyuki Wakubwa.

Tunafunga Kwa Vipimo Tofauti Tofautii

Bei Ya Rejareja
Lita1 - 10,000 (Nyuki Wa Kubwa)
Lita1 - 25,000 (Nyuko Wa Dogo)

Bei Ya Jumla
Tuwasiliane Maana Kuna Ofa Zaidi

[emoji3513]0658 357537
Call/ WhatsApp/Sms
Tabora

[emoji625] [emoji593] Tunafanya Delivery Nchi Nzima.
 
Hongera sana kwa kujitolea kwako ngoja. Nije unifundishe nami

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Amini...Sitozi hata senti moja, nimetoa namba Whatsapp kwa ajili kurahisisha maelekezo. Pia kama watatokea wengi iwe rahisi kuunda group. Ni BURE 100%
Kwanini usifungue channel YouTube? Mpaka uwaite wasaup
 
Watu msiishi kwa woga 25k hata saa7 haifiki
Supu5k
Bia10 za 1500 =15000
Nyama choma na ugali mchana 8000
Nauli ya boda kutoka home hadi bar na kurudi 2000

Ishaisha 25000


Hebu kama mna spare time tumieni fursa ya bure sio mnashinda JF kupost ujinga na kutafuta LIKES, na urefu wa nyuzi


____________''''___
Acha niendelee kumalizia jibapa nikatafute supu
 
Ntafanya hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…