Tupe somo kidogo.Mimi nauza Gesi mtaji wangu laki5 Tu lakini Faida ni 600k+ kila mwez ,
Chuma ulete kibao wezi kibao Yani ni nuksi kule Mimi nilikua kwenye mapochiMkuu tandika sokoni kumbe pagumu
Balaaa duuhChuma ulete kibao wezi kibao Yani ni nuksi kule Mimi nilikua kwenye mapochi
Duuu hivi unajuaje kama umefanyiwa chuma uleteChuma ulete kibao wezi kibao Yani ni nuksi kule Mimi nilikua kwenye mapochi
Tupe ramani dingi...Loh [emoji23][emoji23] achana na hyo business mm kuna business nimeanza december mwaka jana faida average kwa mwezi ni almost 600k na nilianza na mtaji wa 3.5m hyo 600k nishatoa matumiz.
Utt Mfuko gani?Umeweka UTT hiyo Mil 46 kwa mwezi utapata around 400,000.. miezi miwili utapata zaidi ya 800,000
Sio kweliAsipokuwa na watu wa maana huko Serikalini, hiyo hela ataizika chap.
Hao majamaa kwenye kulipa ni kipengele na mizungusho mingi.
Mara mfate fulani, sijui fulani
Tenda za serikali awe makini sana kwasababu kulipa kwao ni kwa usumbufuTafuta tenda za miradi ya Serikali mikoani utapiga hela
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Bangi?Loh [emoji23][emoji23] achana na hyo business mm kuna business nimeanza december mwaka jana faida average kwa mwezi ni almost 600k na nilianza na mtaji wa 3.5m hyo 600k nishatoa matumiz.
Tatizo mnasema kun biashara unaweza fanya ukapata faida zaidi ya iyo. Na biashara yenyewe amsemi ni ipi.Hiyo sio biashara mkuu!! Yaani 45m upate faida hiyo?!! Wakati kuna sehemu unaifanyia biashara, hiyo pesa kwa mwezi unapata si chini ya milioni 15?!!
Namashaka na wewe. Wewe sio mfanya biashara. Utakuwa umesikia story vijiweni. Biashara unayozungumzia hapo ni biashara ya jumla. (Whole sale) na biashara ya jumla huwezi kuuza mifuko 600 kwa miezi miwili. Huo ni uongo kabisa.Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni za kuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukari unaiuza kwa miezi 2 na faida yake ni 540,000 wakati huo gharama za manunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.
Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton 32 sawa na mifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576,000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.
Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidogo, tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji.
Nikweli faida ni ndogo,Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni za kuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukari unaiuza kwa miezi 2 na faida yake ni 540,000 wakati huo gharama za manunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.
Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton 32 sawa na mifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576,000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.
Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidogo, tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji.
Uzoefu unaonyesha mfanya biashara msomi huwa anapata tabu sana kuendesha hizi biashara za kitaa. Sababu kubwa ni ujuaji wa kisomi. Unasema eti upeleke mchele tani 20 upate faida 1000000 huo ni ujua kama sio uwehu!!!Huwa mnalalamika situation ya biashara na hamtoi details hasa juu ya location. Unakuta mtu analalamika kitimoto hailipi unajikunja kumuelekeza kumbe jamaa yupo Unguja.
Nina kifremu naambiwa jirani kwenye godown hapa kabla sijapanga aliuza unga wa jumla alikuwa anauza sana watu wanapishana semi zinatoka Iringa uko zinajaza. Jamaa akafilisika eti watu wanajiuliza ilikuwaje, simply ni kwamba alikuwa anafanya biashara ya sifa kama wewe. Siku ukiagiza canter mvua imenyesha, likatumbukia mtoni likamwaga unga lazima uchanganyikiwe. Hasara moja inakula faida ya siku nyingi sana.
Yaani kwenye inventory ya milioni 40 unapata laki tano??? Biashara yangu ndogo sana ila nikitumia 5M huwa napata laki tano, yaani unafanya 10 times ya hela yangu na unateseka zaidi yangu ila faida tunalingana.
Nishawahi fanya research ya vyakula vya jumla kama mchele na unga, au mahindi. Kitu kikubwa kule ni uchawi, ila sio faida. Nimekaa sana Tandika nasoma wafanyabiashara na madalali nikajihakikishia ni biashara kichaa. Eti mtu ulete tani 20 za mchele upate faida milioni moja, si wehu huo. Halafu hasara ikija sasa, milioni tatu nne kawaida.
Unakuwa mfanyabiashara unaishi kwa hasira mtu akikukanyaga unampiga. Sura imekakamaa hela unazo ila hupendezi mawazo tu.
Sasa hilo ni jukumu la mtoa mada, akitaka ki undani ndio ataulizaTatizo mnasema kun biashara unaweza fanya ukapata faida zaidi ya iyo. Na biashara yenyewe amsemi ni ipi.