Mtaji wa biashara zangu umeanza kukua, sasa naombeni mnisaidie jambo hili

Mtaji wa biashara zangu umeanza kukua, sasa naombeni mnisaidie jambo hili

MV Nyehunge ama? Hiyo 16 kwenda na kurudi?
Yeah 8000 kwenda, 8000 kurudi.
Kuna kipindi ilikuwa 4000×2=8000 meli ya Bijil, baadae washindani wake wakapiga kelele, so now ni 8000×2=16000 isipokuwa meli ya Mwendo kasi
 
Mkuu kwa ufupi huwa nanunua bidhaa kwa cash, sina deni madukani. Hata ikitokea dharura ya kuishiwa bidhaa ghafla, nachukua vitu vichache visivyozidi laki 1.5 halafu nalipa kesho yake.
Uko sahihi sana. Kuna wakati fulani madeni karibia yachukue uhai wangu. Ila baada ya kula kiapo kuachana na madeni nikawa huru na mambo yanaenda.
 
Mwendo kasi bei gani?
Yeah 8000 kwenda, 8000 kurudi.
Kuna kipindi ilikuwa 4000×2=8000 meli ya Bijil, baadae washindani wake wakapiga kelele, so now ni 8000×2=16000 isipokuwa meli ya Mwendo kasi
 
Kwa ule mwendo bora nisafiri na MV Nyehunge tu.
Yeah 8000 kwenda, 8000 kurudi.
Kuna kipindi ilikuwa 4000×2=8000 meli ya Bijil, baadae washindani wake wakapiga kelele, so now ni 8000×2=16000 isipokuwa meli ya Mwendo kasi
 
Back
Top Bottom