Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipoipa heshima yake utaila iishe kabla hujafanya unachotaka kufanyaSamahani mkuu najua watu wa Jf wana mamilioni ndio maana nikakadogosha.
nipe namba yako hapa au PM. kuna biashara nafanya twaweza ungana.Tieni neno wakuu.
Kuna mtu anaitwa Nikifa MkeWangu Asiolewe hiyo hela ni gharama ya kodi ya nyumba aliyopanga monthlySamahani mkuu najua watu wa Jf wana mamilioni ndio maana nikakadogosha.
Achana nae huyu turudi kwenye lengo la uzi mkuu.Kuna mtu anaitwa Nikifa MkeWangu Asiolewe hiyo hela ni gharama ya kodi ya nyumba aliyopanga monthly
Fresh tu mkuu uje mbagala hapa upige hela sema kina mama wana matakor balaa watakutoa kapa ukiwaendekeza.Achana nae huyu turudi kwenye lengo la uzi mkuu.
Azingatie tu yanihifadhi uchafu atatoboaFresh tu mkuu uje mbagala hapa upige hela sema kina mama wana matakor balaa watakutoa kapa ukiwaendekeza.
Hizi biashara uswahilin unaliga hela sana
Biashara gani mbagala kukodi eneo gharamaFresh tu mkuu uje mbagala hapa upige hela sema kina mama wana matakor balaa watakutoa kapa ukiwaendekeza.
Hizi biashara uswahilin unaliga hela sana
Hapana mm sihawqh kuuza hizVip unaweza kunipa mchanganuo wake mkuu kwenye hiyo Issue ya mkaa?
Sijaku3lewq weka swal vizurBiashara gani mbagala kukodi eneo gharama
Mbagala kukodi eneo la meza ili ufanyie biashara laki na nusu na unalipa miezi 6 kungine laki na 20,au aende mwendokasi bure?Sijaku3lewq weka swal vizur
Anzisha biashara ya micro financeKwasasa nipo Morogoro.
Nina milioni moja napanga nikizalishe niingize chochote kitu, maisha yasonge.
Nawaza kwenda Dar nikauze mkaa.