Mtaji wa milioni 1 nikajitafute wapi wakuu?

Mtaji wa milioni 1 nikajitafute wapi wakuu?

Fresh tu mkuu uje mbagala hapa upige hela sema kina mama wana matakor balaa watakutoa kapa ukiwaendekeza.

Hizi biashara uswahilin unaliga hela sana
Vip unaweza kunipa mchanganuo wake mkuu kwenye hiyo Issue ya mkaa?
 
Back
Top Bottom