Mtaji wa biashara zangu umeanza kukua, sasa naombeni mnisaidie jambo hili

Mtaji wa biashara zangu umeanza kukua, sasa naombeni mnisaidie jambo hili

Airtel pic moja ya Tsh 500 ni Tsh 470.....inamaana apo wewe unaweza ukawauzia watu wengine wa jumla kwa 478 au 490....kwa bei ya rejareja unauza 500

....ili uione faid andaa 3Ml adi 4Ml,uweze kuchkua pic zaid ya 10,000 [470×10,000] 4,700,000 apo kwa bei ya rejareja faida 300,000
Aisee Biashara ya vocha inataka Moyo[emoji848]
 
Mkuu comment yako imejaa busara za hali ya juu ila mimi ninaona kama hana madeni kwa hao suppliers wake wa sasa hakuna madhara yoyote akiagiza Mwanza. Ila kama kuna ambao humpatia mzigo kwa mali kauli anaweza kuanza kutulia kwanza kwa muda kama ulivyosema. Milioni 2 bado ni hela ndogo.
Biashara ya mali kauli kwa mfanyabiashara mchanga Ni kumchimbia kabuli[emoji4]
 
Aisee Biashara ya vocha inataka Moyo[emoji848]
Tena sanaaa hasa ukiwa na mtaji mdogo..

....kuna mtu namfahamu anakunja mil 20 kama gross profit,ila yule mzee kwenye mtaji kawekeza zaid ya 1 Billion
 
Mkuu kama hutajali fafanua.
Ubaya wa Mali kauli
1. Inalemaza Sana na kuondoa Hali ya upambanaji, unajihisi una hela, kumbe sio zako, unazungushia mitaji ya watu

2. Huwez fanya mambo makubwa binafs nje ya mzunguko wako ukihofia ukidaiwa ghafla pesa za watu utazitoa wapi.

3. Inakujengea mazoea ya kukopa kopa ovyo, unaamini dhana ya bila kukopa kamwe utoboi, kumbe sio kweli. Unaweza pambana ukatoboa Bila kukopa kopa.

4. Inakujengea usugu wa madeni, unakojumua mzigo unajihisi kukopeshwa Ni haki yako, kumbe sio kweli.
Pia Unajikuta unadaiwa daiwa ovyo, kila pesa unayoipata haikai, inapitia kwako TU Kama njia, ukianza kulipa madeni ya Watu mfukoni unabaki huna kitu.

5. Ukiwa kwenye Mali kauli, utalazimika uwe one man show, kila kitu ufanye Wewe.
-Ukiweka mfanyakazi,ndugu au mkeo, atajua una mtaji mkubwa sana, Hii uzaa uzembe au kuanza kukupiga akiamini anachokupiga Ni kdg sn huwez kufilisika. Kumbe kiuhalisia ndo unafilisika kimasihara.

6. Ukiuziwa mzigo wa Mali kauli, mara nyingi utauziwa Bei kubwa tofauti na anaenunua CASH. Huwez kua na Nguvu ya kubargain sana wkt mzgo wenyewe unakopeshwa. Hii itakuachia faida kdg Sana.

7. MDA wa rejesho ukifika na huna mauzo, Kuna hati hati ya kuuza vitu hata kwa Bei ya hasara au isiyokulipa,ili mradi tu usimkwaze supplier wako punde anapodai pesa yake. NDO ILE UTASKIA "OFFA OFFA TUNASAFISHA STOO" Kumbe rejesho limekukaba Koo. Tofaut na Wenye mitaji Yao, wao huuza kiboss Sana[emoji4].
 
Mifano Ni mingi,
Ila nnachojua ukiwa mchanga Sana kibiashara na ukajiingiza kwenye Mali kauli,suala la kutoboa wewe Ni ngumu Sana.

Mara Mia ukakope benki ukajumue mzigo, na sio kupewa mizigo ya mali kauli ukauze dukani Kisha urejeshe pesa za watu.

Huwezi kuiona hela
 
Ubaya wa Mali kauli
1. Inalemaza Sana na kuondoa Hali ya upambanaji, unajihisi una hela, kumbe sio zako, unazungushia mitaji ya watu

2. Huwez fanya mambo makubwa binafs nje ya mzunguko wako ukihofia ukidaiwa ghafla pesa za watu utazitoa wapi.

3. Inakujengea mazoea ya kukopa kopa ovyo, unaamini dhana ya bila kukopa kamwe utoboi, kumbe sio kweli. Unaweza pambana ukatoboa Bila kukopa kopa.

4. Inakujengea usugu wa madeni, unakojumua mzigo unajihisi kukopeshwa Ni haki yako, kumbe sio kweli.
Pia Unajikuta unadaiwa daiwa ovyo, kila pesa unayoipata haikai, inapitia kwako TU Kama njia, ukianza kulipa madeni ya Watu mfukoni unabaki huna kitu.

5. Ukiwa kwenye Mali kauli, utalazimika uwe one man show, kila kitu ufanye Wewe.
-Ukiweka mfanyakazi,ndugu au mkeo, atajua una mtaji mkubwa sana, Hii uzaa uzembe au kuanza kukupiga akiamini anachokupiga Ni kdg sn huwez kufilisika. Kumbe kiuhalisia ndo unafilisika kimasihara.

6. Ukiuziwa mzigo wa Mali kauli, mara nyingi utauziwa Bei kubwa tofauti na anaenunua CASH. Huwez kua na Nguvu ya kubargain sana wkt mzgo wenyewe unakopeshwa. Hii itakuachia faida kdg Sana.

7. MDA wa rejesho ukifika na huna mauzo, Kuna hati hati ya kuuza vitu hata kwa Bei ya hasara au isiyokulipa,ili mradi tu usimkwaze supplier wako punde anapodai pesa yake. NDO ILE UTASKIA "OFFA OFFA TUNASAFISHA STOO" Kumbe rejesho limekukaba Koo. Tofaut na Wenye mitaji Yao, wao huuza kiboss Sana[emoji4].
Umeandika vyema sana. Vijana wasome na wafanyie kazi. Nakazia pia vijana wasikope wakati wa kuanza bishara.
 
Ubaya wa Mali kauli
1. Inalemaza Sana na kuondoa Hali ya upambanaji, unajihisi una hela, kumbe sio zako, unazungushia mitaji ya watu

2. Huwez fanya mambo makubwa binafs nje ya mzunguko wako ukihofia ukidaiwa ghafla pesa za watu utazitoa wapi.

3. Inakujengea mazoea ya kukopa kopa ovyo, unaamini dhana ya bila kukopa kamwe utoboi, kumbe sio kweli. Unaweza pambana ukatoboa Bila kukopa kopa.

4. Inakujengea usugu wa madeni, unakojumua mzigo unajihisi kukopeshwa Ni haki yako, kumbe sio kweli.
Pia Unajikuta unadaiwa daiwa ovyo, kila pesa unayoipata haikai, inapitia kwako TU Kama njia, ukianza kulipa madeni ya Watu mfukoni unabaki huna kitu.

5. Ukiwa kwenye Mali kauli, utalazimika uwe one man show, kila kitu ufanye Wewe.
-Ukiweka mfanyakazi,ndugu au mkeo, atajua una mtaji mkubwa sana, Hii uzaa uzembe au kuanza kukupiga akiamini anachokupiga Ni kdg sn huwez kufilisika. Kumbe kiuhalisia ndo unafilisika kimasihara.

6. Ukiuziwa mzigo wa Mali kauli, mara nyingi utauziwa Bei kubwa tofauti na anaenunua CASH. Huwez kua na Nguvu ya kubargain sana wkt mzgo wenyewe unakopeshwa. Hii itakuachia faida kdg Sana.

7. MDA wa rejesho ukifika na huna mauzo, Kuna hati hati ya kuuza vitu hata kwa Bei ya hasara au isiyokulipa,ili mradi tu usimkwaze supplier wako punde anapodai pesa yake. NDO ILE UTASKIA "OFFA OFFA TUNASAFISHA STOO" Kumbe rejesho limekukaba Koo. Tofaut na Wenye mitaji Yao, wao huuza kiboss Sana[emoji4].
Mkuu umenena
 
Mkuu comment yako imejaa busara za hali ya juu ila mimi ninaona kama hana madeni kwa hao suppliers wake wa sasa hakuna madhara yoyote akiagiza Mwanza. Ila kama kuna ambao humpatia mzigo kwa mali kauli anaweza kuanza kutulia kwanza kwa muda kama ulivyosema. Milioni 2 bado ni hela ndogo.

Mkuu kwa ufupi huwa nanunua bidhaa kwa cash, sina deni madukani. Hata ikitokea dharura ya kuishiwa bidhaa ghafla, nachukua vitu vichache visivyozidi laki 1.5 halafu nalipa kesho yake.
 
Mifano Ni mingi,
Ila nnachojua ukiwa mchanga Sana kibiashara na ukajiingiza kwenye Mali kauli,suala la kutoboa wewe Ni ngumu Sana.

Mara Mia ukakope benki ukajumue mzigo, na sio kupewa mizigo ya mali kauli ukauze dukani Kisha urejeshe pesa za watu.

Huwezi kuiona hela
Mkuu mbona wakinga wengi hapa kariakoo ndio model yao ya biashara na wanafanikiwa?

Au kwavile hupewa mizigo ya mali kauli na ndugu zao?

Unakuta mkinga ametoka tunduma anapesa ya frem tu, afu mzigo anapewa na mali kauli baada ya miaka miwili ashatoboa
 
Back
Top Bottom